Shibuda out

Shibuda out

kumtimua SHIBUDA ni sawa kabisa ana mapenzi ya dhati kwa kwa chama LEMA kafanya poa kumpa live ZITO coz anataka kuua chama
 
Hivi nyie Chadema mbona mnamnyanyasa sana John Shibuda kama mtoto yatima, yaani hawa wachaga wote wanakuchukia wewe, nakushauri Mkuu, Shibuda kaa miaka minne katika ubunge wako, kisha rudi zako chama chako cha zamani CCM, achana na hawa wachaga tena ukikaribia kuama unaitisha mkutano mkubwa unawashitakia ndugu zako wasukuma wa kanda ya ziwa njinsi unavyonyanyaswa na wachaga wa Chadema chama cha ukanda, yaani kama wewe sio mchaga unaonekana una maana.
Chadema, Aika mbee
 
Zitto si uende zako NCCR mpaka ufukuzwe, mbona unatakautuchanganye na ubishi wako.....:frusty:
 
Hivi nyie Chadema mbona mnamnyanyasa sana John Shibuda kama mtoto yatima, yaani hawa wachaga wote wanakuchukia wewe, nakushauri Mkuu, Shibuda kaa miaka minne katika ubunge wako, kisha rudi zako chama chako cha zamani CCM, achana na hawa wachaga tena ukikaribia kuama unaitisha mkutano mkubwa unawashitakia ndugu zako wasukuma wa kanda ya ziwa njinsi unavyonyanyaswa na wachaga wa Chadema chama cha ukanda, yaani kama wewe sio mchaga unaonekana una maana.
Chadema, Aika mbee
Opportunistic kind of decision making kama lengo ni ubunge CDM hapamfai let him go, M/kiti wa CDM alisema CDM hawagawi vyeo wanagawa kazi kama mtu yeyote anataka cheo aende CCM the next day atapewa.
 
Hivi nyie Chadema mbona mnamnyanyasa sana John Shibuda kama mtoto yatima, yaani hawa wachaga wote wanakuchukia wewe, nakushauri Mkuu, Shibuda kaa miaka minne katika ubunge wako, kisha rudi zako chama chako cha zamani CCM, achana na hawa wachaga tena ukikaribia kuama unaitisha mkutano mkubwa unawashitakia ndugu zako wasukuma wa kanda ya ziwa njinsi unavyonyanyaswa na wachaga wa Chadema chama cha ukanda, yaani kama wewe sio mchaga unaonekana una maana.
Chadema, Aika mbee
Pole wewe unawaza ukabila lakini kumbuka ambao hawana imani na Shibuda si wachanga au watu wa kazikazini....
 
Hivi nyie Chadema mbona mnamnyanyasa sana John Shibuda kama mtoto yatima, yaani hawa wachaga wote wanakuchukia wewe, nakushauri Mkuu, Shibuda kaa miaka minne katika ubunge wako, kisha rudi zako chama chako cha zamani CCM, achana na hawa wachaga tena ukikaribia kuama unaitisha mkutano mkubwa unawashitakia ndugu zako wasukuma wa kanda ya ziwa njinsi unavyonyanyaswa na wachaga wa Chadema chama cha ukanda, yaani kama wewe sio mchaga unaonekana una maana.
Chadema, Aika mbee


avatar34266_1.gif.jpg

Guantanamo Bay hii ..... hata fikra ni kama za huko huko
 
wanaJF

kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya uenyekiti wa mkoa wa shinyanga, lakini kwnye kikao hicho nusura zichapwe kati ya lema na zitto baada ya lema, kumjia juu zitto ya kuwa mambo yote hayo ya shibuda kayasababisha yeye pale shinyanga kwa kuwaambia baraza la uongozi la mkoa kumteua shibuda kuwa kaimu mwenyekiti wakati katiba ya chama inasema kaimu mwenyekiti anapaswa kutokana na baraza la uongozi la mkoa,

huku shibuda akiwa si mjumbe wa baraza hilo, ndipo aliposimama zitto na kupinga kauli hizo ndipo wabunge na wajumbe wa kamati kuu walipo kuja juu na kumkumbusha zitto juu ya shibuda ya kuwa aliwatukana wabunge na akaambiwa aombe radhi akakataa na mpaka sasa hajaomba kwanini zitto unamtetea huyu jamaa, aliuza mjumbe huyo ambaye ni swahiba wa zitto bwana Msafiri mtemelwa

