Sheikh Ponda yuko sahihi

Sheikh Ponda yuko sahihi

Nchi ina wajnga weng sana tatzo tukiweka kipengele cha dini kwenye form za sensa? dunian nch nyng znafanya hvyo ili kujua raia zangu wangap waislam,wangap wakristo mbona wanataka kujua walemavu wapo wangap? hivi kujua dini za raia wako na kujua walemavu wa nchi yako bora kipi? bora ujue wananch wng weng dini flan....
mimi ntajiandikisha kama muislam maruhani
 
Kwani kuna ubaya gani kufahamu dini zetu mbona sehemu zingine duniani wanajuana kwa dini na hakuna tatizo lolote mfano.

Israel, Jewesh 75.5%...Wakiristo 2.1%...Waislam 16.8%..

Uingereza, Wakiristo 49.8%...Waislam 12.5%...Wasiokuwa na dini 30.6%.

Misri, Waislam 90%...Coptic 9%...na Wakiristo wengine 1%.

Nimetaja sehemu chache kama mfano sasa kwa nini Tanzania wanaogopa?

...mkuu,sidhani kama kuna anaeogopa kujua asilimia,but the isssue is itatusaidia nn kwny kuleta hayo maendeleo?yes mnataka kujua mbona ni rahisi sana kufanya wenyewe bila kusubiri serikali iwafanyie km ambavyo wakristu wanafanya!sidhani km serikali itawakataza kufanya wenyewe!....hizo nchi ulizotaja kuna waislam wengi,yes,ni sawa na zambia,italy,uingereza n.k.....nazo zina wakristo wengi!..bt in reality hata mkihesabiwa, the fact is wakristo ni wengi kuliko waislam,kumbuka hapa unaongelea madhehebu mengi sn ya kikristo na c RC
 
juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.

Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.

Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.

"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.


HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!

naomba kuwasilisha!

MFUMO KRISTO!!!Mzee nimipenda hilo NENO. Cha msingi waislam kama wanasem inchi inaongozwa na mfumo JESUS kwa nini wasiandamane ili wampinge RAIS WAO MWISLAM wamuulize mzee mbona UMEOKA kuwa mkristo maana yeye ndiye Amiri jeshi mkuu wa huo wanaouita mfumo kristo TENA HATA MAKAMU WA RAIS KATOKA HUKO MFUKO KRISTO ULIKOSHAMIRI SANA YAANI ZANZIBAR
 
juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.

Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.

Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.

"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.

HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!

naomba kuwasilisha!

Kwa hali hii tunakokwenda hata makabila makubwa nchini yataomba kiongezwe kipengele cha ukabila ili tujitambue kwa makabila yetu.Na katika hili, wapo watakaosema kuwa wasukuma ni wengi sana lka ni wachache TRA, wakwale wachache na wametoa RAIS, na waha nao watadai kuwa ni wengi na hawakupelekewa shule. PLEASE wanajamii forums, sensa ni kwa maendeleo ya nchi yetu.Kitendo cha kuanza kujua ni waislam au wakristo wangapi nchini kinachochea udini Tanzania. Nia ya serikali ni nzuri na katika hili kuna jambo nyuma ya Pazia ambalo si jema.
 
Hivi kule serikalini kuna mambo ya ibada? Na Wasukuma kwa wingi wao katika nchi nao waje juu kutaka uwakilishi sawa serikalini kulinda maslahi ya desturi na mila za kisukuma. Kwa mwendo huu tutafika? Panapotokea tatizo na hata kama pale dini inahusika tulizungumze mahususi kama lilivyo na kulitatua na kusonga mbele. Haya ni maoni tu kwa mtazamo wangu.
 
Vyovyote nitakavyoonekana, lakini suala la kujua mgawanyiko wa watu kiimani (tuite dini) ni moja ya madhumuni makubwa ya sensa.
 
Barubaru, labda ungetupa defination ya neno 'msomi' ingetusaidia sana hapo kwenye red. Wote wasomi?

