Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Kuziba pengo lake katuika nini hasa?

Kwa mtizamo wangu,ili muweze kuelewana inabidi mfanye mabadiliko makubwa sana.kwasababu nadhani kuna dissagreements ambazo zinaweza kushift mwelekeo wa chama in many aspects...
 
CDM wafanye kilichofanywa na ANC kwa malema ni ku-fire tu mbona madiwani waliwafanyia hivyo kwani zitto ni zaidi ya chama????

Zitto ni mwanachama wa Chadema anayeamini kwamba he is a party unto himself na ndio maana mara nyingi anapinga maamuzi ya chama ;mfano wenzie wanapotoka bungeni yeye anabaki, wakati wa uchaguzi mkuu alimpinga mgombea wa chadema na kumuanga mkono Kafulila kule Kigoma!! Mtu wa namna hii ni liability kwa chama na the sooner Chadema rids itself of this mole the better kwani MAJUTO NI MJUKUU!! Zitto is not a team player but "a lone ranger" and in order to win Chadema must work as a team.
 
ikiwa ni ushahidi wa wazi afukuzwe uanachama,lkn ikiwa ni wa kimazingira aachie ngazi unaibu katibu mkuu.Ikumbukwe pia zinaweza kuwa ni sarakasi za kisiasa zilizoasisiwa na magamba na magwanda kuzicheza hata bila ya kuisikilizia tune yake
 
ikiwa ni ushahidi wa wazi afukuzwe uanachama,lkn ikiwa ni wa kimazingira aachie ngazi unaibu katibu mkuu.Ikumbukwe pia zinaweza kuwa ni sarakasi za kisiasa zilizoasisiwa na magamba na magwanda kuzicheza hata bila ya kuisikilizia tune yake
Jambo linalonitatiza ni watu Zitto anaowatupia lawama dhidi ya shutma hizo.Ukimsoma vyema utagunduwa anawalalamikia wenzake ambapo walitakiwa wawe together.Statement yake haijasaidia chochote.However nakubaliana na maoni yako.
 
if you want to know how to lobby mr zk go and ask mr nimrod mkono he will tell you the story.
 
Hivi ni kinanani hao kati ya wabunge wa chadema wanaomchafua Zitto kwa tuhuma za rushwa ili asiweze kugombea urais?
 
Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,

Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?

Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.

He already said kuwa ikiwa proved(not mere allegations) kuwa amechukua rushwa, ATAWAJIBIKA...that means, tupende, tusipende, akiwa hatiani ATAWAJIBIKA...hatuna haja ya kupiga kura ya Ndio au Hapana...
Issue itakuwa pale ambapo wanao allege kuwa amepokea rushwa wakati hajapokea, itakuwa aibu sana.
 
He already said kuwa ikiwa proved(not mere allegations) kuwa amechukua rushwa, ATAWAJIBIKA...that means, tupende, tusipende, akiwa hatiani ATAWAJIBIKA...hatuna haja ya kupiga kura ya Ndio au Hapana...
Issue itakuwa pale ambapo wanao allege kuwa amepokea rushwa wakati hajapokea, itakuwa aibu sana.
Ikitokea kuwa hakuna ushahidi,basi lazima atakuwa ameshiriki huo mpango wa kukiingiza chama chake chaka.Sioni ni kivipi tuhuma za rushwa dhidi yake toka kwa kina Muhongo zina uhusiano na kugombea urais yeye vs Slaa ama yeyote ndani ya chadema.Unaweza ukanisaidia kuelewa hapo?Yani kina Slaa wameshirikiana na Muhongo et al,kupandikiza hizi tuhuma za rushwa?
 
ZITTO, i know you read this albeit seldomly. stand firm, focused and determined! We the voters will rule out this jujisu. Lowassa, Chenge, Karamagi et al., Jairo, Mahalu, Mkapa + meremeta are the sodid culprits and yet are still singing to cling to power. Cdm has never taken any action. Nani aliye msafi hapa? We will fight for you SIR!
 
Ikitokea kuwa hakuna ushahidi,basi lazima atakuwa ameshiriki huo mpango wa kukiingiza chama chake chaka.Sioni ni kivipi tuhuma za rushwa dhidi yake toka kwa kina Muhongo zina uhusiano na kugombea urais yeye vs Slaa ama yeyote ndani ya chadema.Unaweza ukanisaidia kuelewa hapo?Yani kina Slaa wameshirikiana na Muhongo et al,kupandikiza hizi tuhuma za rushwa?

Ulipoanza, hukuchanganya mambo ya Urais, umeuliza kuwa should the party fire him? If you want to speak of Urais nadhani ungeiweka post yako ikae vizuri zaidi. Issue hapa ni yeye kuwa fired endapo itathibitika kuwa amechukua Rushwa. Ikiwa amechukua, ameshasema atawajibika, irregardless of the stand of the party!!! Unless kama sijakuelewa thread yako, i stand to be corrected...Kama hajachukua Chama hakiwezi kumuwajibisha!Unamuwajibisha mtu kwa kitu ambacho una uhakika nacho na si vinginevyo.

