Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,634
- 46,278
Ni kweli serikali inazo baadhi ya shule ambazo zinatumia lugha ya Kingereza kufundishia?
Nimewahi kuona mjadala ukisema Olympio primary school iliyoko Dar es Salaam na ambayo inatumia lugha ya Kingereza ni shule mojawapo inamilikiwa na serikali.
Kama ni kweli hizi shule zilianzishwa kwa malengo gani na zinaanzishwa kwa utaratibu upi?
Wanafunzi wanapataje fursa ya kujiunga na hizo shule za Kingereza za serikali?
Walimu wake nao ni watumishi wa serikali kama walimu wengine wote na maslahi yao yanafanana na shule za Kiswahili?
Pia serikali ina mpango wowote wa kuongeza shule za aina hii hasa tukizingatia umuhimu wa Kingereza katika duniani ya sasa na jinsi Watanzania wengi wanavyokosa umahari kutokana na kuchelewa kujifunza na kutumia lugha hii katika ufundishaji?
Nimewahi kuona mjadala ukisema Olympio primary school iliyoko Dar es Salaam na ambayo inatumia lugha ya Kingereza ni shule mojawapo inamilikiwa na serikali.
Kama ni kweli hizi shule zilianzishwa kwa malengo gani na zinaanzishwa kwa utaratibu upi?
Wanafunzi wanapataje fursa ya kujiunga na hizo shule za Kingereza za serikali?
Walimu wake nao ni watumishi wa serikali kama walimu wengine wote na maslahi yao yanafanana na shule za Kiswahili?
Pia serikali ina mpango wowote wa kuongeza shule za aina hii hasa tukizingatia umuhimu wa Kingereza katika duniani ya sasa na jinsi Watanzania wengi wanavyokosa umahari kutokana na kuchelewa kujifunza na kutumia lugha hii katika ufundishaji?