Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika ovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
Na penzi la kuanza kwa mikwara ndo'huwa linadumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiko Hivi mkuu

Unajua Kuna thread imepita hapo ambayo mimi nimeandika malalamiko yangu na kuconclude ntaanza kupanga sasa nakuta Pm nyingi zinaniona mm kama Malaya kumbe nimeeleza tu yaliyo moyoni mwangu na si kuwa nahitaji kutongozwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Unawapangaje bila kutongozwa

Au

Unawatongoza We Mwenyewe
 
Mkuu shukuru kama member wanatembelea huko pm msimu huu corona ...

Wanawake wa huku kitu kidogo kashafungua Uzi ..na Mimi nasema wanawake wa huku msifikiri kila mwanaume wa huku ni malaya..

ebooh

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanaume siyo sisi tunaowafikiria hivyo mkuu, bali ni ninyi wenyewe wengi wenu ndiyo huwa mnajisifu humu kuwa ninyi ni malaya na mwanaume sifa yake ni umalaya.
 
Umemtolea uvivu Sasa !#Mbona atakukoma [emoji38][emoji38] Namuonaga anarekebisha watu ngeri Sasa amekutana na kisiki cha mpingo Hannah [emoji38][emoji38]
Hata mimi niliona anarekebisha watu ngeli halafu kwa kukurupuka. Basi hiyo jana aliandika phiscal appearance nikamrekebisha kwamba ni physical ugomvi ukaanzia hapo. Ila sikumuacha nikahakikisha mwisho wa ugomvi kaandika kitu kinachoeleweka.
 
Halafu hao mahandsome ndio ninaopenda wanitongoze
Mfano Jana najitongozesha kwa digba sowey baada ya kuona anaandika vizuri na ni nikijana smart sana
Badala apokee ombi langu akasema ameoa. Ila atanukubali tu.


Wewe ni mgumu kuelewa,Mimi ninamke na watoto ,Kama unanipenda ,nipende Kama kaka na Dada ila sio Kimapenzi,naheshimu ndoa Yangu.tafuta wengine sio Mimi Mkuu,samahani Kama nitakukwaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwamba alikua anabisha anasema ni phiscal sio physical [emoji38].Dunia nyie [emoji28]Alaf mtu wa Lumumba(Fisiemu) yule Sishangai Sana
By the way we ni Mwalim mzuri kweli kweli
Mpaka digba sowey akaelewa somo [emoji38][emoji38][emoji38]

Hata mimi niliona anarekebisha watu ngeli halafu kwa kukurupuka. Basi hiyo jana aliandika phiscal appearance nikamrekebisha kwamba ni physical ugomvi ukaanzia hapo. Ila sikumuacha nikahakikisha mwisho wa ugomvi kaandika kitu kinachoeleweka.
 
Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika ovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom