Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Kwa Viongozi wa juu wa CHADEMA ZITTO ni lazima aondoke iwe kwa kisingizio cha rushwa au mchezo mchafu. Musiki wa kufukuzwa kwa ZITTO , CHADEMA ni marudio ya kila mwezi kama si kila wiki. Wanachokiogopa Viongozi wa CHADEMA ni kukiuwa CHAMA, ukizingatia umaarufu aliokuwa nao Zitto kwa watanzania, sizungumzii wafuasi wa CHADEMA TU BALI WATANZANIA KWA UJUMLA.
Mkuu how sure are you?what if Zitto ndio antaka kuondoka kwa nguvu iwezekanavyo?Hata ikibidi kwa kukiua chama?Ujue kuna usemi waupendao wamarekani.."..if you want to kill a dog give him a bad name.."Hapa Zitto ndie anaonekana ama kwa kutojijua ama kwa kujua kukipa chama cha CDM jina baya ili ahalalishe atakalo.Mpaka sasa CDM mwenendo wao unaonekana kuwa :
-Utaifa mbele.(Zitto mara kibao kadai Bungeni kuwa sifa zake apewe, sifa ya kigoma isemwe hata katika vitu sensitive kama timu ya Vijana iliyofanya vizuri katika soka).Huo ndio utaifa ndugu yangu?

-Umoja ni Nguvu utengano ni udhaifu.(Uimara wa chama ni umoja wa wanachama na wawakilishi/viongozi).Zitto anapambana kujiimarisha ili awe zaidi arrogant and selfish.

-Njia pekee ya kukipa chama nguvu kwa taifa zima na si kwa majimbo fulani.Ni kutolimbikiza sifa kwa mtu mmoja.Kupeana majukumu ya kufanya katika Bunge, na nje kunawakomaza wabunge wachanga bila kuwadhalilisha kwa kuonekana hawajui kitu, au hawana mchango.

-Respect among each other na kutii kanuni bila shuruti, Zitto hajashikilia the top position katika chama.Kwa hiyo anao watu juu yake ambao anahitaji jibihave kwa kuheshimu hizo nafasi bila hofu, wala vurugu.Zitto inabidi atumie mfumo wa ndani kueleza mawazo yake bila payuka bungeni ama kuwaonyesha watu kuwa si iconic tena ktik kujenga chama.Hata hao CCM na udhaifu wao suala la wanachama kama wale watoto wakiona fimbo tuu kwa vile wana makosa basi huanza piga kelele nyingi sana hadi majirani wanakereka na kuamua ingilia wakidhani mtoto anauwawa.
Tofauti ya Zitto na wanasiasa wengine kama Tindu Lissu, Lema, Mbowe na Slaa, ni hilo alilolizungumzia ndugu Nicholas katika Quote. Kitendo cha kuweka Maslahi ya nchi mbele kuliko CHAMA. Eti Dhambi yake ni kuvisifia vyama Pinzani pale vinapofanya vizuri katika baadhi ya maeneo. Huku ni kukomaa kisiasa na si dhambi, na vyama vinahitajiwa kufanya hivyo pale nchi inapokuwa mbele kuliko chama.
Shida ni kwamba kuwapa credit wapinzani ni very tricky issue, kwa wengi na hata Zitto hapa.Lazima uwasifie wengine kwa mema wafanyayo ili uwe mpenda haki.Ila kwa africa vyma vingi na serikali nyingi si respsonsible,huwa wana abuse report sana.Kuna time mtu anahitaji kuwapa sifa kwa kiasi kwani, wanaweza itumia hiyo kauli yako kwa muda mrefu na katika mambo mabaya mengi.Mfano. Ni rahisi sana James Mbatia kemea CDM, kwa kuwaita wa msimu, wabinafsi wapenda fujo na raia wasichukulie serious.Lakini siku mtu kama Mbowe , Slaa au mwingine mwenye mvuto na kuaminika katika CDM atakaposimama katika event kubwa na kujisahu ,halafu akasema James Mbatia ni Kiongozi ,"MKWELI" sijui na jasiri etc..then kuna idadi kubwa kama si wote wa CDM watalisikia hilo neno na kuliamini.Siku inayofuata Mbati akisema lolote baya kuhusu CDM au kiongozi wake basi hawa raia watalichukulia kwa uzito.Leo CDM wana quote maneno ya Mwl kuhusu hicho chama Miaka ya nyuma.Ni matumaini yangu ndugu zangu mtajitahidi kutochanganya mambo hapa kw ahisia zenu kuhusu Zitto.Wapinzani wanaweza lazimisha Sifa walizopewa irresponsibly na Zitto kuwajenga dhidi ya CDM.CDm wakikanusha ,wanakuwa blackmailed kwa haya mambo "UKANDA na UDINI".nadhani umeona.

Kuna mfano mwingine wa watu wanaotafuta kukubalika(recognision) na watu maarufu au wapinzania".Utasikia mataifa ya maghari wakitoa masharti kuwa ili mazungumzo yaendelee na waarabu lazima "walitambue Taifa la Israel".Utakuta pia hata waislam wengi wakitete dini yao kwa "watu maarufu waliojiunga na uislam, au Idadi ya watu wa magharibi waliokumbatia uislam", alikadhalika pia wakristu kwa madhehebu yao wakijaribu taja "waislam maarufu waliokuwa Wakristu ". Zote hizi ni ground za kutambulika na hapo hapo kudhoofisha upande wa pili.
Idiolojia ya CHADEMA NI kutukana CHAMA pinzani hata pale inapofanya vizuri. Ukiwauliza CHADEMA ni nini (hata kimoja) CCM imefanya katika kipindi cha uraisi wa Kikwete. JIbu- Hakuna. Hata kuweka bajeti kwa ajili ya SENSA, wao husema ni upotevu wa pesa (rejea mazungumzu ya bajeti) japo SENSA haikuanza leo, na wao wanafahamu umuhimu wa sensa. Ukikiunga mkono CHAMA tawala wewe ni CCM-B. Idiolojia hii ni lazima CHADEMA waivue.

