Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Siyo kwamba we ndo hujui? Waislam wanajua na hawasherehekei mwaka mpya na wanayo calender yao mwaka mpya wao ulishapita siku nyingi
 
Mumeamrishwa mchinje kila asiye muislamu, nyie tunaoishi nanyi mitaani kwa amani ni ile tu mumekiuka maagizo yenu, tungenyukana sana, yale Malshabaabi na boko-haram ndio wanafuata maagizo ipasavyo

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”


Sasa hizo aya ulizotoa ziunganishe na hii aya hapo chini ndipo utajua hizo aya zina maana gani.👇🏻

Screenshot_20230103-102110.png
 
Sasa kama umetukuta tunashehereka miaka 800 ya mwaka mpya kuna ubaya gani ukituunga mkono...

Mbona Eid El Fitr tunakula ubwabwa pamoja???

Sisi ni ndugu hizi dini tumeletewa tu. Vinginevyo unataka hata tarehe za mishahara zifuate imani za kidini...

Heri ya mwaka mpya mkuu ndugu yangu
Ni bora na inapendeza sana tukikaa pamoja, tukila pamoja na kufurahi pamoja. Afterall Baba wa waislam na wakristo ni mmoja ila alizaa na wake wawili. Watoto wa mama mkubwa ni Wakristo, watoto wa mama mdogo ndo Waislam. Ni historia ndefu kidogo lakini wengi wanaelewa. Sasa inakuwaje choko-choko hadi mambo ya kalenda???
 
Wewe upo sawa kichwani??-- Unadhani mimi ni mshirikina kama wewe??---soma vizuri hapa; NAMSHUKURU ALLAH KWA "NEEMA" ALIZONIJALIA KATIKA MWAKA ULIOPITA HUO HUO WA KALENDA YA GREGORIAN, mimi huwa si mshukuru Allah kwa ajili ya kuingia mwaka mpya wa Gregorian nk bali namshukuru Allah kwa neema zake na baraka alizonijalia katika mwaka uliopita huo wa Gregorian na hilo sio dhambi katika dini yetu.

Usipoelewa hapo utakuwa na lako jambo.

Mfano leo akija papa na akatoa pesa ya kujengea msikiti tuache kuchukua kwakuwa yeye sio Muisilamu?? au kama tukichukua na kujenga msikiti tuache kumshukuru??!,

Acha fikra za kifanatism katika dini.
Saaaafiii.... Unamshukuru Alah kwa neema alizokujalia katika Mwaka wa Kalenda ya Kanisa ulioanzishwa na Papa Gregory.

Safi kabisa, hilo ndio jibu nililokuwa nalitaka

Sasa mnapoambiwa kuwa Ukristo ndio unarun dunia na dini yenu nyie ni bado sana muwe mnaelewa.
 
Kiuhalisia hakuna mwafrika anayehusika na dini yoyote kati ya hizi mbili, wahusika wenyewe ni watu weupe (wazungu na waarabu)
Kama wewe ni mweusi na una midomo mipana na unajiita Muislamu au Mkristo basi tambua hauna akili sababu wewe ni follower tu wa hizo dini na sio mlengwa wala muhusika.

Sema Waafrika weusi wote wanafuata Calendar ya Mzungu, huu ndio uhalisia.
Kwa hiyo Waafrika tunatakiwa kufuata kalenda yetu? Tulikuwa na kalenda ya namna gani kabla ya watu weupe kuja?
 
Hamusherehekei mwaka mpya...ila mwaka huo huo mnautumia Msikitini na kwenye maisha yenu ya kila siku.

Hahahaha
Hakuna msikiti unaotumia huu mwaka wala miezi hata ukiskia mwezi wa ramadhan hilo ni jina la mwezi Kama ilivyo mwezi July ndo maana huwa haiendani na hii miez ya kawaida kila mwaka unahama kwahiyo siyo kweli kwamba misikiti inafata hii miez au huu mwaka

Sawa dogo?
 
Mkuu mdukuzi hiyo mmevamia wenyewe sisi hatuhusiki na hizo sherehe hata tone, tuna sherehe mbili tu kwa mwaka mzima eid ya mfungo wa ramadhani na eid ya kuchinja basi.

Hayo mengine mmejitakia wenyewe na kujipendekeza kwenye mambo yasiyowahusu, halafu swali zuri tu mwaka mpya wetu sisi wa hijriyyah wala hatusherehekei kwasababu hatujapokea chochote kutoka kwa watangulizi wetu kuwa walisherehekea mwaka mpya wa kiislamu, iweje tukimbilie huu wa miylaadiyyah?!.
 
Saaaafiii.... Unamshukuru Alah kwa neema alizokujalia katika Mwaka wa Kalenda ya Kanisa ulioanzishwa na Papa Gregory.

Safi kabisa, hilo ndio jibu nililokuwa nalitaka

Sasa mnapoambiwa kuwa Ukristo ndio unarun dunia na dini yenu nyie ni bado sana muwe mnaelewa.


Wewe fikra zako ni za kitoto sana, sikia; Gregorian Calendar ni kama tool tu ya kufanyia kazi haijalishi ni nani kagundua hiyo tool cha msingi tool hiyo ni Useful kwetu na haipingani na imani zetu basi, Narudia kusema; Mtume wetu Muhammad (saw) amepata kusema; "Jambo lolote jema ni sawa na hazina iliyopotea ya Muisilamu mlichukue popote mlionapo"--- sasa hiyo kalenda inasaidia kujua nyakati mbalimbali sasa tuiache??, mbona Waisilamu ndio waanzilishi wa elimu hizi za "zinazoitwa za kizungu", Wazungu walijifunza elimu hizo kutoka kwa Waisilamu (eg Avecena nk) ndipo wakaziendeleza hadi hii leo wamekuwa masters. Kama hao wazungu wangalikuwa na akili za fanatism kama zako leo wangalikuwa hapa walipo??!!

Kwa Sisi waisilamu sio dhambi kuchukua jambo lolote jema kutoka kwa Yeyote yule awe mpagani, Muhindu, Mkristo nk. na hiyo ndio AKILI.
 
Sasa hizo aya ulizotoa ziunganishe na hii aya hapo chini ndipo utajua hizo aya zina maana gani.👇🏻

View attachment 2467592

Sina haja ya kuunganisha maana tunashuhudia waislamu wakichinja watu, hivyo wao ndio uwaambie waunganishe maana nyote mnampigania 'mungu' wenu huyo aliyewapa hayo maagizo, ila kwa kifupi maagizo tunayaona in black and white tena bila kupiga chenga, mmeagizwa kuwachinja wasio wa hiyo dini

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Sina haja ya kuunganisha maana tunashuhudia waislamu wakichinja watu, hivyo wao ndio uwaambie waunganishe maana nyote mnampigania 'mungu' wenu huyo aliyewapa hayo maagizo, ila kwa kifupi maagizo tunayaona in black and white tena bila kupiga chenga, mmeagizwa kuwachinja wasio wa hiyo dini

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”


Kama unafundishwa ukweli na hutaki kuukubali basi wewe unayo Chuki binafsi isiyokuwa na msingi dhidi ya Uisilamu, sasa siwezi kukulazimisha ukubali kwani huwezi kumuamsha mtu anayejifanya kalala bali unaweza kumuamsha mtu aliyelala, wewe umejifanya kulala.
 
Hakuna msikiti unaotumia huu mwaka wala miezi hata ukiskia mwezi wa ramadhan hilo ni jina la mwezi Kama ilivyo mwezi July ndo maana huwa haiendani na hii miez ya kawaida kila mwaka unahama kwahiyo siyo kweli kwamba misikiti inafata hii miez au huu mwaka

Sawa dogo?
Keshokutwa Ijumaa ukienda msikitini kuswali itakuwa ni tarehe ngapi?
 
Mkuu mdukuzi hiyo mmevamia wenyewe sisi hatuhusiki na hizo sherehe hata tone, tuna sherehe mbili tu kwa mwaka mzima eid ya mfungo wa ramadhani na eid ya kuchinja basi.

Hayo mengine mmejitakia wenyewe na kujipendekeza kwenye mambo yasiyowahusu, halafu swali zuri tu mwaka mpya wetu sisi wa hijriyyah wala hatusherehekei kwasababu hatujapokea chochote kutoka kwa watangulizi wetu kuwa walisherehekea mwaka mpya wa kiislamu, iweje tukimbilie huu wa miylaadiyyah?!.
Kwa hiyo hamusherehekei, lakini munautumia mwaka huohuo (Wa wakristo) kupanga mipango yenu ya kila siku....


