Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Kwa hiyo jua ni la wapgani wasabato hizo lesson zinawafanya muwe vichaa sababu hii calendar inafuata jua

Mungu yupi sasa????Wakristo Mungu wao YESU na Wahindu Mungu wao ni KRISHINA na Wabudha Mungu wao JANGZU na Wayahudi Mungu wao JEHOVAH na Wabantu Sana Mungu yao!!!!!Na dini zote hizo zilitangulia kabla ya uislamu
mungu Alie kuumba wewe hapo na wanaadam wote.
 
Kiuhalisia hakuna mwafrika anayehusika na dini yoyote kati ya hizi mbili, wahusika wenyewe ni watu weupe (wazungu na waarabu)
Kama wewe ni mweusi na una midomo mipana na unajiita Muislamu au Mkristo basi tambua hauna akili sababu wewe ni follower tu wa hizo dini na sio mlengwa wala muhusika.

Sema Waafrika weusi wote wanafuata Calendar ya Mzungu, huu ndio uhalisia.
Facts
 
Mfumo wa calenda na tarehe zenyewe unazotumia kila siku ni za Catholic, Haikwepeki.
Yes, sio kalenda ya Kikristo bali ni specific ya Kikatoliki. Kalenda ya Mungu ilivurugwa na Kaisari Julius na baadaye Papa Gregori. Kwa kalenda ya Kiyahudi huu ni mwaka 5783, inatumia jua na mwezi, Uislamu unatumia mwezi tu, gregorian inatumia jua tu.
 
Kiuhalisia hakuna mwafrika anayehusika na dini yoyote kati ya hizi mbili, wahusika wenyewe ni watu weupe (wazungu na waarabu)
Kama wewe ni mweusi na una midomo mipana na unajiita Muislamu au Mkristo basi tambua hauna akili sababu wewe ni follower tu wa hizo dini na sio mlengwa wala muhusika.
Sema Waafrika weusi wote wanafuata Calendar ya Mzungu, huu ndio uhalisia.
Unawezaje kuliongelea jambo isipokuwa na elimu nalo. Maisha yako yote umetawaliwa na mfumo wa imani hata kama utajidai huamini. Imani ni mfumo wa maisha uliokubalika na wote, wanaopenda na wasiopenda. Msingi wa sheria za nchi na taasisi za kimataifa inafuata mfumo wa dini, sasa sijui unajiona vipi wewe una akili kuliko wanaoamini? Ukichunguza vema kumbe wewe usiyeamini ni mtumwa na mjinga mkubwa.
 
Yes, sio kalenda ya Kikristo bali ni specific ya Kikatoliki. Kalenda ya Mungu ilivurugwa na Kaisari Julius na baadaye Papa Gregori. Kwa kalenda ya Kiyahudi huu ni mwaka 5783, inatumia jua na mwezi, Uislamu unatumia mwezi tu, gregorian inatumia jua tu.
Uko sahihi nadhani dini ya kiyahudi na wasabato wako mwaka 5783
 
Yes christianity ndio dini giant duniani hilo halina ubishi

Nchi zote duniani zinaishi katika mifumo ya kikristo kwa namna moja ama nyingine pia tamaduni za kikristo zimetawala maeneo mengi duniani kuanzia hiyo kalenda iliyo asisiwa na papa

Wanasayansi wengi wavumbuzi waliishi katika ukristo

Kama kuteka na kuchukua watu utumwani hata waarabu walifanya sana hiyo biashara wakiwa master slaves pia madalali wa watumwa

Kiufupi ukristo na tamaduni zake ndio unatawala dunia na zaidi unazidi kuenea kwa kasi sana mana hii ndio dini halisi ya Mungu vidini vingine uchwara vinazidi kumezwa na kupotezwa kadri miaka inavyosonga mbele


Wewe utabakia na furaha ya U giantism wa christianity ukistuka asubuhi na kukumbuka shuka ndipo utashangaa utakayoyaona kutokana na hapo chini👇🏻

Screenshot_20230103-083330.png
 
Dubai karuhusu kunywa pombe jana mkuu. Na wazungu ndio walimleta sultan said kutawala Zanzibar na kuuza watumwa


Kutengeneza pombe ndio ulikuwa muujiza wa kwanza wa Yesu na ndio maana Wakristo hupenda pombe, pia Wazungu ndio walikuwa kinara wa biashara ya watumwa na ndio maana wakamleta Sultani Zanzibar ili awasaidie hiyo biashara.

"Shame on them "
 
Alimtumia yesu kristo Kama tukio kubwa la kihistoria ndiyo akaanza kuhesabia pale,ni sawa Leo uanzishe kalenda tangu Tanganyika kupata uhuru au gsm kuidhamini yanga, ukiristo na kalenda haviusiani,uwe unaelewa
Sas Yesu Kristo si ndio Bwana wa Wakristo!!

Unamtengaje Yesu Kristo na Ukristo?

Kubalini tu ukweli kuwa hii kalenda ni ya Kikristo na ilianzishwa na Kanisa.
 
Back
Top Bottom