Ulipoanza, hukuchanganya mambo ya Urais, umeuliza kuwa should the party fire him? If you want to speak of Urais nadhani ungeiweka post yako ikae vizuri zaidi. Issue hapa ni yeye kuwa fired endapo itathibitika kuwa amechukua Rushwa. Ikiwa amechukua, ameshasema atawajibika, irregardless of the stand of the party!!! Unless kama sijakuelewa thread yako, i stand to be corrected...Kama hajachukua Chama hakiwezi kumuwajibisha!Unamuwajibisha mtu kwa kitu ambacho una uhakika nacho na si vinginevyo.
Hayo ya Urais unayaleta ni mengine!
Mkuu jmushi1, Zitto ni Polarizing figure. Bila kujali ametendewa au amatenda dhambi ninasema kwa uhakika he is a polarizing figure.Jambo linalonitatiza ni watu Zitto anaowatupia lawama dhidi ya shutma hizo.Ukimsoma vyema utagunduwa anawalalamikia wenzake ambapo walitakiwa wawe together.Statement yake haijasaidia chochote.However nakubaliana na maoni yako.
Zitto amekosea kusema wenzake ndo wameingia mtegoni,mi nadhani either yeye ndo kaingia mtegoni,ama kawaingiza wenzake mtegoni.Nadhani siasa za Zitto ni very divisive.Route aliyoichukuwa anajuwa kuwa hata kama anataka a more powerfull position,cost yake itakuwa kubwa.Na yeye anafahamu,kweli kawatega chadema.Ndo maana anawaambia kuchafuliwa kwake ni ni kuchafuliwa kwa chadema,so ni wazi malalamiko hayo ni dhidi ya wenzake.I can't believe this stuff.Zitto uliingia mtegoni kwa kujweka karibu na mafisadi na kusapoti baadhi ya issues zao.PRESS CONFERENCE: MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE
MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Video kwa hisani ya zittokabwe wa youtube
Mkuu ninazo na thread za ccm humu,fuatilia,nilishakata nao tamaa,huwezi kuwawatetea kama hunufaiki na ufisadi,very simple...Mkuu Ritz
Napita tu huyu jamaa si alidai yeye sio mwanachadema hebu nikumbushe unajua thread zimekuwa nyingi sana humu JF
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu ninazo na thread za ccm humu,fuatilia,nilishakata nao tamaa,huwezi kuwawatetea kama hunufaiki na ufisadi,very simple...
hivi kama unataka kujuwa tofauti kati ya chadema na ccm,subiri ccm waondolewe madarakani ndo utajuwa nani fisadi na nani si fisadi...Wewe kama umekata tamaa kivyakovyako si bado tupo tunaendelea na vita, ahahaaa mkuu sitegemei ajira ya CCM na wala sijanufaika na huo ufisadi ila nilinufaika na sera za CCM na serikali ya kielimu hata Chadema mafisadi wapo wengi tu!
Chama
Gongo la mboto DSM
Nicholas,nashangazwa sana na Zitto.Mafanikio yake kweli mbali ya kuwa yeye ni charismatic,yametokana na chama chake.Hata hivyo kuna dalili za ubinafsi,kwasababu mafanikio yake huwa anajicredit,however anataka chama chake nacho kiwe mashakani kwaajili ya tuhuma zake za rushwa.
Ni kwasababu tu sasa tumeshazoea,lakini nilishangazwa sana mara ile ya kwanza waliposhirikiana na JK kuunda kamati ya madini,kuanzia wakati ule,si ajabu kukuta watu tuliowaamini wakiwaback up suspicious people.Na kuwa na suspicious decisions.Its true that you can't fool everyone...Can't fool all the people all the times.
Jmushi1, mkuu umebonyeza kidonda maana hapa ndipo utata ulipoanzia. JK kumweka Zitto ktk kamati ya madini alifanya makusudi kabisa lakini Zitto alifikiri kwamba anaaminika sana baada ya kufumua zengwe la Buzwagi.. Zitto angetumia akili kidogo tu angeelewa kwamba katumiwa hasa baada ya mkataba wa Buzwagi kupita akiahidiwa sheria itabadilika mwaka 2010.Nicholas,nashangazwa sana na Zitto.Mafanikio yake kweli mbali ya kuwa yeye ni charismatic,yametokana na chama chake.Hata hivyo kuna dalili za ubinafsi,kwasababu mafanikio yake huwa anajicredit,however anataka chama chake nacho kiwe mashakani kwaajili ya tuhuma zake za rushwa.