Mkuu unaua hiyo ideologia umeipata wapi?Kuhusu kuanika udhaifu na uovu nakubali,ila matusi sijasikia.CDM ni wapinzani, na kazi yao ni kuwabana waliopo katika utendaji au hata ushindani nao kwa yale mapungufu yao.Sasa kama hawa wanaobanwa wana maovu mengi kiasi cha kuona kila siku wao ndio wanatajwa tuu.

CDM pamoja na kuwa ni wapinzani wamefany amengi sana kupitia ufadhili wa viongozi, wananchi wenye moyo kam Sabodo etc.na yale ambayo kama yangekuwa mikononi mwa watendaji wa CCM yasingefanyika ma kwa wizi au kwa uzembe.

Kuhusu baadhi ya vyama kuwa CCM B hakuna mjadala.Labda uvitofautishe kwa kiwango cha mapenzi katik ahiyo ndoa na ufanisi wao aktik akuuwa upinzani.CUF hata wanachama wake wanakiri kuwa si ile iliyofanya wafe mitaani.NCCR tunaijua jinsi watu walivyorushwa roho halafu mrema kayeyuka, leo yupo TLP ila kila siku ni kusifia CCM kama vile wao ndio wametoa kodi zao kusaidia kiraracha.

CDM kukataa ushirika na vyma vyenye waroho wa madaraka ni uchizi achilia mbali kupunguza vyma ni kuua democrasia kwa kupunguza ushindani na chaguo kwa mpiga kura.Sasa kam TLP na NCCR wameshindwa kuza vyama wa nini kuwakumbatia?Yaani kuna hsughuli ya kuing`oa CCM, halafu uongeze ya kubebana na vyama ambavyo ni unstable.
Kabwe anaeleza KATIKA tweeter, atakwenda kwa KATIBU MKUU anatarajia nini wakati ametangaza kugombea Uraisi nafasi ambayo katibu mkuu ameihodhi. Hali halisi ni kuwa Anahitajiwa kuondolewa CHAMANI kwa Udi na uvumba, hasa katika kipindi hiki cha miaka mitatu mpaka uchaguzi. Akishinda kipindi hiki, kabwe ataimiliki CHADEMA. Na ninaimani atashinda.
Ingawa unaongeza chumvi kwa hisia, bado chama kimetumia busara na utu kumhifanyi ili wasimwaribie political carrieer yake.Pengine kwa kukumbuka michango yake ya nyuma.Ingekuwa mimi ni kiongozi wa kamati ya maadili na nidhamu ya chama ningemwita katika kamati ya maadili na kumhoji na huku pakitafutwa ushahidi wa nguvu kama kweli kaleta taabu anapigwa chini .Sidhani kama leo hata rais akipata kichaa halafu akaanza ua watu, kama hakuta option nyingine ya kumweka under control, kuna uwezekano naye akauwawa ingawa anapendwa.Naona watu wana hisia mpaka wanamfanya kuwa un touchable mapema sana.Sijui angekuwa nabii ingekueje wafuasi wake wangetuua kuliko tuhoji matendo yake.

Mimi sinchukii Zitto ila napata kichefuchefu wapenzi wake wanavyoweka hoja dhaifu against tawi alilokalia Zitto,bila kujua kuwa wakilikata na Zitto wao anapotea.Napata huru ma kwa watanzania kama wana fikra za namna hii wakiwa wenyewe,sijui wakiwa na mataifa mengine yenye jamii inayoangalia mambo kwa mapana zaidi itakuweje?Inaudhi hata vijana wasomi waodgo wana fikra mgando kuliko wazee walioishi kipindi hapakuwa na JF, twitter,you tube, google, wala chochote cha internet
 
Ni muda sasa unapita tangu tetesi na wakati mwingine si tetesi bali mazungumzo ya baadhi ya viongozi wa Chadema kuhusu Zitto kuonyesha kuwa ni mtu asiyehitajika kwa sasa ndani ya Chama.

Mwenendo wake ambao hata mimi siukubali umezidisha ari ya wengi wa wanachama na wapenzi wa Chadema washindwe kuhimili subra na uvumilivu kiasi cha kutumia kila fursa wanazozipata za kumjadili Zitto (mara nyingi huwa mitandaoni) kuonyesha wasivyomkubali kiongozi huyu.

Juzi, wakati Mhe. Freeman Mbowe alipokuwa akizungumza wakati wa kuchangia kampeni za vuguvugu la mabadiliko alitoa kauli ambayo kwangu mimi na wengie wenye akili tuliamini kuwa inakwenda kinyume na matwaka, mapenzi, mahitaji na fikra za Zitto mwenyewe. Ingawa sitaweza kusema neno kwa neno, angalau nirudie matamshi ya Mwenyekiti katika muktadha wa maudhui yale yale aliyotaka tuelewe. Mwenyekiti alisema hivi ..."Priority number 1 ni Education, Number 2 ni Education na number 3 ni Education.... akaendelea akasema, tunataka wabunge wa Chadema mwaka 2015 wafike 150. N a fucus yetu kwa sasa katika hilo SIO KUJUA nani atakuwa mbunge, na pia kwa sasa hatuhangaiki na kujua NANI ATAKUWA RAIS...."

Kwa matamshi hayo ya mwenyekiti, ukilinganisha na yale ambayo Zitto mwenyewe amekuwa akiyahubiri siku za karibuni pamoja na wapiga propaganda wake wa gazeti la Mwananchi ni dhahiri kwamba utaona Zitto anazungumza vitu ambavyo kwa sasa SIO focus ya chama. Na kama hivyo ndivyo sishangai kuona viongozi wengi wa Chama wakikwazika na matamshi ya Z

itto. Lakini sio kwambaq Zitto hajui kuwa viongozi wenzake hawafurahishwi na kauli zake. Kwa nini anaendeleza mivutano hiyo isiyo na maana, yeye mwenyewe anajua.

Nimepata bahati ya kuwa karibu na baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema wakiwamo wabunge. Wengi hawamwoni Zitto kama ni kiongozi wanayemtaka. Na baadhi yao wapatapo nafasi husema wazi kuwa Zitto ni mharibifu wa Chama kwa sasa.

Kauli rasmi ya Chama kuhusu matamshi ya Zitto na namna Zitto anavyokiharibu chama kwa kuunda mtandao wa makundi hasa kundi lake litakalotetea na kupigania dhamira yake ya kutamani kuwa Rais kabla muda rasmi wa Chama kutangaza azma zenye mwelekeo huo ingali kutolewa.

Wakati Chama kikihofia au kikimwogopa Zitto, magazeti nayo hayako nyuma kuongeza petroli kwenye moto. Mojawapo ni hili hapa la HOJA.

Viongozi wa Chadema, jitokezeni hadharani. Mkubali au Mpinge harakati za Zitto na kama Zitto yuko pamoja nanyi tunajua atashiriki na yeye kutoa ufafanuzi wa maoni yake kwa kauli ya chama kuhusu Urais.

Mnapokaa kimya, hoja za UDINI na UKANDA zinazochochewa na CCM pamoja na baadhi ya vyombo vya habari zitashamiri na mwisho wa siku chama kitashindwa kujipatia wanachama zaidi kwa kuaminishwa kuwa Zitto anachukiwa kwa sababu ya dini au ukanda anaotokea.

Na Zitto mwenyewe pia ninamshauri ajitokeze hadharani kudhihirisha yupo na wenzake ama yuko peke yake ndani ya Chama.
488241_473168416029283_17486757_n.jpg
 
Nadhani wewe ndio hujui mengi yasemwayo na equivalence ya majibu yako na blackmailing katika issue zimhusuzo Zitto.Nimeweka posting ndefu nikijaribu kuweka maelezo ili ufahamu usemalo.Ila kama nilivyokuwa nikikuambia nahitaji ku decode motive yako ndio bado unazidi dhihirisha.Issue ni Zitto, ila wewe na watu wengine mna drag watu waipeleke kwa watu wasiotuhumiwa na thread husika .Halafu mara nyingi wewe na wengine wengi tuu, mnajibu hoja kama mna m-defend Zitto kwa kutaka linganisha yeye na wengine ambao hawajatuhumiwa katika thread husika.(Hili ni jaribio la kunyamazisha wengine, kama vile mwaga mboga nimwage ugali).na hii ndio blackmailing.Kujaribu sunga midomo ya wengine kwa tuishio la kuweka wazi scandle au hata kufanya kitu kilicho katika mamlaka yako.

Unless uniambie kuwa haikuwa intentional ila kwa postings zako ni wazi una blackmail wengine (Au CDM in this forum),ili Umsave Zitto.Na si Zitto ajiweke katika mazingira yanayoleta imani kwa timu.Hembu kasome ulichopost kuhus Zitto kama hakuna footprints za Blackmailing?Mojawapo ni Ile ya kutaka Zitto alte mafaili yake kuhus wana CDM wengine na wanaCDM walete kuhusu Zitto halafu aangaliwe nani mwenye makosa mengi?Nilibishana sana na wewe,ukaamua lalia chaka la kuwa ni sumu ya CCM na hao jamaa ni victim.Kuna mengi nilikuuliza ukaanza pandisha adrenaline na kidogo ukaanza shutumu wengine haelewi ,mara kila mtu aamini chake.Ila nikakuuliza pia inakuweje unapootaka waaminisha wengine?Sometimes kama unataka resolve ambiguities katika fikra zako in relation to the outside world basi demand more explaination in a calm way,thne somewhere unaweza pata resolution.
Nimekuuliza swali rahisi kabisa, mimi na Blackmail nani na ili nipate nini? hizi lugha za kusomea madarasani wenzetu ndio tunazungumza kila siku ya maisha yetu hata ndoto zetu tunaota kwa kiingfereza, Tafadhali weka heshima kidogo tu tutaweza kujadiliana..Acha lugha ya matusi haya makubwa kutumia ktk mijadala ikiwa hujui maana yake maana unaposema nam blackmail mtu ina maana nafanya crime mbaya sana holding something not mine to get paid for...for what?. Nai blackmail Chadema? - what the heck!... unajua ulisemalo au lugha inakupiga chenga!

Hakuna mtu anayepindisha jambo lolote hapa labda wewe ndio hujui wala sio msomaji mzuri, umesoma lakini hujaelemika na ndio maana unatumia maneno pasipo kuelewa uzito wake. Nimemuhusisha nani asiyekuwa mtuhumiwa?.. Na nilikuuliza toka mwanzo, ni toka lini mtuhumiwa asipewe benefit of the doubt?..Hivyo napoiweka doubt ya hizi tuhuma wewe unaona namtetea wakati huna ushahidi wowote isipokluwa chuki yako binafsi. Humsaidii kitu Zitto wala Chadema ila unazidisha mgogoro ndani ya chama na kuwachanganya watu, wee vipi mraza mbona hueleweki?.. nini kimekupata haswa hadi unifuate Mkandara ktk kila hoja ili mradi upasishwe hoja yako. Huna ushahidi kaa kimya kwa sababu najua fika kwamba hizi habari za rushwa mnazipika ili Zitto aonekane mtu mbaya sana wakati mnapika majungu haya - Haifai mraza...
 
Chama kina wabunge wasiozidi 20 wa kuchaguliwa lakini kinaona kama vile hii nchi tayari ni ya kwao.

Chama kila siku ni malumbano, kila mtu anajiangalia kwa maslahi yake binafsi.Leo Zitto, kesho Mnyika, Slaa ndio usiseme, Lissu naye anatafuta atoke vip, cha ajabu mpaka hayu kinda kwenye siasa Nasar naye mmeshamharibu!