Hayo ya Urais unayaleta ni mengine!
 
munafuta views za watu wengine...... Cdm No freedom of expression. embarassing enh
 
Ulipoanza, hukuchanganya mambo ya Urais, umeuliza kuwa should the party fire him? If you want to speak of Urais nadhani ungeiweka post yako ikae vizuri zaidi. Issue hapa ni yeye kuwa fired endapo itathibitika kuwa amechukua Rushwa. Ikiwa amechukua, ameshasema atawajibika, irregardless of the stand of the party!!! Unless kama sijakuelewa thread yako, i stand to be corrected...Kama hajachukua Chama hakiwezi kumuwajibisha!Unamuwajibisha mtu kwa kitu ambacho una uhakika nacho na si vinginevyo.

Hayo ya Urais unayaleta ni mengine!
mambo ya urais ni yeye aliyaleta baada ya kuhusishwa na rushwa,fwatilia vyema...
 
Zitto ni mwanachama wa Chadema anayeamini kwamba he is a party unto himself na ndio maana mara nyingi anapinga maamuzi ya chama ;mfano wenzie wanapotoka bungeni yeye anabaki, wakati wa uchaguzi mkuu alimpinga mgombea wa chadema na kumuanga mkono Kafulila kule Kigoma!! Mtu wa namna hii ni liability kwa chama na the sooner Chadema rids itself of this mole the better kwani MAJUTO NI MJUKUU!! Zitto is not a team player but "a lone ranger" and in order to win Chadema must work as a team.

Unajua sisi wote ni Wanachama, lakini sio kila kitu kinafanywa na viongozi wetu ni sahihi. What was the point ya wao kutoka Bungeni ilhali after that there are several moments bado walienda Ikulu kwa Kiongozi huyo huyo ambaye walisema kuwa hawamtambui?That was not right, ni bora na huyo ambaye haku show up kabisa kwa sababu anajua there is no way out utajifanya hamtambui mtu wakati kimsingi bado ataendelea kumtambua. That's fact tusipende kushangilia mambo ambayo ni ushabiki tu tujaribu wakati mwingine ku reason kidogo.....
 
ZITTO, i know you read this albeit seldomly. stand firm, focused and determined! We the voters will rule out this jujisu. Lowassa, Chenge, Karamagi et al., Jairo, Mahalu, Mkapa + meremeta are the sodid culprits and yet are still singing to cling to power. Cdm has never taken any action. Nani aliye msafi hapa? We will fight for you SIR!

That's the spirit...There are big fishes in the game and no one has touched them...bullshit
 
Mimi binafsi huyu mpiganaji ZZK ananichanganya. Mbona anamtetea Mhando eti sheria ya manunuzi haikifuatwa wakati kuna kipindi fulani alichukizwa sana na uendeshaji wa TNESCO akaagiza generator lichukuliwe kutoka nyumbani kwa Mhando? Je yeye alikuwa akifuata sheria gani? Fedha zinapotea kilaini anatetea. Katika mazingira haya wengi wataamini kuna harufu ya rushwa. Kama ikithibitika afukuzwe na si yeye tu anyone involved in corruption within CDM must GO GOOOOOOO! Corruption has eroded our country to horrendous levels. This must stop at any cost.
 
ZITTO, i know you read this albeit seldomly. stand firm, focused and determined! We the voters will rule out this jujisu. Lowassa, Chenge, Karamagi et al., Jairo, Mahalu, Mkapa + meremeta are the sodid culprits and yet are still singing to cling to power. Cdm has never taken any action. Nani aliye msafi hapa? We will fight for you SIR!
The issue here is not fighting for ZZK even if he is found guilty of corruption. We want to wipe corruption from our country. Does CHADEMA has the mandate to take action against CCM corruption other than the bold step to bring these issue and the thugs involved to the light? CHADEMA has done a great job to inform the public on the evils and
wickedness being cherished at the cost of millions of innocent Tanzanians. Hold CCM for not taking action and don't you ever support corruption even in its most insignificant form pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! I am terribly disgusted.
 
Asante umepost mada nzuri sana. Watanzania mtambue Zitto kama kibaraka wa ccm na ana sifa zifuatazo:
1.Anapenda sifa sana.
2. Kalikula rushwa tangu alivoteuliwa na baba mkwe wake kwenye kamati ya madini (Bomani)

3.Nia ya Zitto si kujenga chama bali kukibomoa kwani ushaidi upo kwamba ana mawasiliano ya karibu na watu wa uharibifu wa taifa.

4.Zitto ana kundi kubwa la waislamu nyuma ili akifukuzwa ionekane kafukuzwa chadema kwa sababu ya uislamu wake na si upuuzi anaoufanya!

5. Ni mhuni tu ndo maana bado ana utoto mwingi.

6. Ni mnafiki maana kila siku ni mtu wa kujipendekeza kwa JK. Naomba afukuzwe mara moja kwa mda huu chadema ina wabunge makini kuliko huyo mnafiki! Tuna lissu, mnyika, mdee, wenje, msigwa,nasse, sugu,n.k.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom