Sheikh Ponda yuko sahihi

Sheikh Ponda yuko sahihi

Barubaru maendeleo ya nchi yanapangwa kwa kuangalia dini?
kama mnataka kujua mko wangapi jihesabuni wenyewe kama wakristo wanavofanya ktk jumuia,parokia,usharika nk... waziri wa fedha anavosoma bajeti huwa anasema bejti hii ni ya waislamu na hii ni ya wakristo au inamlenga kila Mtanzania?

Labda nikuulize. Kipengele cha Jinsia kina maana gani wakati wote ni watu? kinasaidia nini katika mipango ya nchi?

Lakin kwa kukusaidia unahitaji sana kufikiri nje ya box. Unapotaka kupanga maendeleo ya nchi ni lazima uangalie jamii husika kuna kitu kinaitwa mila na desturi na sirka za jamii husika ndanimwe utaangalia hata dini yao ili kuweka kitu ambacho kitaendana na jamii husika bila kukiuka maadili ya mila na desturi zao.

Lakin pia hata hivi sasa mnazungumzia kuwawezeha wanawake katika uongozi na utawala na elimu hususan masomo ya science. Inakubidi ujue idadi yao na kupanga mikakati. lakin hata pale mnaposema waislam hawajasoma ni vizuri kupanga mikakati ya kuwaendeleza kama inavyofanywa kwa kabila la wahazabe au wabarbaidi. Hiyo ni mifano tu ya kuendeleza makundi fulani ya jamii kwa kuyapa kipaumbele katika maendeleo.

katika kupanga maendeleo siku zote tunaangalia maeneo duni na kuyapa pesa nyingi za maendeleo kulinganisha na sehemu zilizoinuka.

Funguka utayaona mengi. Sioni sababu mpaka sasa kuondoa kipengele cha DINI. labda tu sababu ya msingi.
 
Kuna ya maana sana ya kujadili, si udini. Udini ni sera ya watu wasio na elimu na wasio na hoja na wasiojua sababu za umasikini Tanzania, ukitaka kuwajua jaribu kuangalia hoja katika thread hii.

Nakushauri soma kitabu cha Padre Silvalon kinachoitwa '' Kanisa katoliki na siasa za Tanzania Bara 1953 - 1985'' Kimejipambanua kwa kina sana na utajua mengi sana dhidi ya DINI na UDINI.

 
barubaru hicho kipengele hata kama kitakuwepo haitawasaidia sana kwani mgawanyo wa keki ya taifa haungalii dini
cha msingi himizaneni na wapelekeni watoto wenu ktk shule zenye walimu imara bila kujali udini ili wapate elimu
ktk ajira hatuangalii kama ww ni muislamu au mkristo na hata ktk selection ya kazi hatuangalii dini
vile vile ktk kuchagua wananfunzi wa vyuo hatuangalii dini bila ufaulu.
kwangu mimi bado hamjatoa sababu za msingi na za kuridhisha kwanini kipengele hicho kiwepo
 
kama Sheikh wangu ponda kasema hivyo basi na mimi sihesabiwi mpaka kipengele cha dini kiwekwe mbona wao waisilamu hawaogopi kipengele cha dini iweje nyie wakiristo munaogopa ? na sisi waisilamu hatutoshiriki hio sensa yenu jihesabuni wenyewe

Acha usihesabiwe kwani lazima?
 
hivi kwa nini waisilamu ni wazito kuelewa sana?nchi hi ya tanzania katiba yake haina dini ndio maana tunasema nyerere alikua na akili sana kwa kulipendekeza hili ila inadhamini dini zilizopo tuu basi.katika sensa tunahesabu raia wa tanzania hatuhesabu idadi ya dini mwelewe hivyo,kama mnatakataifa la kiislamu nendeni uarabuni mkaombe uraia na wakristo kama mnataka taifa la kikristo nendeni zambia,acheni tanzania ikae kama ilivyo serekali haina dini basi
 
Hapo matokeo lazima yatolewe kila kituo, halafu kuwe na mawakala wa dini zote ili kuhakikikisha hakuna uchakachuaji. Vinginevyo itakuwa ni chazo cha vurugu nchini.