Shibuda alishatoa kauli juu ya CDM na uongozi wake..........................na bado watachakachuna sana tu zi peoples power....................wakiwa kwenye maandamano wanashikana mikono utadhani kweli wanaumoja kumbe kinawaka............sawa na maji yaliyotuama juu masafi chini bacteria wapo wa kumwaga
 
Kwa ufahamu wangu, kwenye chama kinachopenda kuwa wazi malumbano ni kawaida. Unajua Zitto pia ana mapungufu yake na Lema vile vile, ila kama alivyosema mmoja wa mchangiaji kwenye mada hii..kuna watu CDM wanajiona wao ndo wao mfano wazi ni Zitto. Kwa jinsi tunavyojua watu wa jimboni kwake, leo akitoka na kujiunga na CCM bado watampigia kura mtoto wao ila kwa kifupi ni unafiki. Lema yuko straight kama ilivyo watu wa Kaskazini, leo akisema anaingia CCM asitegemee atapata kijana yoyote anayemwunga mkono kwani tatizo si mtu bali ni CCM ya mafisadi...walete chama kingine au CUF yenye uongozi dhabiti na sera safi watapata kura siyo kwa Kigoma na Zitto wao. Hatutaki unafiki kwenye chama na kama akitaka aondoke hata leo CDM itabaki kuwa chadema na upinzani utabaki kuwa upinzani kwa kukemea maovu ya chama na kuelimisha wananchi.

Ficha Upumbavu Wako, ni Ushauri tu!!
 
Pole wewe unawaza ukabila lakini kumbuka ambao hawana imani na Shibuda si wachanga au watu wa kazikazini....

wakati wamempokea kwa mbwembwe waligemea nini....................usitudanganye kuwa hawana imani naye bali kawazidi maarifa ............kama vipi wamfukuze wapoteze jimbo................naona kuna majimbo mawili CDM wanaweza kupoteza..................KGM North na kwa shibuda
 
hata mimi nakuunga mkono, kuna kitu kinaendelea hata speed ya huyo mkuu na strategic zake vimekaa kighasia sana imefikia wakati utu na misingi ya haki itumike zaidi kama ni CCM wameshajimaliza wenyewe na wananchi kwa sasa wanaikubali CHADEMA ila kwa hii style ya LEMA chadema kitaingia kwenye walakini.
bado nasisitiza CHADEMA ni chama kinachoweza kusimama chenyewe kwa nguvu za hoja sio msuli kama huyo mkuu, msuli utumike pale tu unapobidi lakini sio muda wote,
ZITTO na wewe badilika mkuu, unacheka cheka sana na hao kina makamba na utani wa kuwa rais 2020 hayo ndio matokeo yake shiriki matukio ya chama la sivyo mtajimaliza kisiasa na vijana watashika hatamu, unatakiwa kusogeza maendeleo ya nchi nzima sio kigoma mjini peke yake ndio maana unatakiwa kushiriki shughuli za chama kitaifa hasa kama kuna maandamano uwakilishi wako ni muhimu sana.

Nimekuwa nikifatilia hii issue ilivyo letwa hapa jamvini lakini kadri inavyoendelea nazidi kuwa na mashaka kama alivyo changia mshindo hapo hasa maelezo ya awali.....
inawezekana Lema na Zitto wametofautiana kweli na sio kitu cha ajabu kwani hata kwenye familia zetu vitu kama hivi vipo sana tu....
lakini nina wasiwasi na mleta mada alivyoileta maana ameileta kiuchonganishi na mimejaribu kupitia thread zake zote alizo wahi kuanzisha ni za lema, hii inaonyesha yuko karibu sana na lema na mabadiko mengi yanaonyesha anamchukia sana Zitto:

1. Shibuda out

2. Lema awasha moto tena chuo cha uhasibu

3. state house yapanga kumuangamiza lema

4. Lema awasha moto Igunga

5. Lema afunika Nzega

6. Meya feki wa arusha aomba ulinzi wa polisi nyumbani kwake.

7. Meya feki wa arusha aomba ulinzi wa polisi nyumbani kwake.

8. Godbless Lema kuwa naibu katibu mkuu wa CHADEMA
 
wakati wamempokea kwa mbwembwe waligemea nini....................usitudanganye kuwa hawana imani naye bali kawazidi maarifa ............kama vipi wamfukuze wapoteze jimbo................naona kuna majimbo mawili CDM wanaweza kupoteza..................KGM North na kwa shibuda
Heri kupoteza jimbo kuliko kupoteza chama.
 