NB: Nakubaliana na Bongolander kwamba, neno 'wanzanzibari' liko more valid nje ya mipaka ya Zanzibar. Ndani ya Zanzibar kuna wapemba na waunguja. And it is only a matter of time before this worst kept secret 'itajianika'

Kwangu mimi nikibainisha msomi ninakusudia ,Msomi si kuhudhuria au kumaliza skuli tu BALI KUSOMA NI KUELIMIKA. kUMBUKA KUWA MSOMI NI YULE aliyeweza kuyamiliki na kuyatambua mazingira yake na kujua haki na wajibu wake wa kuumbwa kwake na kukemea kwa nguvu zake zote aina yoyote ya dhulma na batili na kusimamisha haki daima.

Lakin vile vile Nje ya Muungano hakuna tena Tanzania bali kuna Tanganyika na Zanzibar. Na kwa mujibu wa historia za ukoloni nani ya EAfr. Utaona Ndani ya Kenya na Uganda kuna Ukabila. Na ndani ya tanganyika kuna UDINI. Hivyo katika Tanganika kuna Ukristo na Uislam kitu ambacho mlikificha siku nyingi saaana na sasa kinawameng'enya.

Je ulisikia kauli ya Mtei kuhusu tume iliyoteuliwa ya Katiba.

Je umeipata kauli ya Bakwata kuhusu Sensa,
Je umesikia madudu ya baraza la mitihani kuhusu dhulma iliobainika kwa waislam.

 
Ni nani alikwambia kuna maeneo yanatengwa maalum kwa ajili ya misikiti au makanisa? nadhani wahusika huwa wanajipanga na kuomba eneo kunako husika, ndo maana misikiti na makanisa siku hizi yapo kila mahali
Mkuu kwenye maeneo yaliopimwa nadhani huwa wanapanga maeneo kabisa kwa ajili ya nyumba za ibada. Sijui kama siku hizi utaratibu umebadilika lakini ilikuwa hivyo enzi za mwalimu
 
Wasukukuma tuko kama 8m ambayo ni 20% ya Watanzania. Vipi hilo Sheikh Ponda from Burundi?

ha ha ha ha ha ha ha sasa huyu Mrundi nae bana anapiga kelele za nn??Mbona waisilamu kibao tu tumesoma nao na wengine tunapiga nao kazi tu kama mtu kilaza unataka Baraza la Mitihani au Mwajiri amuwezeshe afaulu bure bure??
 
Nilipo Blue.

ndio maana zinatakiwa zipatikane takwimu sahihi sio za assumptions. Waislam wameliona hilo kwa kina sana na sasa wanataka kipengele cha dini kiwemo ndani ya karatasi zenu za sensa ila kujijua na kujisahihisha kama itawezekana na kuondokana na hii tarbia yya kukisia.

Lakin msingi mkubwa ni mipango ya nchi kwani vipengele kama jinsia, dini , elimu na ulemavu ni muhimu sana katika kupanga maendeleo ya nchi.

Sioni sababu kwanini wenzenu wanakataa. sijui wana ajenda gani hao.

Mkuu unaposema "waislamu" maana yako ni nani. Kuna watu wanajiita masheikh ambao wanachochea vurugu na kuwarubuni watu, kuna watu wanaojiita waislamu ambao wanasema Tanzania inafuata mfumo wa kikrosto wakati hata amfumo wa kikristo hawawezi kuueleza ni upi, kuna wengine wanajiita waislamu lakini ukiangalia unaona wao ndio wanaongoza kula kiti moto, kuna wengine hata shule wanazitakaa wanasema ni za kikristo (wana akili kama za bokoharm kwa elimu ya Ulaya ni haram), wengine mafisadi, wezi, wachochezi....wote hawa niliowataja hawapo kwenye kundi la waislamu. Maana waislamu wa kweli ni watu wa amani, ukweli na upendo. NI waislamu gani hao unaowasema?
 
Nyerere alisema Tanzania haini dini kwa maana ya serikali ,na sense na kwa ajili ya kujua kuna watanzania wangapi na umri wao sasa hili la dini linakujaje hapa sisi tuna hesabu watanzania hapa na si vinginevyo kama kuna dini yeyote wanataka kujijua ni mko wangapi anzisheni daftari lenu la usajili kwa gharama zenu wenyewe mtapata idadi yenu .
 
kwani ni kweli kila nchi inayofanya sensa inaweka kipengele cha dini? Nisaidieni hapa kidogo wadau...
 
Nakusaidia vitu viwili.