Chama hakina focus, mara nmasema focus ni elimu, but ukiangalia mpaka sasa hamna chochote mlichochangia kwenye elimu. Sijui mnamaanisha elimu ya kutangaza ufalme wa kichaga Tanzania, au elimu ya kumkomboa mtanzania.

Nina furaha sana cuz kwa stahili hii CCM itaongoza milele.
 
Chama kina wabunge wasiozidi 20 wa kuchaguliwa lakini kinaona kama vile hii nchi tayari ni ya kwao.

Chama kila siku ni malumbano, kila mtu anajiangalia kwa maslahi yake binafsi.Leo Zitto, kesho Mnyika, Slaa ndio usiseme, Lissu naye anatafuta atoke vip, cha ajabu mpaka hayu kinda kwenye siasa Nasar naye mmeshamharibu!

Chama hakina focus, mara nmasema focus ni elimu, but ukiangalia mpaka sasa hamna chochote mlichochangia kwenye elimu. Sijui mnamaanisha elimu ya kutangaza ufalme wa kichaga Tanzania, au elimu ya kumkomboa mtanzania.

Nina furaha sana cuz kwa stahili hii CCM itaongoza milele.

CCM itakayotawala milele ni ipi mkuu? CCM ya Membe, Sitta, Lowassa au ya Nchimbi?
 
CCM itakayotawala milele ni ipi mkuu? CCM ya Membe, Sitta, Lowassa au ya Nchimbi?
CCM ni CCM mkuu, kumbuka historia ya Tanzania, toka enzi za Nyerere, makundi ndani ya CCM yamekuwa yakiwepo. But when it comes to uchaguzi, tofauti zote zinaondolewa na inakuwa focus ni mshikamano wa chama kwanza. Nidhamu hii ndiyo inayoitofautisha CCM na vyama uchwara vya upinzani.
 
Nimekuuliza swali rahisi kabisa, mimi na Blackmail nani na ili nipate nini? hizi lugha za kusomea madarasani wenzetu ndio tunazungumza kila siku ya maisha yetu hata ndoto zetu tunaota kwa kiingfereza, Tafadhali weka heshima kidogo tu tutaweza kujadiliana..Acha lugha ya matusi haya makubwa kutumia ktk mijadala ikiwa hujui maana yake maana unaposema nam blackmail mtu ina maana nafanya crime mbaya sana holding something not mine to get paid for...for what?. Nai blackmail Chadema? - what the heck!... unajua ulisemalo au lugha inakupiga chenga!

Hakuna mtu anayepindisha jambo lolote hapa labda wewe ndio hujui wala sio msomaji mzuri, umesoma lakini hujaelemika na ndio maana unatumia maneno pasipo kuelewa uzito wake. Nimemuhusisha nani asiyekuwa mtuhumiwa?.. Na nilikuuliza toka mwanzo, ni toka lini mtuhumiwa asipewe benefit of the doubt?..Hivyo napoiweka doubt ya hizi tuhuma wewe unaona namtetea wakati huna ushahidi wowote isipokluwa chuki yako binafsi. Humsaidii kitu Zitto wala Chadema ila unazidisha mgogoro ndani ya chama na kuwachanganya watu, wee vipi mraza mbona hueleweki?.. nini kimekupata haswa hadi unifuate Mkandara ktk kila hoja ili mradi upasishwe hoja yako. Huna ushahidi kaa kimya kwa sababu najua fika kwamba hizi habari za rushwa mnazipika ili Zitto aonekane mtu mbaya sana wakati mnapika majungu haya - Haifai mraza...

Naona umeamua kuwa militant, na unaanza play victim kuwa umetukanwa,huku ukitukana kupitia mlango wa nyuma, then unanishutumu kukfuata.sidhani kam anakufuata specifically na sidhani kama great thinker utataka jificha katika hiki kichaka kuwa nakufuata.Unachukulia vitu too personal ndio maana unapandisha hasira haraka sana.N ahata hapa nimetoa mfano wa mimi kupingana nawe kwa muda mrefu ni kutokana na defence uliyoianzisha na sababu ulizokuwa ukitoa na si kujenga tena mahusiano yako na kinachoendela hapa.Pi kama vile hujui hii ni public forum ndio maana posting zipo kwa kila mtu hata vistors asiyekuwa registered,sasa sijui unalia nini?Au bado una mitazamo ya kujifcha na kujijengea domaina yako ambayo watu wote wanasema ndio mzee.

Kwanza inabidi ujue Iam radical by nature, na kuna vitu si agree navyo kutokana na misingi niliyojifunza, kuikubalia na kuiamini kuwa inaleta balance, inaachia wengine wapaticipate katika jamii , wawe huru, wafanya yote katika jamii kwa kadiri ya uwezo wao,nia yao na kuwajibika .Nachukia pia pia watu kudanganya watu, nachukia watu kuprogramme watu, nachukia watu kuwa irresponsible wakidhnai baadaye watasema tuu kirahisi "ah samahani ni bahati mbaya,tuahcane na yaliyopita, wakati kipindi akifanya lipata nafasi ya kuonywa na hakusikia hadi alipoleta hasara iliyoweza epukika ndio nakuja na lame excuse", nachukia mtu kuamini afanyalo ndicho aaminicho huku ukweli ukiwa otherwise.Na hii ni shida ya wajamaa wanachokihbiri si wakifanyacho.nachukia majibu mabaya, nachukia tabia zinazowafanya watu wafanye makosa halafu wazoee kiasi cha kufikia wao wenyewe waamini kuwa si makosa tena.Nachukia kutokuwa responsible.ILA SICHUKII MTU KAMA MTU,AKA BINADAMU as NAAMINI KATIK HAKI ZA BINADAMU NA WAJIBU WAKE KATIKA JAMII.NINA AMINI KATIKA SI TUU UHURU WA KUPATA HABARI<BALI KUPATA HABARI SAHIHI.

