Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,870
6,275
Habari wadau.

Ukweli nampongeza sana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni kwa kuamua kubadili shule za msingi zilizokuwa swahili medium na kwenda english medium.

Hii inawaokoa wazazi kwa kuwapunguzia gharama za ada kubwa kulipa private schools wakati elimu ni hiyo hiyo.

Na pia shule za olimpio na Diamond zitapumua sasa. Maana watoto walikuwa wanatoka mbali sana kuzifata hizo shule kati kati ya mji.

Manispaa zingine zinapaswa kuiga hili. Shule za english medium ziwe nyingi.

Hizi ni shule za msingi za serikali zilizogeuzwa kuwa english medium. Hivyo mzazi unaeishi maeneo hayo peleka mwanao hapo. Achana na kumsumbua mtoto kwenda mbali olimpio na Bunge.

1. Ali Hassan Mwinyi primary school
2. Mapambano primary school
3. Mwenge primary school
4. Mirambo primary school
5. Bunju Mkoani primary school

Wamiliki wa shule za private msilete fitna za kibiashara ili shule hizi za msingi za serikali english medium zizidi kuwa nyingi.
 
Hi nzuti
Habari wadau.

Ukweli nampongeza sana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni kwa kuamua kubadili shule za msingi zilizokuwa swahili medium na kwenda english medium.

Hii inawaokoa wazazi kwa kuwapunguzia gharama za ada kubwa kulipa private schools wakati elimu ni hiyo hiyo.

Na pia shule za olimpio na Diamond zitapumua sasa. Maana watoto walikuwa wanatoka mbali sana kuzifata hizo shule kati kati ya mji.

Manispaa zingine zinapaswa kuiga hili. Shule za english medium ziwe nyingi.

Hizi ni shule za msingi za serikali zilizogeuzwa kuwa english medium. Hivyo mzazi unaeishi maeneo hayo peleka mwanao hapo. Achana na kumsumbua mtoto kwenda mbali olimpio na Bunge.

1. Ali Hassan Mwinyi primary school
2. Mapambano primary school
3. Mwenge primary school
4. Mirambo primary school
5. Bunju Mkoani primary school

Wamiliki wa shule za private msilete fitna za kibiashara ili shule hizi za serikali english medium zizidi kuwa nyingi
[/QUOT

Hi nzuri hat mbeya Kuna moja Benjamin mkapa
 
Habari wadau.

Ukweli nampongeza sana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni kwa kuamua kubadili shule za msingi zilizokuwa swahili medium na kwenda english medium.

Hii inawaokoa wazazi kwa kuwapunguzia gharama za ada kubwa kulipa private schools wakati elimu ni hiyo hiyo.

Na pia shule za olimpio na Diamond zitapumua sasa. Maana watoto walikuwa wanatoka mbali sana kuzifata hizo shule kati kati ya mji.

Manispaa zingine zinapaswa kuiga hili. Shule za english medium ziwe nyingi.

Hizi ni shule za msingi za serikali zilizogeuzwa kuwa english medium. Hivyo mzazi unaeishi maeneo hayo peleka mwanao hapo. Achana na kumsumbua mtoto kwenda mbali olimpio na Bunge.

1. Ali Hassan Mwinyi primary school
2. Mapambano primary school
3. Mwenge primary school
4. Mirambo primary school
5. Bunju Mkoani primary school

Wamiliki wa shule za private msilete fitna za kibiashara ili shule hizi za msingi za serikali english medium zizidi kuwa nyingi.
Safi shule yangu naiona hapo Moja shule zina fanya fresh watoto wengi wamepita hao wamenyoka plus minyoosho ya wanajeshi
 
Hizi shule na zile za St huwa zinatengeneza wanafunzi wenye nidh am sana sijui shida iko wapi kwa hizi zingine unakuta watoto nunda hatari
 
Shule ya msingi Mirambo ipo wapi ?
Iko makongo kwenye Kambi ya JWTZ ili zaliwa kutoka shule ya msingi Lugalo Moja ya shule the best kuanzia taaluma na nidhamu ,shule watu wanasoma la kwanza Hadi la saba Bila kujihusisha na mapenz kutokana na biti la walimu wajeda ,watu kutengwa kijinsia muda wa break
 
Back
Top Bottom