:clap2: and :A S thumbs_up:
 
Sisi wasukuma bila kujali dini zetu serikali ikikubali tu matakwa ya kuwa na mahakama ya kadhi au sensa inayotaka kutambua idadi ya waumini wa dini fulani, basi na sisi tutaanzisha vuguvugu la kudai haki za wasukuma kwamba kama uraisi ni kupokezana iwe mkristo then muislam au mtanganyika then mzenj na sisi basi tuwemo kwenye hako kamzunguko.
 
Kazi ndio msingi wa maendeleo, maendeleo ya watu yataletwa na kufanya kazi kwa ufanisi na nidhamu. Kuhusu kipengele cha dini kwenye fomu za sensa nakiafiki sana, pia kiwepo kipengele cha kiwango cha elimu chini yake, nadhani malalamiko ya mashehe, maimamu na maamuma wao yanaweza kupatiwa jibu la muda mrefu. Jaribu kufanya utafiti kidogo kwa makandarasi waliofanya kazi zanzibar wakupe uzoefu wao wa wachapa kazi wa huko. Kazini anaingia saa 3.00, saa 6.30 anaenda kuswali mpaka saa nane, saa 10.00 anaenda kuswali harudi mpaka kesho. Mwezi mtukufu wa ramadhani ndo balaa, akitoka saa 6.30 harudi mpaka kesho (swaumu). Mtasema tunawakashifu lakini tuseme kweli, mliona wapi binadamu akajikwamua toka katika umasikini kwa kufanya kazi masaa matatu kwa siku? Hata shule kusoma ndio style yao, wakifeli maandamano. Mungu baba muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo alifanya kazi ya uumbaji siku sita, siku ya saba akapumzika, akaibariki na kutuamuru tufanye kazi kwa siku sita ya saba tumwabudu na kumtukuza. Fanyeni kazi, acheni kushinda kwenye vijiwe vya kahawa na kulala misikitini kwa kisingizio cha kuabudu.
 
The study of the United StatesBureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania isChristian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious group
The Christian population of Tanzania is mostly composed of Roman Catholics,Lutherans and Anglicans, Pentecostals, Seventh-day Adventists, members of The Church of Jesus Christ of Latter-day Saints (Mormons), and Jehovah's Witnesse

Islam is, as of 2007, the religion in Tanzania with 40% of the population of the mainland (Tanganyika) and more than 99% of the population on the island ofZanzibar being Muslim
soma zaidi Wikipedia
fanya random sampling ya idadi ya wanaomaliza form 4, 6 na wanaoingia
vyuo utaona asilimia 70 ni wakristo na 30 ni waislamu na wasio na dini.

bado tu huamini? mnalala mnangangania usawa wa kielimu na kikazi wapi na wapi.

Unatakiwa kujiuliza ni kwanini asilimia 70 ni wakristo, angalia ni kwanini nyanda za juu kusini nyanda za juu kaskazini wana shule nyingi kuliko pwani yote, ujiulize kama ni serikali inawasaidia kujenga. Pia jiulize ni kwanini Zanzibar ambako asilimia 99.99 ni waislamu lakini kielimu wako hoi kuliko hata waislamu wa bara, ukiwa na majibu ya maswali haya ndio unaweza kujua line of argument ya Ponda.
 
Kwani kuna ubaya gani kufahamu dini zetu mbona sehemu zingine duniani wanajuana kwa dini na hakuna tatizo lolote mfano.

Israel, Jewesh 75.5%...Wakiristo 2.1%...Waislam 16.8%..

Uingereza, Wakiristo 49.8%...Waislam 12.5%...Wasiokuwa na dini 30.6%.

Misri, Waislam 90%...Coptic 9%...na Wakiristo wengine 1%.

Nimetaja sehemu chache kama mfano sasa kwa nini Tanzania wanaogopa?
 
barubaru hicho kipengele hata kama kitakuwepo haitawasaidia sana kwani mgawanyo wa keki ya taifa haungalii dini
cha msingi himizaneni na wapelekeni watoto wenu ktk shule zenye walimu imara bila kujali udini ili wapate elimu
ktk ajira hatuangalii kama ww ni muislamu au mkristo na hata ktk selection ya kazi hatuangalii dini
vile vile ktk kuchagua wananfunzi wa vyuo hatuangalii dini bila ufaulu.
kwangu mimi bado hamjatoa sababu za msingi na za kuridhisha kwanini kipengele hicho kiwepo

Kwa kuliangalia hili unahitaji AKILI ZA ZIADA KUANGALIA KWA MAPANA YAKE.

kWANI KIPENGELE CHA JINSIA KINA SAIDIA NINI KATIKA SENSA ZENU?