Nchi hii hakuna chama bali mikusanyiko ya wasaka tonge tu!! Haya jioneeni. CCM wanaparurana na kuvuana magamba huku CHADEMA wanataka kupigana. Mimi ni mshabiki wa LEMA kama LEMA ila si Chama lakini sasa naanza kujiuliza juu ya ukomavu wake kisiasa manane kauli zake zimekuwa za ngumi mbele!!

Kwenye RED naomba nisikupinge kwakua nimaoni na mtazamo wako ila kwenye Blue umedhihilisha ukilaza wako samahani naomba nifafanue maana hua mnasema tupinge kwa hoja.
Nina maswali mawili ya msingi ( 1 ):_Naanza na kwenye nyekundu...Unaposema mikusanyiko ya wasaka tonge tu hasa unakua unamaanisha nini? (a) Tofauti ya wasaka tonge na wanaotetea maslahi na ustawi wa inji yao ukoje?
Swali la (2 ) Shabiki wake kwenye nini?nitakuogopa kidogo kama utasema kwenye siasa au chama chake kwakua tayari umejipambanua kua wewe huamini katika hilo(a)kauli zangumi mbele unahisi hatanufaika nazo ila kauli na ndio mzee ndio nakupigiana makofi zinamaslahi kwako?
Hapo kwenye bold ya zambarau sina neno napo mkuu kwa sababu ulikua unaandika kwa jazba.
Naamini utajibu kistaarabu kwakua wewe nimtu mzito bhana hahahahahahahahahaa!!!!!


 
TAARIFA HII SIO YAKWELI, IPO KICHONGANISHI, haya mambo sio rasmi, tuweni makini. Jf itakuwa sasa kibanda cha kahawa!

taarifa za ukweli ni zile za Chama Cha Majambazi............................. ila za Chagga Development Manifesto si za kweli..........hahahahahaaaaaaaa.............................. hayo ni majina ambayo watanzania wenyewe mmvipa vyama vyenu kwa siasa zenu za chuki na upinzani ugomvi
 
Hivi hili swala la kamati ya CHADEMA kupiga kura linatofauti gani na jambo mhimu la kitaifa ambalo ccm hawalitaki lakini likapelekwa bungeni kupigiwa kura ili lihalalishwe? mhhhh
 
wanaJF

kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya uenyekiti wa mkoa wa shinyanga, lakini kwnye kikao hicho nusura zichapwe kati ya lema na zitto baada ya lema, kumjia juu zitto ya kuwa mambo yote hayo ya shibuda kayasababisha yeye pale shinyanga kwa kuwaambia baraza la uongozi la mkoa kumteua shibuda kuwa kaimu mwenyekiti wakati katiba ya chama inasema kaimu mwenyekiti anapaswa kutokana na baraza la uongozi la mkoa,

huku shibuda akiwa si mjumbe wa baraza hilo, ndipo aliposimama zitto na kupinga kauli hizo ndipo wabunge na wajumbe wa kamati kuu walipo kuja juu na kumkumbusha zitto juu ya shibuda ya kuwa aliwatukana wabunge na akaambiwa aombe radhi akakataa na mpaka sasa hajaomba kwanini zitto unamtetea huyu jamaa, aliuza mjumbe huyo ambaye ni swahiba wa zitto bwana Msafiri mtemelwa

Uongozi wa Chadema unapaswa uwe na busara zaidi ya Kiuongozi kuepuka hisia zisizo za lazima zinazoweza kuhatarisha uhai wa chama, sio sahihi kwa Kamati Kuu ya Taifa kutengua Maamuzi ya Baraza Kuu la Mkoa wa Shinyanga, huku ni kulidharirisha Baraza Kuu la Mkoa.

Kama kuna mkanganyiko wa kikatiba uliokuwepo na wenye ulazima wa kubadilishwa, basi Kamati Kuu ingepaswa kupeleka maelekezo kwenye Baraza Kuu la Mkoa wa Shinyanga kwa utekelezaji na sio ku-act kidikteta, Watch Out!!