1. Unaposema Znz unatakiwa ujuwe kuwa unazungumzia Unguja na Pemba. sasa wakiwa wapemba au waunguja lakin wote ni taifa moja na nchi moja nayo ni Znz. sawa na huko bara ukisema wahaya, wachaga, wamakonde wote hao ni miongoni mwa watanganyika.

2. Wewe ulizungumzia Uislam mna kunasibisha na ZNZ. mimi nimekupa takwimu sio tu za waislam bali za WaZnz wote dhidi ya Watanganyika wote iwe mkristu au waislam. Kumbuka ZNZ karibu 99.9% ni waislam. nilichotaka kukujuza kuwa usemi wako sio sahihi ndio maana nikakupa hayo kwa kuchanganya wwatanganyika wote na waZnz wote wasomi wengi wametoka Znz na hilo angalia hata baada ya muungano wenu 1964. wasomi wengi walikuwa wa Znz na hata wamiliki wakuu wa uchumi wa TZ takriban 78% ni wa Znz. Fuatilia nalo hilo utaliona.

Nilichotaka kukufahamisha Uislam unalazimisha watu kusoma na sio kuwa mbumbumbu ndio maana wote tu wasomi.

Mwisho nakusikitikia kwa kukaakana utaifa wako Utanganyika. Sie tuna usemi unanena MKATAA ASLI AKE NI ...

pOLE SANA


Mkuu najua kuwa Zanzibar ni Unguja + Pemba, na na si sawa na makabila ya huku bara, unless you educate me now that upemba na uunguja, ni sawa na uhaya, usukuma na uchagga huku bara. Najua pia kuwa Zanzibar inakuwa Zanzibar pale swala la bara linapoingia, au lile swala la chako chetu, changu changu.

Jaribu kutafuta nyaraka yoyote inayoweza kukwambia Tanganyika iko wapi, inatambuliwa na nani na inaishi kwa sheria ya nani, hapo ndio utajua kama hiyo nchi unayoiita Tanganyika ipo. Wanaozungumzia ile iiliyokuwa inaitwa Tanganyika huku bara ni makaburu, na ndio maana unaona hakuna anayewakubali, ni wabuguzi na waliokosa ubinadamu. Kuna watu wengi Tanganyika wanaisikia vitabuni tu, hiyo kitu haipo ndugu. Nilizaliwa Tanzania asili yangu ni tanzania, mimi ni mtanzania.
 
Mnaobeza haya Maneno inaonyesha hata uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo au pengine hamkutani na wageni wanaotoka nchi za kigeni kwa sababu wao siku zote huulizia maswali kama, KUNA DINI NGAPI, DINI ZIPI NI KUBWA NA PIA IDADI YA WAUMINI WA HIZO DINI wanatengeza idadi ya watu wa nchi hii

TAZAMENI HILI SWALA BILA KUANGALIA DINI ZENU, jiulize je wewe MPAGANI HUTAKI KUJUA NYIE MKO WANGAPI?
 
]Kauli ya Ponda inazungumzika kwa maslahi yetu zote bila kujali tunakubaliana naye au hatukubaliani naye si jambo la kututengenisha bali kujenga hoja kushawishi umuhimu na ubaya wa kuwa na kipengere cha dini katika sensa.


[/COLOR]
Ni maoni yangu kwamba ni upuuzi na upumbavu uliopita mipaka kulazimisha jambo ambalo kimsingi maslahi yake ni machache kama hayapo kabisa. Dini ina maslahi gani mpaka tumbambue kilammoja kwa dini yake?? Sensa inatka kujua mwanamke, mwanaume ili kujua kwamba tupange mfano maswala ya uzazi wa mpango lakini DINI?? Mimi sioni, leo kuna watu kibao wanahama kutoka dini moja kwenda nyingine na hili si swala la serikali, na je takwimu zitakzo patikana leo si zitakuwa za uongo? Pia wewe unasema ni vizuri kulijadili sawa sasa Shekhe Ponda anajadili au analazimisha?? Afya ya majadiliano ni wengi wape wachache wasilikilze. Huwezi kwenda kwenye majadiliano huku ukisema kama langu halifuatwi TUNAGOMA. Jamani choko choko hizi hazitatuacha salama. Tuna umaskini wa kutisha mbona hatulazimishi haya ya kuondoa ufisadi??? EEE MOLA TUEPUSHE NA KIKOMBE HIKI
 
