jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 25,012
- 22,554
- Thread starter
- #201
tuko wengi JF tunaofahamika kuwa?...Again,chadema siyo nchi na mimi sina chama,ama hujui ninasimamia maslahi gani humu?Kama huo ufisadi wanao chadema,basi wawachukulie hatua hao viongozi wao,hilo si jukumu langu,lakini ufisadi wa Taifa ntalia na nyie.BTW mbona hujarespond kule kwenye thread niliyowahi kuianzisha ya ccm?Ahaaa haaaaaaaaa acha kuzuga mkuu mpo wengi tu ndani ya JF mnafahamika!! Ufisadi upo Chadema labda ningekushauri anzisha chama chako mbona hujajibu ufisadi wa kina mh. Mbowe na Dr. Slaa? Somo limeeleweka
Chama
Gongo la mboto DSM