Tukirudi hapa.Nimekuambia ungalie posting zako ulipokuwaukijibu posting za wengine.Nikakuleza kuwa ligically kuna problem katik reasoning na linking ya bigger picture ya mfuatano wa post zako ktik suala la Zitto.

Nazo ni kama hivi
-Umempa ushauri Zitto, watu wakaingia kuchnagia.
-Ukarudi kumlinda+ uka introduce premise nyingine(mafile ya wa CDM wengine na aliyonayo Zitto, ukaanza poteza muda kuongelea wana CDM wengine in a very aggressive ways-HAPA NDIPO ILIPO TONE YA BLACKMAILING).
-Then nikaanza onyesha kutofiki na baadhi ya vitu(ukaanza nishambulia kuwa namchukia zitto, na wanazi wengine, nikakuambia kuwa hata kadi ya CDM sina).

-Ukaja na conspiracy theory(kuwa ni mtego wa CCM).Napo pia nilikupa jibu kuwa CCM tunawajua kuwa wapo busy kuua vyama vingine kuliko kujirekebisha.Ila CDm wapo dynamic kiasi ch akuwashinda kufanikiwa.Ukaja juu kuwa CDm hawapo flexible.NIkakupa ushahidi kuwa Kufika kwao hapo wameruka mengi ya CCM tofuati na vyma vingine.

kwanza mazungumao yalivyokuwa yakiendelea nilikuwa nikijaribu ku alert kuwa njia zako zinapingana na ushauri wako wa mwanzo, kwani ulikuwa ukimpa option ya kublackmail,then nikakuambia kuwa unamtetea kwa style ambayo hata yeye wenyewe inawezekana asingejitetea hivyo.Then ukakomaa in a way ambayo ilikuwa ikionyesha kuwa wewe ndio una introduce hizo patterns za blackmailing na hivyo wewe pia una black mail CDM.Wewe utamwonyaje Zitto halafu unaanza komaa kuwa sijui wana CDM wengine nao ni wakosefu,then kuwa compare na Zitto wakati thread haikuwa kwa ajili yao na hivyo si sahihi kujumuishwa kwa staili hiyo.Au auliiweka makusudi ili uanze msafisha na kunjenga kama Hero?Si mbaya kam auna hidden agenda ila basi ungekuwa honest enough kukubali wanaolalamika kuwa Zitto nahitaji warudishia imani wafuasi wake nao waweze mpatia ushauri wao.Hembu spend sometimes Kurudi na kupiti aulichoandika halafu jaribu link halafu useme kama ligically kama hakuna contradictions.

kwani wewe mheshimiwa hofu yako nini?hupendi challenge?Unapenda nini kuwajaza watu fikra zako tuu?Kwa lugh auliyotumia kunijibu naona kali kuliko yangu.Hapo ndipo mimi huwa najump kwa wachangiaji bila kujali ni nani.Kwa vile watu wanakuwa si honest, watu wanakuwa irresponsible , wanafanya vitu inappropriate.Sitaki sem awala sitosema kuwa mimi ni sahihi sana ila ni jitihada zangu kuwa responsible na honest.
 
CCM ni CCM mkuu, kumbuka historia ya Tanzania, toka enzi za Nyerere, makundi ndani ya CCM yamekuwa yakiwepo. But when it comes to uchaguzi, tofauti zote zinaondolewa na inakuwa focus ni mshikamano wa chama kwanza. Nidhamu hii ndiyo inayoitofautisha CCM na vyama uchwara vya upinzani.

yaonekana unanufaika na mfumo uliopo..ccm shughuli yake imeisha..CCM MEMBE .,CCM LOWAHASA.,CCM MWAKYEMBE,.CCM WAHASIRA.,CCM JANUARY ambalo ni kundi jipya alilotambulisha Said Bagaile Kigwangalah hapa JF ambalo linaaminika ni hatari hasa kwa usalama Kigwa akiwa member
 
Zitto mbona anaonewa sana huko chadema jamani? ...yaani hamuishi mashtaka nae kila siku zitto zitto ....kama vipi si mkubali tu kuwa amewazidi ujanja? ...asjyekubali kushindwa si mshindani
 
Chama kina wabunge wasiozidi 20 wa kuchaguliwa lakini kinaona kama vile hii nchi tayari ni ya kwao.

Chama kila siku ni malumbano, kila mtu anajiangalia kwa maslahi yake binafsi.Leo Zitto, kesho Mnyika, Slaa ndio usiseme, Lissu naye anatafuta atoke vip, cha ajabu mpaka hayu kinda kwenye siasa Nasar naye mmeshamharibu!

Chama hakina focus, mara nmasema focus ni elimu, but ukiangalia mpaka sasa hamna chochote mlichochangia kwenye elimu. Sijui mnamaanisha elimu ya kutangaza ufalme wa kichaga Tanzania, au elimu ya kumkomboa mtanzania.

Nina furaha sana cuz kwa stahili hii CCM itaongoza milele.
chama cha hovyo kila wakilala machame wanaona jinamizi la mafanikio ya Zitto ..
 
Mie sisemi maana nshasema sana kuwa kijana huyu ana tamaa na hafai. Mi humuona kama pandikizi la CCM kama walivyokuwa akina Mrema, Cheyo, Seif, Lipumba, Kaboro, Kafulila, Mbatia na wachumia tumbo wengine waliojazana kwenye vyama vya siasa ili kupata nafasi ya kuwa karibu na serikali na chama vya kifisadi ili kuambulia makombo yatokanayo na ufisadi. Time to show Zitto the door is now.
 
Chama kina wabunge wasiozidi 20 wa kuchaguliwa lakini kinaona kama vile hii nchi tayari ni ya kwao.

Chama kila siku ni malumbano, kila mtu anajiangalia kwa maslahi yake binafsi.Leo Zitto, kesho Mnyika, Slaa ndio usiseme, Lissu naye anatafuta atoke vip, cha ajabu mpaka hayu kinda kwenye siasa Nasar naye mmeshamharibu!

