Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Chama cha peoples power hicho. Teh teh teh, hata uchaguzi wa vijana mwaka ule ulishindikana hii kamati ikakaa ikawatimua akina Kafulila, pia hata kwenye uchaguzi wa mwenyekiti taifa haukuwezekana mpaka hii kamati ilipomwengua zitto kwa kumshinikiza ajitoe. Peoples powder
Hahahaaa..Mkuu umesahau Sofia Simba alitukanana na kutaka kupigana na Mama Kahama kwenye kinyang'anyiro cha Uenyekiti UWT?
na unataka kusema uamuzi uliomhalalisha Masauni agombee Uenyekiti UVCCM haukuwa na misingi ya zengwe?
Au unadhani Nape alienguliwa kihalali?
Fanya analysis vizuri wewe