Acha kuandika magazeti, JIBU NILICHOKUULIZA.Wewe usiwe na itikadi za siasa kali na kishabiki, kwani huyo papa akifanya jambo zuri tusimsifie kwakuwa yeye sio Muisilamu??!, Papa akisema uzinzi ni haramu nikatae kwakuwa yeye sio mtu wa dini yangu??, halikadhalika papa akigundua jambo lenye faida kwa binadamu kama hiyo kalenda tumbeze kwakuwa yeye sio muisilamu??, Sisi Waisilamu hatupo hivyo labda nyinyi msiokuwa na mafundisho ya hulka njema na uadilifu ndio mnaweza kupinga jambo jema kwakuwa tu jambo hilo kafanya au kalianzisha mtu msiyempenda au kutoka dini nyingine (mfumo kristo).
Mtume wetu mtukufu alipata kusema; Jambo lolote jema mkiliona ni mali (Hazina) iliyopotea ya muislamu, hiyo kalenda inayo manufaa kwetu sasa Kwanini tuibeze kwakuwa aliyeianzisha ni papa??, tena kiongozi mkuu wa kidinii duniani !!, acha akili za kitoto.
Nimekuuliza, Unamshukuru Alah kwa Mwaka uliopita huu wa Kanisa ulioanzishwa na Papa wa Kanisa Katoliki?
JIBU HILO SWALI KAMA NILIVYOKUULIZA.