Ni kwasababu tu sasa tumeshazoea,lakini nilishangazwa sana mara ile ya kwanza waliposhirikiana na JK kuunda kamati ya madini,kuanzia wakati ule,si ajabu kukuta watu tuliowaamini wakiwaback up suspicious people.Na kuwa na suspicious decisions.Its true that you can't fool everyone...Can't fool all the people all the times.
hivi kama unataka kujuwa tofauti kati ya chadema na ccm,subiri ccm waondolewe madarakani ndo utajuwa nani fisadi na nani si fisadi...
Hayo maneno unayozungumza wewe,ni ya kishabiki,watu wamefisadi nchi halafu unakuja na hoja dhaifu kiasi hiki?Niambie hao mafisadi wa chadema na ufisadi wao,halafu naomba usiniulize ufisadi wa magamba maana hapatatosha hapa.
Wameibia nini nchi?Ona jinsi kauli yako ilivyokuwa shallow analytically,yani unasema ama unaongea almuradi umeongea.Ulilielewa swali nililokuuliza?Mafisadi wa Chadema mbona wako wengi unaye Mwenyekiti Mbowe &CO, unaye Dr. Slaa wapo wengi tu tatizo lenu mna ugonjwa wa kupenda chongo mnaita kengeza
Chama
Gongo la mboto DSM
Wameibia nini nchi?Ona jinsi kauli yako ilivyokuwa shallow analytically,yani unasema ama unaongea almuradi umeongea.Ulilielewa swali nililokuuliza?
ningetaka maslahi ya kimaisha, ningejiunga na gambaz mafisadi...tumia akili mkuu.Unajua watu kama nyie ambao mpo kwa kutafuta maslahi ya kimaisha kupitia vyama vya siasa mna matatizo sana, wewe ndioy umekuwa mfinyu waki fikra na sijui kama unaelewa nini unachokisema yapo mambo mengi machafu yanafanyika na ndiyo yanayoleta mzozo mkubwa ndani ya Chadema hivi wewe kwa akili yako Fuso iliyotumika ilinunuliwa kwa Mil. 350; mwenyeketi alijipa tenda kupitia mlango kwa kushirikiana na wapambe bila kuitangaza tenda zaidi ya mil. 300, katibu mkuu kujipangia mshahara wa mil. 7 kwa mwezi; katibu mkuu kulazimisha kujengewa nyumba katibu mkuu kumpa tenda hawara yake yapo mambo tu ni ufisadi kama ule tunaoupigiia CCM; wengi wenu mnatumika kumpiga vita Zitto sababu yote ni kuwa wapo wanachadema wakweli wanauona ufisadi huo, hata mchakato wa matumizi ya ruzuku ni siri ya watu wawili. wewe kama umeamua kuhamia Chadema eti kwa kukimbia ufisadi wa CCM naona kama unajipotezea muda ukweli hao viongozi wako tayari wameshaonesha ni mafisadi, fisadi ni fisadi tu hakuna fisadi mdogo wala fisadi mkubwa; watu kama nyie ambao ni shallow minded ndio mnarudisha nyuma harakati za kweli za ukombozi hapa unatumika au unajipendekeza kwa viongozi wa Chadema; ni hivi unapoteza muda wako kumjadili Zitto eti Chadema wamfukuze, Zitto hakuchaguliwa na wanakigoma kwa mapenzi ya Chadema; wao wamemchagua Zitto kama Zitto leo akihamia TLP hata mumsimamishe Dr. Slaa Kigoma Zitto ni kijana wao na ndio chaguo lao. Ni nyie wanachedema msiojielewa mnachokiongea si mpo mstari wa mbele kupiga kelele za Mhando wa Tanesco je alichokifanya Mhando kina tofauti na matendo ya Mbowe na Dr. Slaa Chadema?
Chama
Gongo la mboto DSM
mbona Mheshimiwa Magale shibuda aliyetangaza kugombea urais CDM kwenye mkutano wa CCM mmeshindwa kumtimua au hata kum-Wangwe?.NOT ONLY zitto,yeyeyote atakayebainika afukuzwa mara moja.
ningetaka maslahi ya kimaisha, ningejiunga na gambaz mafisadi...tumia akili mkuu.