Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,580
- 5,795
Sijafichwa na mtu jamaniiii dear, Corona ndio inanificha etiii.Miss you more babe!
Unafichwa sana jamani dear!
Sio "ovyo" sahihi ni "hovyo"Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika ovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
Jaman umeongea lugha nzuri, ebu tuokoe na hali hiiSijafichwa na mtu jamaniiii dear, Corona ndio inanificha etiii.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Umesema jambo la muhimu sana.Unaweza kututhibitishia!??
Si vizuri kuchafua image ya mtu kwa kuwa tu mmetofautiana!!
Kama huna uthibitisho baki na maneno yako ya debe tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio "ovyo" sahihi ni "hovyo"Hahaha, nimecheka sana.
Ngoja nianze kuandika ovyo na mimi nipate darasa lako.
Sio "dalasa" sahihi ni "darasa"naomba pia hiro dalasa uwege unanisaidia na mimi.
Nakuona engineer mwalimu wa kiswahiliSio "ovyo" sahihi ni "hovyo"
Ahsante.
Sio "ovyo" sahihi ni "hovyo"
Ahsante.
Huyo kaandika hivyo kwa makusudi jamaniSio "dalasa" sahihi ni "darasa"
Ahsante.
Dah !!!Kuna mmoja huko love connect kaombwa eflu 5 kamuita dada wa watu changudoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakorofi mnapendana [emoji16][emoji16][emoji16]Ila wewe nakupenda hivo hivo na ukorofi wako
Hapa ndipo huwa unazingua na nimeshakukanya.
Nimeona.Huyo kaandika hivyo kwa makusudi jamani