...mkuu,sidhani kama kuna anaeogopa kujua asilimia,but the isssue is itatusaidia nn kwny kuleta hayo maendeleo?yes mnataka kujua mbona ni rahisi sana kufanya wenyewe bila kusubiri serikali iwafanyie km ambavyo wakristu wanafanya!sidhani km serikali itawakataza kufanya wenyewe!....hizo nchi ulizotaja kuna waislam wengi,yes,ni sawa na zambia,italy,uingereza n.k.....nazo zina wakristo wengi!..bt in reality hata mkihesabiwa, the fact is wakristo ni wengi kuliko waislam,kumbuka hapa unaongelea madhehebu mengi sn ya kikristo na c RC

Mkuu Waislam kama Watanzania na walipa kodi wana haki ya kuhesabiwa na serikali ambayo aina dini.
 
Wakuu heshima kwenu,

Mkuu Jasusi kagusia kidogo sensa ya mwaka 1967 ngoja niwawekee kwa faida ya mjadala.


Takwimu ya dini[hariri] Sensa ya 1967

Takwimu ya dini nchini Tanzania kwa sasa haipatikani kwa sababu maswali kuhusu dini yaliondolewa na serikali katika sensa baada ya mwaka 1967. Sensa ile ya tarehe 27 Agosti ilihesabu wafuasi wa dini za jadi kuwa 34.3%, Wakristo 33.5% na Waislamu 31.4%, mbali na wengineo 0.8%.[SUP][1][/SUP]
[hariri] Namba zenye athira ya kisiasa

Tangu mwaka ule swali la takwimu ya kidini Tanzania limejadiliwa sana inaonekana ni swali lenye uzito wa kisiasa pamoja na upande wake wa kitaalamu.
Kwa miaka mingi makadirio ya kawaida yalikuwa Watanzania ni theluthi 1 wafuasi wa dini za jadi, theluthi 1 Waislamu na theluthi 1 Wakristo.[SUP][2][/SUP]
Lakini ni wazi ya kwamba dadi ya wafuasi wa dini za jadi imeendelea kupungua. Baadhi ya viongozi na wanaelimu-jamii wanakadiria kwamba jumuia za Kikristo na Kiislamu zipo sawa tu kwa ukubwa, zote huhesabiwa kiasi cha asilimia 30 hadi 40 kwa idadi ya wakazi, na waliosalia ni waumini wa imani zingine, dini za jadi, na wale wasio na dini kabisa.
Lakini wataalamu wengine wanasema uwiano huo unashikiliwa kisiasa kwa sababu uhusiano kati ya Wakristo na Waislamu ni jambo la siasa ya taifa kwa hiyo makadirio yanaelekea kutaja uwiano sawa kati ya pande hizi mbili.[SUP][3][/SUP]
[hariri] Mifano ya makadirio mbalimbali

Kwa hiyo namba zote kuhusu takwimu ya dini nchini Tanzania ni makadirio tu hakuna namba za kutegemea. Vyanzo vinavyotaja namba vinatofautiana sana mara nyingi kufuatana dini ya wahariri.

  • "World Christian Encyclopedia" (toleo la pili, Oxford 2001) imekadiria kwa mwaka 2000 Wakristo kuwa 50.4 % (Wakatoliki 24.7%, Waprotestanti mbalimbali 16.5%, Waanglikana 7.9%, wasio na madhehebu maalumu 3.5%, madhehebu huru 1.9%, madhehebu yasiyokubali imani ya msingi ya Wakristo wengine wote 0.1%, wenye kufuata madhehebu mawili kwa wakati mmoja 4.2%), Waislamu 31.8%, wafuasi wa dini za jadi 16.1% na wengineo 1.8%. Pia imetabiria kwa mwaka 2025 uwiano kuwa 56.1, 32.8, 8.9 na 2.1%, na kwamba kufikia mwaka 2050 Wakristo na Waislamu watakuwa karibu 65 na 35% kati ya wakazi wa nchi.


