Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,490
Nakuamini mimi jamaniUkweli tena
Nakuamini mimi jamaniUkweli tena
Mbona unakazia dear!
Umepatwa na nini, nidokeze hebu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi nijuavyo kwa mwanamke kutongozwa ni kawaida na haina maana kuwa ni malaya. Eti mleta mada - utajisikiaje umeshinda salon nywele zimetengenezwa, kucha zimepunwa unajiremba unarembeka full ulimbwende halafu unakata hata wiki bila kutongozwa. Hutajisikia vibaya kweli?
Labda kama una reputation mbaya; au watongozaji wanakuja vibaya sioni tatizo kabisa. Na mwanaume asipotongoza mnataka afanye nini? Abake?
Hannah.Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika ovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
Yupo mkuu sema ubusy kidogo tuu atakuja!! Mara nyingi anakuwa Makapuku kuleShunnie yuko wapi? au yule shemeji yetu kambana sana hata kuingia huku imekuwa shida?
Umemtolea uvivu Sasa !#Mbona atakukoma [emoji38][emoji38] Namuonaga anarekebisha watu ngeri Sasa amekutana na kisiki cha mpingo Hannah [emoji38][emoji38]Nataka ajue mimi ni mwalimu, na nikiamua kumfundisha mtu sirudi nyuma.
Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wara usijari tloubremakel, atakusaidia.naomba pia hiro dalasa uwege unanisaidia na mimi.
Alikuwa ananiquote kwa kuedit post yangu unaandika eti " wewe kaka nakupenda naomba unioe". Ila hakunitetemesha.Jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hitimisho lako dah [emoji16][emoji16][emoji16]
Nashukuru kipenziNakuamini mimi jamani
Hiko Hivi mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Akikujibu usisite kunijulisha. Nina haja na jibu lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hautasema nakutongoza?naomba pia hiro dalasa uwege unanisaidia na mimi.
Ahhh! Kule ambako kila mtu na mtu wake.Yupo mkuu sema ubusy kidogo tuu atakuja!! Mara nyingi anakuwa Makapuku kule
MkuuMkuu shukuru kama member wanatembelea huko pm msimu huu corona ...
Wanawake wa huku kitu kidogo kashafungua Uzi ..na Mimi nasema wanawake wa huku msifikiri kila mwanaume wa huku ni malaya..
ebooh
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahhh! Kule ambako kila mtu na mtu wake.
Halafu yule jamaa yake ana wivu sana kama mwanamke. Hataki Shunnie aguswe.