Chama hakina focus, mara nmasema focus ni elimu, but ukiangalia mpaka sasa hamna chochote mlichochangia kwenye elimu. Sijui mnamaanisha elimu ya kutangaza ufalme wa kichaga Tanzania, au elimu ya kumkomboa mtanzania.

Nina furaha sana cuz kwa stahili hii CCM itaongoza milele.

Ni wazo pia
 
Naona umeamua kuwa militant, na unaanza play victim kuwa umetukanwa,huku ukitukana kupitia mlango wa nyuma, then unanishutumu kukfuata.sidhani kam anakufuata specifically na sidhani kama great thinker utataka jificha katika hiki kichaka kuwa nakufuata.Unachukulia vitu too personal ndio maana unapandisha hasira haraka sana.N ahata hapa nimetoa mfano wa mimi kupingana nawe kwa muda mrefu ni kutokana na defence uliyoianzisha na sababu ulizokuwa ukitoa na si kujenga tena mahusiano yako na kinachoendela hapa.Pi kama vile hujui hii ni public forum ndio maana posting zipo kwa kila mtu hata vistors asiyekuwa registered,sasa sijui unalia nini?Au bado una mitazamo ya kujifcha na kujijengea domaina yako ambayo watu wote wanasema ndio mzee.

Kwanza inabidi ujue Iam radical by nature, na kuna vitu si agree navyo kutokana na misingi niliyojifunza, kuikubalia na kuiamini kuwa inaleta balance, inaachia wengine wapaticipate katika jamii , wawe huru, wafanya yote katika jamii kwa kadiri ya uwezo wao,nia yao na kuwajibika .Nachukia pia pia watu kudanganya watu, nachukia watu kuprogramme watu, nachukia watu kuwa irresponsible wakidhnai baadaye watasema tuu kirahisi "ah samahani ni bahati mbaya,tuahcane na yaliyopita, wakati kipindi akifanya lipata nafasi ya kuonywa na hakusikia hadi alipoleta hasara iliyoweza epukika ndio nakuja na lame excuse", nachukia mtu kuamini afanyalo ndicho aaminicho huku ukweli ukiwa otherwise.Na hii ni shida ya wajamaa wanachokihbiri si wakifanyacho.nachukia majibu mabaya, nachukia tabia zinazowafanya watu wafanye makosa halafu wazoee kiasi cha kufikia wao wenyewe waamini kuwa si makosa tena.Nachukia kutokuwa responsible.ILA SICHUKII MTU KAMA MTU,AKA BINADAMU as NAAMINI KATIK HAKI ZA BINADAMU NA WAJIBU WAKE KATIKA JAMII.NINA AMINI KATIKA SI TUU UHURU WA KUPATA HABARI<BALI KUPATA HABARI SAHIHI.

Tukirudi hapa.Nimekuambia ungalie posting zako ulipokuwaukijibu posting za wengine.Nikakuleza kuwa ligically kuna problem katik reasoning na linking ya bigger picture ya mfuatano wa post zako ktik suala la Zitto.

Nazo ni kama hivi
-Umempa ushauri Zitto, watu wakaingia kuchnagia.
-Ukarudi kumlinda+ uka introduce premise nyingine(mafile ya wa CDM wengine na aliyonayo Zitto, ukaanza poteza muda kuongelea wana CDM wengine in a very aggressive ways-HAPA NDIPO ILIPO TONE YA BLACKMAILING).
-Then nikaanza onyesha kutofiki na baadhi ya vitu(ukaanza nishambulia kuwa namchukia zitto, na wanazi wengine, nikakuambia kuwa hata kadi ya CDM sina).

-Ukaja na conspiracy theory(kuwa ni mtego wa CCM).Napo pia nilikupa jibu kuwa CCM tunawajua kuwa wapo busy kuua vyama vingine kuliko kujirekebisha.Ila CDm wapo dynamic kiasi ch akuwashinda kufanikiwa.Ukaja juu kuwa CDm hawapo flexible.NIkakupa ushahidi kuwa Kufika kwao hapo wameruka mengi ya CCM tofuati na vyma vingine.

kwanza mazungumao yalivyokuwa yakiendelea nilikuwa nikijaribu ku alert kuwa njia zako zinapingana na ushauri wako wa mwanzo, kwani ulikuwa ukimpa option ya kublackmail,then nikakuambia kuwa unamtetea kwa style ambayo hata yeye wenyewe inawezekana asingejitetea hivyo.Then ukakomaa in a way ambayo ilikuwa ikionyesha kuwa wewe ndio una introduce hizo patterns za blackmailing na hivyo wewe pia una black mail CDM.Wewe utamwonyaje Zitto halafu unaanza komaa kuwa sijui wana CDM wengine nao ni wakosefu,then kuwa compare na Zitto wakati thread haikuwa kwa ajili yao na hivyo si sahihi kujumuishwa kwa staili hiyo.Au auliiweka makusudi ili uanze msafisha na kunjenga kama Hero?Si mbaya kam auna hidden agenda ila basi ungekuwa honest enough kukubali wanaolalamika kuwa Zitto nahitaji warudishia imani wafuasi wake nao waweze mpatia ushauri wao.Hembu spend sometimes Kurudi na kupiti aulichoandika halafu jaribu link halafu useme kama ligically kama hakuna contradictions.

kwani wewe mheshimiwa hofu yako nini?hupendi challenge?Unapenda nini kuwajaza watu fikra zako tuu?Kwa lugh auliyotumia kunijibu naona kali kuliko yangu.Hapo ndipo mimi huwa najump kwa wachangiaji bila kujali ni nani.Kwa vile watu wanakuwa si honest, watu wanakuwa irresponsible , wanafanya vitu inappropriate.Sitaki sem awala sitosema kuwa mimi ni sahihi sana ila ni jitihada zangu kuwa responsible na honest.
Hivi shule gani mnazofundishwa kubishana vitu pasipo merits. Nimekuuliza swali rahisi na dogo sana mara ya ngapi sasa?.. Je, unajua maana ya blackmail? hujibu ila unarudia kutoa mifano na matumizi yasiyofanana na neno lenyewe.. Kiingereza mmejifunza wapi? jamani lugha ya watu iacheni andika kiswahili tutakuelewa vizuri sana. Unaponambia mimi nai blackmail Chadema hili ni tusi kubwa sana na kama wewe huoni tusi basi hujui kiingereza isipokuwa cha kusomea darasani kushinda mitihani, hii lugha ya watu brazaa!..umejifunza kuleta balance ya vitu gani, hii elimu gani hii ya unajimu!..