  • Takwimu zinazoonyeshwa na Waislamu hudai kundi kubwa la Watanzania kuwa Waislamu wakiwa na asilimia 50 - 60 za watu wa nchi [SUP][5][/SUP]

  • Kuna shirika za Kiislamu zinazotabiri Tanzania itakuwa nchi ya Waislamu wengi mnamo mwaka 2020 [SUP][6][/SUP]
Pande zote zinarejea takwimu za kuongezeka za watu katika maeneo fulani wakiongeza makadirio yao juu ya matokeo kwenye namba za kidini.

Source; wikipedia.

ASANTE Mkuu coz wanaeropoka tu wakidhania ule mkakati wao wa kuzaliana kwa hali na mali ushafanikiwa na ndo maana walikua na mkakati wa kujenga misikiti hata maporini (Tazama njia nzima tokea morogoro hahi Iringa utagundua hili) kwa msaada wa OIC.....
 
Kuna nchi kama sierra leone ina muslim majority lakini its one of the most religious torelant nation na ikiwa na rais mkristo so why do muslims have to complain always mbona huko wakristo hawalalami afu isitoshe dini zenYEWE ZA KULETEWA
 
Mkuu kwani mnatishwa na nini si nanyie mtajijua exactly mko wa ngapi sasa hii ya kuwatisha inatokea wapi?Nina hakika hata nyie wakristo hamna idadi sahihi ya waumini wenu sijui kitu gani mnogopa jamani.Au dhuluma zenu ndo iakuwa mwanzo wa kwisha tehe tehe natania.
Faida zipi hizo na kwa faida kwa dini husika au Watanzania?
Kanisa nalosali tunajua idadi kamili ya Wakristo kwenye parokia yetu, tunajua idadi ya wanakuja Ibadani kila wiki, kwa hiyo tunajua dayosisi ina waumini wangapi na nchi nzima wako wangapi. Waislamu wanashindwa vipi hadi kulazimisha serikali iwasaidie kujua idadi yao? Hawana namna ya kujua Waislamu wako wangapi? Au wanataka kuwatisha wengine tu?
 
juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.

Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.

Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.

"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.

HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!

naomba kuwasilisha!
Well said, mie sina shida kabisa na kipengele cha dini kuwekwa kwenye sensa bali hiyo sumu ya kuwa Tanzania inaendeshwa na mfumo kristo nahisi ni kali na ngumu kusafishwa kwenu.
Kwenye swala la ajira mfano hiyo sekta ya afya huo ubaguzi wa dini unaoongelea nasikia kwako. Labda kuanzia sasa ingekuwa vyema kwa serikali iwe ina data base kwa watu wanao-apply post flani ili hata hao waislam wachache waliokosa kazi wasisemee mioyo ya wengine kwa kisingizio cha udini. Mana imekuwa hulka ya kwenu kulalamikia hampati kazi au hampati fursa flani ilihali hata hamwombi. Pia ni vyema nyie kama taasisi baada ya kujua idadi ya waumini wenu kupitia sensa kwa mfano kama ni 64% kama mlivyo speculate itakuwa bora pia mfanye sensa ya ndani kujua proffessional people within you and illiterate. Baada ya hapo kufikiria hatua gani mtachukua ili kuwasaidia hao ambao hawajasoma ili kuingia kwenye soko la ajira.....ni vyema viongozi msiwe wabinafsi kama mmeamua kuwasaidia waumini wenu na sio kulalamika tu. Au pia mnaweza mkawauliza makafiri wao wanafanyaje kuhamasisha waumini wao wasome.
Mfano mie nafahamu kuna makanisa flani wamejiwekea mikakati ya kuwa ili kusoma mafundisho ya dini ya kikristo mtoto anatakiwa awe amefika darasa la 5 na awe anajua kusoma na kuandika, huoni hapo inahamasisha mapokeo yote ya elimu.
Nimesema haya yote pia ni kwa nia ya kuendeleza kizazi kijacho chenye possitive attitude, hivi imagine kwa mtoto wa kiislam ambaye atakuwa legelege na shule mnahisi matamkomboa au atakuwa na notion kama "haina haja hata na hivyo hata nikisoma sana mwisho wa siku ntafelishwa au hata nikipita sitapata kazi mana wanaopewa ni wakristo sababu ya mfumo wao waliojiwekea serikalini"
 
Back
Top Bottom