Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,288
- 222
Hicho chama cha peoples power kinasitaajabisha sana, kwanza katiba yake bora katiba iliyopo inayopingwa hata sijui mandati ya kudai katiba mpya wanaitoa wapi?
Katiba gani hiyo inayotumika, watu wa shinyanga wamechagua kiongozi wao, harafu kiongozi wa watu wa shinyanga anakataliwa na kakikundi ka wahuni wachache kutoka kaskazini.
Makamu Mwenyekiti enzi hizo (CHACHA) amechaguliwa na wanachama wengi wa Taifa zima eti kakikundi haka ka wahuni kanaamuwa kuwaamulia wananchi wote. Kakikundi haka kana nguvu za AJABU. Harafu, wakitoka hapo watakwambia nguvu za rais ni kubwa, watakwambia peoples power. THIS IS CRAZY.
Na tena watakwambia maamuzi ya bunge ama bunge siyo sahihi maana yanalinda interest ya wahuni wachache. Na tena watakwenda mbali kuhubiria kwamba bunge lisiamue hoja ipelekwe kwa wananchi ikapigiwe kura. Well, na haka ka group ka thugs , the so called kamati kwanini kasipeleke hoja kwa wananchi husika wakaamue mwakilishi wao? Watanganyika nani aliyewaloga?
hahahahaahha umefanya uchambuzi mzuri hiyo ni Demokrasia version CHADEMA
wao Demokrasia ni maamuzi ya Mbowe au Dr. Slaa (kamati)
nakumbuka wale wanawake viti maalumu - kamati ilifuta uchaguzi kutoka kwa wanachama ikaweka vipengele na ikachagua yenyewe hahahhaha