Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,523
Mtakoma sana, vidola vyenu vya mabox na vijisent vya kula vumbi lazima vipukutishwe kama majani.
Thubutu! Nilivyo mbahiri...hakuna cha Shilole wala Mtoto Shoo
Mtakoma sana, vidola vyenu vya mabox na vijisent vya kula vumbi lazima vipukutishwe kama majani.
Aaaah Shilole Shilole....mtoto kutoka Igunga, Tabora.
Wanaume mtakoma karne hii. . .
Thubutu! Nilivyo mbahiri...hakuna cha Shilole wala Mtoto Shoo
...wa mia mia mbona bado wako wengi tu......huyu katumika sana hata hivyo
kwa hiyo anauza? khaaa
cheki humu!!!!! zingatia 3:16, 3:48, 6:14,
Wengine ugonjwa wetu huuuuuuuuuu, anapatikana wapi jamaniiiiiiiiiii?
Msikilize anaongea nini kwenye 5:07, jamanii mimi hoiiiiiiiiiiiiiii
[video=youtube_share;5_qlHwSxsbk]http://youtu.be/5_qlHwSxsbk[/video]
Steve Dii kanambia umefulia...shilole utamuona kwenye kideo tu! Hahaha
Duuu!!Mungu tusaidie.Halafu hizi nyimbo za pwani mbona kama ni matusi jamani...Huko kucheza kweli kunaruhusiwa na Baraza la sanaa???????
Za Wazaire vipi?
Kaka hizi zimezidi naona...lakn si vibaya kama na hizo za wazaire zikitazamwa pia..
MSANII wa filamu ambaye pia anangara kwenye muziki kwa sasa, Zuwena Mohamed Shilole ameuanza mwaka 2012 kwa kulinadi penzi lake akidai, anayetaka kuwa mume wake awe na mkwanja wa kutosha.SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo - Global Publishers
Tamko hilo amelitoa mbele ya paparazi wa Ijumaa hivi karibuni Mwananyamala jijini, Dar alipokuwa akizungumzia mikakati yake ya kikazi kwa mwaka mpya.
Mwaka jana sikuutendea haki sana katika kazi hivyo mambo yangu mengi hayakwenda sawa kiivyo lakini sasa nimekuja kivingine kwani mkwanja siyo tatizo hivyo hata huyo mwanaume atakayetaka kulifaidi penzi langu kama mke wake lazima awe nazo la sivyo bora nibaki peke yangu.
Nimegundua wanaume wengi wanapenda mteremko kwa wanawake hivyo mwaka huu huyo anayejiita mume basi ajipange kweli kweli maana na mimi si mlaini bila fedha, alisema Shilole.