Nimeshakwambia Zitto, Mbowe, Mnyika, Dr.Slaa wote wanapitia hapa JF kila siku na kama niloandika yana uongo wangekuja kupinga niloyaandika na wala sihitaji lolote kutoka kwao ama Chadema kama malipo haramu kwa siri ama ushahidi nilokuwa kinyume cha haki ( I could be sued for that), zaidi ya mimi kuwafahamisha nyote hapa ya kwamba wanachonganishwa makusudi kukorofishana. Walianza na Chacha Wangwe, walipoona hana manufaa wakamwondoa sasa wanamtumia Zitto kama mtaji wa kuibomoa Chadema na nasema tena viongozi wa Chadema wanalijua hili isipokuwa nyie washbiki wa pembeni ndio mnaleta ajizi na hata huu Udini uliopo sasa. hakuna mawasilaino mazuri kati ya Zitto na Mbowe miaka sasa na sababu ilikoanzia nazijua ila sina sababu ya kuanika. Kama wao wana mashaka na niloyaandika waje hapa halafu tutaona mwisho wa hoja hii itatufikisha wapi!.. am down with it!

Na pengine nikwambie najua mengi zaidi ya unavyofikiria na siwezi kuandika hapa JF wala sijaambiwa na hata mmoja wao kuhusu mtu mwingine. Hizi ni habari nilizozipata toka reliable sources hata kabla sijajiunga na Chadema way back baada ya uchaguzi wa mwaka 2005. Hivyo naelewa source na mgogoro uliopo baina ya Zitto na uongozi wa Chadema na nimeweka wazi kabisa kwamba vimepikwa. Na hata wanapokosea iwe Mnyika, Mbowe au Dr.Slaa huweka wazi hapa JF simwogopi mtu wala sina ubia na mtu isipokuwa penye sifa zao huwapa sifa hizo. Nenda kasome mada nilizoanzisha kuhusu Zitto halafu unambie nategemea Chadema wanilipe nini ili niwape nini?..

Wewe unayerukia bandwagon ndio mwenye matatizo, na Nimesema kama hutaki unaacha mkuu wangu kuliko kuendelea kumpakaza Zitto wakati tunayajua makosa yake na wapi mnapika ili kuleta uhasama ndani ya chama ati afukuzwe? who the hell are you?. He has done things wrong, so were others na kinachohitajika ni kuelekezana sio kukashifu ktk vitu ambavyo huna ushahidi tena vimepandikizwa na watu wanaotaka kukivuruga chama. Shida yako nini hasa?..Unataka nikwambie makosa ya wengine, kwani wao ndio mada hii ama nachoweza kusema hata wao wanayafanya makosa ktk mada zinazowahusu, labda fanya kunitafuta humu JF utaniona sehemu kibao nachangia kwa mtazamo wangu na simwachi mtu.

- Nimemaliza, na sina haja wala sababu ya kuendelea na mjadala huu..
 
Chama kina wabunge wasiozidi
20 wa kuchaguliwa lakini kinaona kama vile hii nchi tayari ni ya kwao.

Chama kila siku ni malumbano, kila mtu anajiangalia kwa maslahi yake
binafsi.Leo Zitto, kesho Mnyika, Slaa ndio usiseme, Lissu naye anatafuta
atoke vip, cha ajabu mpaka hayu kinda kwenye siasa Nasar naye
mmeshamharibu!

Chama hakina focus, mara nmasema focus ni elimu, but ukiangalia mpaka
sasa hamna chochote mlichochangia kwenye elimu. Sijui mnamaanisha elimu
ya kutangaza ufalme wa kichaga Tanzania, au elimu ya kumkomboa
mtanzania.

Nina furaha sana cuz kwa stahili hii CCM itaongoza milele.

njaa,njaa,njaa,njaa, njaa hitakuua mkuu,ngalia usiuze mke wako kw magamba kwa ajili ya tumbo mkuu...shirikisha ubongo hata kigodo instead ya masaburi...
 
Zitto is no longer a problem time will tell. CDM should not waste time discussing about Zitto's presidency instead M4C strategies!
 
hayo mawazo yako ww rejao hayo malumbano yako wapi acha uzushi,labda itakuongoza ww milele lakini si watanzania wa leo ambao hata uhakika wa buku mbili inakuwa shida.
 
Ni muda sasa unapita tangu tetesi na wakati mwingine si tetesi bali mazungumzo ya baadhi ya viongozi wa Chadema kuhusu Zitto kuonyesha kuwa ni mtu asiyehitajika kwa sasa ndani ya Chama.

Mwenendo wake ambao hata mimi siukubali umezidisha ari ya wengi wa wanachama na wapenzi wa Chadema washindwe kuhimili subra na uvumilivu kiasi cha kutumia kila fursa wanazozipata za kumjadili Zitto (mara nyingi huwa mitandaoni) kuonyesha wasivyomkubali kiongozi huyu.