Nafikiri ukijua hilo basi hata dini utaona umuhimu wake. Keki ya Taifa lenu ni lazima iliwe na wote lakin sio baadhi tu. Na kwa mujibu wa Historia ya nchi yenu Tanganyika suala la UDINI haliwezi kukwepeka kwani hilo ni kovu mliloachiwa na Ukoloni wa Mwingereza kama ilivyo kwa ukabila kwa Uganda na Kenya.

Unakumbuka katika maoni yake aliyewahi kuwa bosi wangu pale wizara ya fedha na muasisi wa Chadema kuhusu uundwaji wa makamishna wa Katiba mpya.Alinena Waislam wamezidi katika tume hiyo ya katiba. Je unajuwa kwanini? Je angekuwa kenya unajuwa angeuliza nini?

Lakin kwa kukusaidia zaidi si kila kitu katika sensa kinatakiwa kwa wakti ule ila kuna wakti kitahitajika. Suala kama jinsia , ulemavu na umri vinatakiwa kwa wakati maalum na shughuli maalum kama ilivyo dini.

Funguka zaidi usijinyonge na kuangalia suala hili kwa utenge.

 
Nadhani hii ni busara kwani muanisho huu wa kipengele cha dini ni muhimu hasa kukiwa na mipango inayohusu dini.. kama kujua tunahitaji kutenga ardhi kiasi gani kwa ajili ya misikiti/makanisa... au makaburi

Ni nani alikwambia kuna maeneo yanatengwa maalum kwa ajili ya misikiti au makanisa? nadhani wahusika huwa wanajipanga na kuomba eneo kunako husika, ndo maana misikiti na makanisa siku hizi yapo kila mahali
 
Unatakiwa kujiuliza ni kwanini asilimia 70 ni wakristo, angalia ni kwanini nyanda za juu kusini nyanda za juu kaskazini wana shule nyingi kuliko pwani yote, ujiulize kama ni serikali inawasaidia kujenga. Pia jiulize ni kwanini Zanzibar ambako asilimia 99.99 ni waislamu lakini kielimu wako hoi kuliko hata waislamu wa bara, ukiwa na majibu ya maswali haya ndio unaweza kujua line of argument ya Ponda.

Nilipo Blue si kweli hata kidogo.

Zanzibar ina wasomi wengi sana kuliko Bara. Mimi nina takwimu sahihi kabisa nilizozipata toka wizara elimu Znz kwa tuliosoma UDSM kuanzia 1974- 1985. Utaona waznz ni wengi sana waliograduate ukilinganisha na wa Bara. kwa kuzingatia population ya nchi hizi.

Lakin kwa kukusaidia zaidi zanzibar haikuwahi kuwa na kisoma cha watu wazima. watu wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika
tokea enzi za JK Nyerere.

naomba fuatilia hilo na kutazama na idadi za watu wenu. Tanganyika mpo zaidi ya 40 milion na Znz wapo chini ya 1.5 milion. fanya hisabu kwa wanograduate kwa mwaka utaligundua hilo.
 
Nilipo Blue si kweli hata kidogo.

Zanzibar ina wasomi wengi sana kuliko Bara. Mimi nina takwimu sahihi kabisa nilizozipata toka wizara elimu Znz kwa tuliosoma UDSM kuanzia 1974- 1985. Utaona waznz ni wengi sana waliograduate ukilinganisha na wa Bara. kwa kuzingatia population ya nchi hizi.

Lakin kwa kukusaidia zaidi zanzibar haikuwahi kuwa na kisoma cha watu wazima. watu wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika
tokea enzi za JK Nyerere.

naomba fuatilia hilo na kutazama na idadi za watu wenu. Tanganyika mpo zaidi ya 40 milion na Znz wapo chini ya 1.5 milion. fanya hisabu kwa wanograduate kwa mwaka utaligundua hilo.
Mpe tano basi marehemu baba wa taif JK Nyerere kwa hilo. Zanzibari kulikuwa na chuo enzi hizo??
 
Kwangu hata wasio na dini nao ni Waislamu, maana maisha wanayoishi yanakaribia Uislamu zaidi ingawa wengi wao ukiwauliza wao ni dini gani au kama hawana dini; watakujibu wao ni Wakristo!
Kuhusu watu wengi Kanda ya Ziwa na Wakinga hawana dini msubiri Sikonge, Lunyungu, Balantanda na Ukolokwitanga watakupa jibu.

