Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.

Hahaha, nimecheka sana.

Ngoja nianze kuandika ovyo na mimi nipate darasa lako.
 
Hii ni KADI YA MWALIKO..?? au umetongozwa kweli...

Na kutongozwa na Malaya ni vitu viwili tofauti.. Malaya hatongozwi.
 
Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
Jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hitimisho lako dah [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Maandishi tu ya watu wenye Ids fake yanaanza vipi kukumiza kichwa, just ignore them f****rs, shika hamsini zako wakikufata fata sana unareport kwa Moderators.

[emoji84][emoji83][emoji851]

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Mimi nijuavyo kwa mwanamke kutongozwa ni kawaida na haina maana kuwa ni malaya. Eti mleta mada - utajisikiaje umeshinda salon nywele zimetengenezwa, kucha zimepunwa umejiremba ukarembeka full ulimbwende mtako huo hata chupi hujavaa halafu unakata hata wiki bila kutongozwa. Hutajisikia vibaya kweli?

Labda kama una reputation mbaya; au watongozaji wanakuja vibaya sioni tatizo kabisa. Na mwanaume asipotongoza mnataka afanye nini? Abake?
 
Maandishi tu ya watu wenye Ids fake yanaanza vipi kukumiza kichwa, just ignore them f****rs, shika hamsini zako wakikufata fata sana unareport kwa Moderators.

[emoji84][emoji83][emoji851]

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Kumbe unaruhusiwa kumsemelea kwa moderator

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
naomba pia hiro dalasa uwege unanisaidia na mimi.
 
Back
Top Bottom