Refer:

Shelembi aagwa, Shibuda achukua mikoba

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

BARAZA Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga limemteua Bw. John Magale Shibuda kuwa mwenyekiti wa muda wa mkoa.

Akitangaza uamuzi huo, Katibu wa Mkoa wa CHADEMA, Bw. Nyangaki Shilungushela alisema uamuzi huo ulifikiwa katika kikao cha dharura kilichofanyika juzi jioni.

Bw. Shilungushela alisema, wajumbe wa baraza la mkoa waliketi katika kikao cha dharura na kumteua Bw. Shibuda kuwa mwenyekiti wa muda wa mkoa huo mpaka pale uchaguzi wa kujaza nafasi yake utakapofanyika.

"Mbali ya kumteua Bw. Shibuda kuwa mwenyekiti wa muda wa mkoa, lakini pia wajumbe wa baraza kuu la mkoa walimpendekeza kuwa mlezi wa mkoa wa Shinyanga, na atakaimu nafasi ya uenyekiti mpaka pale utakapofanyika uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi iliyoachwa na Bw. Shelembi," alieleza Bw. Shilungushela.

Bw. Shibuda alisema katika kipindi chake kukaimu nafasi ya mwenyekiti wa mkoa atakuwa mstari wa mbele katika kuendeleza mapambano ya kutetea haki za wanyonge yaliyokuwa yameanzishwa na Bw. Shelembi.

"Ndugu zangu, ndugu yetu Shelembi pamoja na kututoka ghafla, napenda niwahakikishieni kuwa nitahakikisha naendeleza yale yote mazuri aliyokuwa akiyapigania kwa niaba ya wananchi wa Shinyanga.

Mazishi yake yalihudhuriwa na viongozi wote wakuu wa CHADEMA Taifa, wakiongozwa na mwenyekiti wa Taifa, Bw. Freeman Mbowe, Katibu Mkuu, Dkt. Willibrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu, Bw. Zitto Kabwe, Makamu Mwenyekiti (bara), Bw. Said Arfi na yule wa Zanzibar Bw. Mohamed.
 
Huyu Shibuda sio mwenzangu wacha washughulikiane wenyewe kwa wenyewe kama angekuwa mwenzangu ningeweka neno ila huyu ni galatia mwenzao wacha viumane tuu.
 
Hicho chama cha peoples power kinasitaajabisha sana, kwanza katiba yake bora katiba iliyopo inayopingwa hata sijui mandati ya kudai katiba mpya wanaitoa wapi?

Katiba gani hiyo inayotumika, watu wa shinyanga wamechagua kiongozi wao, harafu kiongozi wa watu wa shinyanga anakataliwa na kakikundi ka wahuni wachache kutoka kaskazini.

Makamu Mwenyekiti enzi hizo (CHACHA) amechaguliwa na wanachama wengi wa Taifa zima eti kakikundi haka ka wahuni kanaamuwa kuwaamulia wananchi wote. Kakikundi haka kana nguvu za AJABU. Harafu, wakitoka hapo watakwambia nguvu za rais ni kubwa, watakwambia peoples power. THIS IS CRAZY.

Na tena watakwambia maamuzi ya bunge ama bunge siyo sahihi maana yanalinda interest ya wahuni wachache. Na tena watakwenda mbali kuhubiria kwamba bunge lisiamue hoja ipelekwe kwa wananchi ikapigiwe kura. Well, na haka ka group ka thugs , the so called kamati kwanini kasipeleke hoja kwa wananchi husika wakaamue mwakilishi wao? Watanganyika nani aliyewaloga?
 
Lema lazima abadilike, ukiacha hii ambayo hatuna uhakika nayo lakini ameshaonekana sehemu nyingine (kama Dodoma - na wanafunzi, bungeni (kuhusu kufunga mlango watu wapigane, pia kwenye mjadala fulani wa katiba -na Msekwa)) akitumia nguvu kubwa kutaka kuwasilisha hoja Zake. hiyo inafaa kwa Jeshi lakini si kwa kiongozi kama yeye Mbunge. mimi huwa simfagilii kwa hayo mbona wenzake akina Dr. Slaa, Zitto hawatumii nguvu kubwa hivyo?
 
Back
Top Bottom