Naona hujui unachokiandika Uislam ni mfumo wa maisha, sasa wewe unasema watu wasiokuwa na dini unawaona kama Waislam ni kichekesho.
 
Kwa kuliangalia hili unahitaji AKILI ZA ZIADA KUANGALIA KWA MAPANA YAKE.

kWANI KIPENGELE CHA JINSIA KINA SAIDIA NINI KATIKA SENSA ZENU?

Nafikiri ukijua hilo basi hata dini utaona umuhimu wake. Keki ya Taifa lenu ni lazima iliwe na wote lakin sio baadhi tu. Na kwa mujibu wa Historia ya nchi yenu Tanganyika suala la UDINI haliwezi kukwepeka kwani hilo ni kovu mliloachiwa na Ukoloni wa Mwingereza kama ilivyo kwa ukabila kwa Uganda na Kenya.

Unakumbuka katika maoni yake aliyewahi kuwa bosi wangu pale wizara ya fedha na muasisi wa Chadema kuhusu uundwaji wa makamishna wa Katiba mpya.Alinena Waislam wamezidi katika tume hiyo ya katiba. Je unajuwa kwanini? Je angekuwa kenya unajuwa angeuliza nini?

Lakin kwa kukusaidia zaidi si kila kitu katika sensa kinatakiwa kwa wakti ule ila kuna wakti kitahitajika. Suala kama jinsia , ulemavu na umri vinatakiwa kwa wakati maalum na shughuli maalum kama ilivyo dini.

Funguka zaidi usijinyonge na kuangalia suala hili kwa utenge.


Sioni ubaya wa kukusanya takwimu zozote zile, ikiwa ni pamoja na idadi ya waumini wa dini au madhehebu. Ubaya au uzuri wa kukusanya takwimu hizo unategemea unataka kuzitumia takwimu hizo kwa nia gani, nia nzuri au mbaya? Kama unataka kupata takwimu yeyote ile kwa nia ya kuleta fitina, ubaguzi wa aina yeyote ile, basi hata tendo lenyewe la ukusanyaji takwimu hizo linakuwa haramu kutokana na nia ovu uliyokuwa nayo.

Shekhe Ponda (japo siamini kama ni shekhe kweli) ameshalifanya tendo lolote la kukusanya takwimu za waumini wa dini kuwa ovu kutokana na nia yake ovu. Nia yake kubwa ni kuleta ubaguzi wa kidini, kuwataka watu wagawanyike kidini, wafikiri kidini na watende kwa kuegemea dini zao. Anataka kuwa na Tanzania iliyogawika kwa misingi ya kidini. Ameishaweka wazi kuwa nia ya kupata idadi ya waumini wa dini ya kiislam ni kutaka kuwa na uwiano wa kiuongozi, ajira na kila jambo kwa kuegemea dini wala siyo mahitaji na uwezo wa raia wetu. Huyu ni mfitini mkubwa, na hapo ndipo unapoona ubaya wa demokrasia unapokuwa na watu waliojaa hila, uovu na dhamira mbaya kama akina Ponda. Angetaka takwimu hizo kwa nia nzuri, mimi ningemwunga mkono lakini kwa nia aliyoitaja, kamwe siwezi kuunga mkono udhalimu wowote unaolenga kuigawanya Tanzania kwa misingi ya dini. Huyu ni mpuuzi mkubwa. Waumini wa dini mbalimbali wanapenda na wana haki kujua idadi ya waumini lakini iwe ni kwa nia iliyojaa utakatifu. Anachokifanya Ponda, madhara yake kwa jamii, ni aheri ya kuwa na jambazi kuliko mtu wa namna hii.
 
Nilipo Blue si kweli hata kidogo.

Zanzibar ina wasomi wengi sana kuliko Bara. Mimi nina takwimu sahihi kabisa nilizozipata toka wizara elimu Znz kwa tuliosoma UDSM kuanzia 1974- 1985. Utaona waznz ni wengi sana waliograduate ukilinganisha na wa Bara. kwa kuzingatia population ya nchi hizi.

