Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Wewe unaanza kuwa na uwezo wa ku reason kwa kiwango gani!?:A S 39:hivi kuwa shekhe inabidi uwe na elimu gani...?
maana reasoning lazima iwepo eb nisaidieni jamani....!
Wewe unaanza kuwa na uwezo wa ku reason kwa kiwango gani!?:A S 39:hivi kuwa shekhe inabidi uwe na elimu gani...?
maana reasoning lazima iwepo eb nisaidieni jamani....!
"......Yeye ndiye aliyekuumbeni kwa udongo, kisha akakuhukumieni ajali (kifo), na muda maalum (wa kuishi) uko kwake tu. Tena baada ya haya nyinyi mnatia shaka ! Qur'an: 6:2.Kuna nchi kama sierra leone ina muslim majority lakini its one of the most religious torelant nation na ikiwa na rais mkristo so why do muslims have to complain always mbona huko wakristo hawalalami afu isitoshe dini zenYEWE ZA KULETEWA
Mkuu najua kuwa Zanzibar ni Unguja + Pemba, na na si sawa na makabila ya huku bara, unless you educate me now that upemba na uunguja, ni sawa na uhaya, usukuma na uchagga huku bara. Najua pia kuwa Zanzibar inakuwa Zanzibar pale swala la bara linapoingia, au lile swala la chako chetu, changu changu.
Jaribu kutafuta nyaraka yoyote inayoweza kukwambia Tanganyika iko wapi, inatambuliwa na nani na inaishi kwa sheria ya nani, hapo ndio utajua kama hiyo nchi unayoiita Tanganyika ipo. Wanaozungumzia ile iiliyokuwa inaitwa Tanganyika huku bara ni makaburu, na ndio maana unaona hakuna anayewakubali, ni wabuguzi na waliokosa ubinadamu. Kuna watu wengi Tanganyika wanaisikia vitabuni tu, hiyo kitu haipo ndugu. Nilizaliwa Tanzania asili yangu ni tanzania, mimi ni mtanzania.
Chenge ana Elimu ya Harvard na akutuletea Richmond, Balali ni DR. wa Elimu akatuletea EPA !:nono:Naomba kujua elimu ya Sheikh PONDA tafadhali yawezekana kipofu anamsindikiza kiziwi....
Kuna nchi kama sierra leone ina muslim majority lakini its one of the most religious torelant nation na ikiwa na rais mkristo so why do muslims have to complain always mbona huko wakristo hawalalami afu isitoshe dini zenYEWE ZA KULETEWA
Hebu pause......... fikiri kidogo ! hilo hilo dodoso (karatasi ya maswali ya sensa) kinaingizwa kipengele cha dini, unaonaje ?:A S 39:, gharama inaongezeka wapi hapo ?Nyerere alisema Tanzania haini dini kwa maana ya serikali ,na sense na kwa ajili ya kujua kuna watanzania wangapi na umri wao sasa hili la dini linakujaje hapa sisi tuna hesabu watanzania hapa na si vinginevyo kama kuna dini yeyote wanataka kujijua ni mko wangapi anzisheni daftari lenu la usajili kwa gharama zenu wenyewe mtapata idadi yenu .
...ikujumuishwa kwenye hilo dodoso la sensa, kama hatuletei maendeleo, je itatuharibia maendeleo ? yaani: ikijulikana idadi ya watu na dini zao, barabara zitakuwa fupi? maji yatapunguwa ? ....... mnalo hili, mwalim nimekubaini !:A S 39:...mkuu,sidhani kama kuna anaeogopa kujua asilimia,but the isssue is itatusaidia nn kwny kuleta hayo maendeleo?yes mnataka kujua mbona ni rahisi sana kufanya wenyewe bila kusubiri serikali iwafanyie km ambavyo wakristu wanafanya!sidhani km serikali itawakataza kufanya wenyewe!....hizo nchi ulizotaja kuna waislam wengi,yes,ni sawa na zambia,italy,uingereza n.k.....nazo zina wakristo wengi!..bt in reality hata mkihesabiwa, the fact is wakristo ni wengi kuliko waislam,kumbuka hapa unaongelea madhehebu mengi sn ya kikristo na c RC
:A S 39: are u serious !?Ningependa kupata mfano mzuri wa jinsi waislam wanavyobaguliwa kwenye ajira. Hivyo naomba mtu anipe data kamili, Sheikh Ponda ana ujuzi/elimu gani na aliomba/ameomba ajira wapi na majibu yalikuwaje? Pia mtu anayejua Sheikh Ponda amesomesha watoto wake (wa kuzaa) hadi kiwango gani, na sasa wanafanya nini? Hili litatusaidia kuelewa huyu sheikh anaongea nini.
Pili, lingekuwa jambo la maana sana kama tungepata profile (qualification wise) ya kamati ya Sheikh Ponda hasa wale walio mstari wa mbele kudai haki za waislam. Inawezekana tuna ma-profesa wa physics wanazagaa mitaani bila ajira kwa sababu ya dini zao!
maoni ya kigalatia !kwa mwendohuu wa msomi wa physics, chemistry, biology, mahesabu, nk kuongozwa na huyu ni sawa na kipofu kumuongoza anayeona.
na huko mbeleni ni wazi uislamu tanzania utapungukiwa na wafuasi sababu ya kuongozwa na watu wasio na maono.
ni sawa sawa na sasa hivi wana science waongozwe na wale waliosema dunia ipo hivi au ipo vile. na hata wa kristo wa kale walipingana na wana science kwenye vitu fulani lakini kadri siku zinavyo kwenda ukweli unakuja julikana....
Hii sio nchi ya Nyerere wewe! amka!Tanzania bila Nyerere imekuwa haina mwenyewe. Huyu akitaka anahamasisha watu wake kugoma sensa, huyu hivi! Sijui kama tutafika.
Waambie wafanye sensa yao wajue idadi ya waumini wa kiislam
kwa hiyo baada ya sensa 1967 wapagani wengi wamekuwa wa galati? maana data za mwanzo 35% wagalati, 35% waislamu, wapagani 30%, sasa wagalati 60%, waislamu 31% to 35% , ze rest wengineo. awe muhindu, pagani nk. wenyewe kitaaluma wana sema minorities
The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups
CIA Inadai mgawanyo wa dini Tanzania upo kama ifuatavyo
mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
Tumuamini nani ?