Aiseeee
 
Wewe fikra zako ni za kitoto sana, sikia; Gregorian Calendar ni kama tool tu ya kufanyia kazi haijalishi ni nani kagundua hiyo tool cha msingi tool hiyo ni Useful kwetu na haipingani na imani zetu basi, Narudia kusema; Mtume wetu Muhammad (saw) amepata kusema; "Jambo lolote jema ni sawa na hazina iliyopotea ya Muisilamu mlichukue popote mlionapo"--- sasa hiyo kalenda inasaidia kujua nyakati mbalimbali sasa tuiache??, mbona Waisilamu ndio waanzilishi wa elimu hizi za "zinazoitwa za kizungu", Wazungu walijifunza elimu hizo kutoka kwa Waisilamu (eg Avecena nk) ndipo wakaziendeleza hadi hii leo wamekuwa masters. Kama hao wazungu wangalikuwa na akili za fanatism kama zako leo wangalikuwa hapa walipo??!!

Kwa Sisi waisilamu sio dhambi kuchukua jambo lolote jema kutoka kwa Yeyote yule awe mpagani, Muhindu, Mkristo nk. na hiyo ndio AKILI.
Tulishamalizana mkuu, ulisema kuwa Unamshukuru Alah kwa Neema alizokujalia katika mwaka ulioanzishwa na Kanisa.

Hapo tulishamaliza... asante sana kwa kukiri hilo.
 
Wewe fikra zako ni za kitoto sana, sikia; Gregorian Calendar ni kama tool tu ya kufanyia kazi haijalishi ni nani kagundua hiyo tool cha msingi tool hiyo ni Useful kwetu na haipingani na imani zetu basi, Narudia kusema; Mtume wetu Muhammad (saw) amepata kusema; "Jambo lolote jema ni sawa na hazina iliyopotea ya Muisilamu mlichukue popote mlionapo"--- sasa hiyo kalenda inasaidia kujua nyakati mbalimbali sasa tuiache??, mbona Waisilamu ndio waanzilishi wa elimu hizi za "zinazoitwa za kizungu", Wazungu walijifunza elimu hizo kutoka kwa Waisilamu (eg Avecena nk) ndipo wakaziendeleza hadi hii leo wamekuwa masters. Kama hao wazungu wangalikuwa na akili za fanatism kama zako leo wangalikuwa hapa walipo??!!

Kwa Sisi waisilamu sio dhambi kuchukua jambo lolote jema kutoka kwa Yeyote yule awe mpagani, Muhindu, Mkristo nk. na hiyo ndio AKILI.
Halafu kitu kingine, hiyo Tool (Calender), si inahesabiwa tangu kuzaliwa kwa Yesu yule Mwana wa Mungu aliyesulubiwa?

Huu ni mwaka 2023 AC, maana yake huu ni mwaka 2023(After Christ) Baada ya Kristo.

Kristo huyo ni yule Aliyekufa na Kufufuka (According to Papa Gregory & the Catholic Church)

Kwa nini sasa mnatumia kitu cha kikafiri namna hii?
 
Halafu kitu kingine, hiyo Tool (Calender), si inahesabiwa tangu kuzaliwa kwa Yesu yule Mwana wa Mungu aliyesulubiwa?

Huu ni mwaka 2023 AC, maana yake huu ni mwaka 2023(After Christ) Baada ya Kristo.

Kristo huyo ni yule Aliyekufa na Kufufuka (According to Papa Gregory & the Catholic Church)

Kwa nini sasa mnatumia kitu cha kikafiri namna hii?


Hiyo imani kwamba Yesu alikufa, akafufuka nk, hiyo imani haina faida kwangu bali inakufaa wewe chenye faida kwangu ni hiyo kalenda faida kwa kwa ajili ya (matumizi ya muda) tu., ni kalenda ya kikafiri (kama unavyodai) yenye faida kwetu, mtume (saw) amesema tuchukue kitu chenye faida KUTOKA POPOTE.
 
Mnajipa uwehu na hizo theoery zenu kuwa dini zilibuniwa.nikuambie tu short cut.hakuna dini ilibuniwa.kila generation ilikuwa na muonyaj wake aliyewakemea wale walio anza kuishi kama wanyama.na kila aliyewaonya aliwaambia mcheni mungu nafsi kukuongoza kufanya wema.kujisalimisha kwa mola.
Na nikwanini hao waonyaji wametokea hapo mashariki ya Kati tu? Kwanini isiwe China India amerika nakadhalika
 
Back
Top Bottom