Lakin kwa kukusaidia zaidi zanzibar haikuwahi kuwa na kisoma cha watu wazima. watu wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika
tokea enzi za JK Nyerere.

naomba fuatilia hilo na kutazama na idadi za watu wenu. Tanganyika mpo zaidi ya 40 milion na Znz wapo chini ya 1.5 milion. fanya hisabu kwa wanograduate kwa mwaka utaligundua hilo.

Mkuu unatakiwa kujua kuchanganua mambo kwa mujibu wa hali halisi na elimu uliyopata. Ukiangalia nilichosema nimesema waislamu wa bara na waislamu wa Zanzibar, sikusema watu wa "Tanganyika" na wa Zanzibar, hata hao unaosema wazanzibar wengi wanaokwenda mlimani na kusoma ni wapemba, kwa hiyo kama tukiendelea na hiyo "sera" ya kijinga ya kuwagawagawa watu unaweza kuona kuwa ni wapemba na si wazanzibar ndio wanaosoma. By the way hakuna nchi inayoitwa Tanganyika, it does not exist in any form know to any intelligent person, it ceased to exist since the unification. And on top of that nimebahatika kufundishwa na finest professors kutoka Zanzibar na wanaoweza kueleza hali halisi kwa kuona na kwa usomi, si kama Ponda type.

Kama kweli wewe ni msomi ungejua kabisa kwamba Nationalists who disguise themselves in the blanket of religion are as evil as Nazis who disguised themselves in skin colour, hapo ndio suala la elimu linakuja. Na siku zote these kind of people are proven to be ******.
 
Ningependa kupata mfano mzuri wa jinsi waislam wanavyobaguliwa kwenye ajira. Hivyo naomba mtu anipe data kamili, Sheikh Ponda ana ujuzi/elimu gani na aliomba/ameomba ajira wapi na majibu yalikuwaje? Pia mtu anayejua Sheikh Ponda amesomesha watoto wake (wa kuzaa) hadi kiwango gani, na sasa wanafanya nini? Hili litatusaidia kuelewa huyu sheikh anaongea nini.

Pili, lingekuwa jambo la maana sana kama tungepata profile (qualification wise) ya kamati ya Sheikh Ponda hasa wale walio mstari wa mbele kudai haki za waislam. Inawezekana tuna ma-profesa wa physics wanazagaa mitaani bila ajira kwa sababu ya dini zao!
 
Nilipo Blue si kweli hata kidogo.

Zanzibar ina wasomi wengi sana kuliko Bara. Mimi nina takwimu sahihi kabisa nilizozipata toka wizara elimu Znz kwa tuliosoma UDSM kuanzia 1974- 1985. Utaona waznz ni wengi sana waliograduate ukilinganisha na wa Bara. kwa kuzingatia population ya nchi hizi.

Lakin kwa kukusaidia zaidi zanzibar haikuwahi kuwa na kisoma cha watu wazima. watu wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika
tokea enzi za JK Nyerere.

naomba fuatilia hilo na kutazama na idadi za watu wenu. Tanganyika mpo zaidi ya 40 milion na Znz wapo chini ya 1.5 milion. fanya hisabu kwa wanograduate kwa mwaka utaligundua hilo.

Itabidi kupata tafsiri sahihi ya 'msomi'. Je msomi ni mtu aliyepata maarifa na akayatumia maarifa hayo kumudu maisha yake, ya familia, jamii na Taifa lake au inaangaliwa tu muda aliokaa darasani na kukariri yaliyoandikwa na watu wengine? Hivi mtu kama kiongozi wa 'Uamsho' kama amekaa miaka mingi darasani na kujenga uwezo wa kushawishi watu ili awafitinishe na kuleta hofu, mauaji na fujo, naye anaitwa ni msomi? Nini maana ya msomi?

Ukiwa na watu waliokaa madarasani hadi wakazeekea huko lakini wakitoka wakawa kama akina Ponda, kazi yao kubwa ni kuhubiri chuki na kupalilia utengano, nao hao ni wasomi? Kama usomi wa mtu huangaliwa tu muda wa mtu aliokaa darasani, basi kuna haja ya kuwa na 'Wasomi walioelimika' na 'Wasomi Mbumbumbu'. Na hapo ndipo nitakapouliza, hao wasomi wengi wa Zanzibar ni 'Wasomi walioelimika' au ni 'Wasomi Mbumbumbu'?
 
Dini zenyewe za kuletewa halafu mnajifanya mna uchungu nazo saana! acheni mambo hayo!
 
Back
Top Bottom