Juzi, wakati Mhe. Freeman Mbowe alipokuwa akizungumza wakati wa kuchangia kampeni za vuguvugu la mabadiliko alitoa kauli ambayo kwangu mimi na wengie wenye akili tuliamini kuwa inakwenda kinyume na matwaka, mapenzi, mahitaji na fikra za Zitto mwenyewe. Ingawa sitaweza kusema neno kwa neno, angalau nirudie matamshi ya Mwenyekiti katika muktadha wa maudhui yale yale aliyotaka tuelewe. Mwenyekiti alisema hivi ..."Priority number 1 ni Education, Number 2 ni Education na number 3 ni Education.... akaendelea akasema, tunataka wabunge wa Chadema mwaka 2015 wafike 150. N a fucus yetu kwa sasa katika hilo SIO KUJUA nani atakuwa mbunge, na pia kwa sasa hatuhangaiki na kujua NANI ATAKUWA RAIS...."

Kwa matamshi hayo ya mwenyekiti, ukilinganisha na yale ambayo Zitto mwenyewe amekuwa akiyahubiri siku za karibuni pamoja na wapiga propaganda wake wa gazeti la Mwananchi ni dhahiri kwamba utaona Zitto anazungumza vitu ambavyo kwa sasa SIO focus ya chama. Na kama hivyo ndivyo sishangai kuona viongozi wengi wa Chama wakikwazika na matamshi ya Z

itto. Lakini sio kwambaq Zitto hajui kuwa viongozi wenzake hawafurahishwi na kauli zake. Kwa nini anaendeleza mivutano hiyo isiyo na maana, yeye mwenyewe anajua.

Nimepata bahati ya kuwa karibu na baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema wakiwamo wabunge. Wengi hawamwoni Zitto kama ni kiongozi wanayemtaka. Na baadhi yao wapatapo nafasi husema wazi kuwa Zitto ni mharibifu wa Chama kwa sasa.

Kauli rasmi ya Chama kuhusu matamshi ya Zitto na namna Zitto anavyokiharibu chama kwa kuunda mtandao wa makundi hasa kundi lake litakalotetea na kupigania dhamira yake ya kutamani kuwa Rais kabla muda rasmi wa Chama kutangaza azma zenye mwelekeo huo ingali kutolewa.

Wakati Chama kikihofia au kikimwogopa Zitto, magazeti nayo hayako nyuma kuongeza petroli kwenye moto. Mojawapo ni hili hapa la HOJA.

Viongozi wa Chadema, jitokezeni hadharani. Mkubali au Mpinge harakati za Zitto na kama Zitto yuko pamoja nanyi tunajua atashiriki na yeye kutoa ufafanuzi wa maoni yake kwa kauli ya chama kuhusu Urais.

Mnapokaa kimya, hoja za UDINI na UKANDA zinazochochewa na CCM pamoja na baadhi ya vyombo vya habari zitashamiri na mwisho wa siku chama kitashindwa kujipatia wanachama zaidi kwa kuaminishwa kuwa Zitto anachukiwa kwa sababu ya dini au ukanda anaotokea.

Na Zitto mwenyewe pia ninamshauri ajitokeze hadharani kudhihirisha yupo na wenzake ama yuko peke yake ndani ya Chama.
488241_473168416029283_17486757_n.jpg

ZITTO ajitokeze zaidi kusema nini wakati tayari alishatangaza anataka urais, Mlaumuni Mwenyekiti wenu aliyeonesha wazi kuwa anamwogopa ZITTO na kuanza kutoa hotuba zilizodhihirisha hilo. Yeye si alijinadi kuwa yeye ndiye kiongozi mkuu wa CDM, alishindwa nini kutoa msimamo wa Chama kumhusu ZITTO.
 
hayo mawazo yako ww rejao hayo malumbano yako wapi acha uzushi,labda itakuongoza ww milele lakini si watanzania wa leo ambao hata uhakika wa buku mbili inakuwa shida.
Hivi unategemea uzembe wa watanzania , CDM ndiyo itaawahakikishia buku 2 kwa siku bila kufanya kazi? tehe tehe tehe. Acha kukatisha tamaa wale wenye moyo wa kufanyakazi. Kama CDM hawajaingia madarakani, leo wameanza kuchangisha wananchi pesa kwa kisingizio eti za vuguvugu la madadiliko. Ni hao hao wanaochangishwa pesa ndiyo watakaolihujumu taiifa baadaye. Kamwe watanzania wachache tunaojua hila za CDM hatutakubali ujinga huo.
 
njaa,njaa,njaa,njaa, njaa hitakuua mkuu,ngalia usiuze mke wako kw magamba kwa ajili ya tumbo mkuu...shirikisha ubongo hata kigodo instead ya masaburi...
Ni sawa na wewe unaehangaika na hao achagga, Hivi unawajua vizuri walikuwa kwenye hafla ya kuchangisha fedha za CDM? Ni watu kutoka Kilimanjaro , Manyara na Arusha. Kwa nini hao pekee. Tutapigana hadi mwisho kuhakikisha gonjwa hili hatari la Ukanda, udini na ukabila haliingii nchini mwetu, litaishia huko huko CONSERVATIVE.
 
Chama kina wabunge wasiozidi 20 wa kuchaguliwa lakini kinaona kama vile hii nchi tayari ni ya kwao.

Chama kila siku ni malumbano, kila mtu anajiangalia kwa maslahi yake binafsi.Leo Zitto, kesho Mnyika, Slaa ndio usiseme, Lissu naye anatafuta atoke vip, cha ajabu mpaka hayu kinda kwenye siasa Nasar naye mmeshamharibu!

Chama hakina focus, mara nmasema focus ni elimu, but ukiangalia mpaka sasa hamna chochote mlichochangia kwenye elimu. Sijui mnamaanisha elimu ya kutangaza ufalme wa kichaga Tanzania, au elimu ya kumkomboa mtanzania.

Nina furaha sana cuz kwa stahili hii CCM itaongoza milele.

Ramadhani Ighondu AKA "Abeid" unajitayarisha vipi kumpokea Ulimboka? Tamaa ya kuongoza milele ndio mpaka mtake kuua watu wenu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom