KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Sheikh Ponda amesema yeye ni kiongozi mkuu wa kuokoa mali za Waislamu hivyo atahakikisha mali zote za Waislam zilizoporwa zinarejeshwa mikononi mwa Waislam.
Amesema zoezi hilo lina anzia kwa Wezi Mafisadi ambao ni Waislamu na Wamepora mali za Waislam kwa kigezo cha kwamba wao pia ni Waislamu.
Amesema Fisadi wa Kwanza ni Yusufu Manji ambaye amepora eneo la Waislamu Chang'ombe na kumupatia Abdallah na kukalia kwa mabavu!!!
Amesema leo wamekwenda neneo hilo na kuvunja Ukuta na kuingia ndani na kujenga Msikiti haraka na Ibada ikafanuika hapo kumushukuru Allah.
Amesema wameshamwandikia barua Mufiti kutaka kufanyike Stock taking ya mali za Waislamu ili kubaini mali zilizo ibiwa kupitia BAKWATA huku viongozi wa BAKWATA wakishabikia CCM.
Kwenye operation hiyo Ponda amesema hawatafuata Sheria za Mahakamani bali watatumia Sharia.
Waislamu wanapaswa kuyaondoa matatizo kwa mikono yao yao wenyewe!!!!!!!!!!!!!!
Kiongozi wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Issa Ponda Issa akitoa msimamo kuhamasisha waislam kwenye Zoezi la kuokoa Mali za Waislam .
Kiongozi wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Issa Ponda Issa ( wa pili kulia). Wengine ni viongiozi wa jumuia hiyo, Shabaan Mapeyo (kulia), Hamadi Iddi Almara ( kushoto) na Suleiman Khamis.
Amesema zoezi hilo lina anzia kwa Wezi Mafisadi ambao ni Waislamu na Wamepora mali za Waislam kwa kigezo cha kwamba wao pia ni Waislamu.
Amesema Fisadi wa Kwanza ni Yusufu Manji ambaye amepora eneo la Waislamu Chang'ombe na kumupatia Abdallah na kukalia kwa mabavu!!!
Amesema leo wamekwenda neneo hilo na kuvunja Ukuta na kuingia ndani na kujenga Msikiti haraka na Ibada ikafanuika hapo kumushukuru Allah.
Amesema wameshamwandikia barua Mufiti kutaka kufanyike Stock taking ya mali za Waislamu ili kubaini mali zilizo ibiwa kupitia BAKWATA huku viongozi wa BAKWATA wakishabikia CCM.
Kwenye operation hiyo Ponda amesema hawatafuata Sheria za Mahakamani bali watatumia Sharia.
Waislamu wanapaswa kuyaondoa matatizo kwa mikono yao yao wenyewe!!!!!!!!!!!!!!
Kiongozi wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Issa Ponda Issa akitoa msimamo kuhamasisha waislam kwenye Zoezi la kuokoa Mali za Waislam .
Kiongozi wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Issa Ponda Issa ( wa pili kulia). Wengine ni viongiozi wa jumuia hiyo, Shabaan Mapeyo (kulia), Hamadi Iddi Almara ( kushoto) na Suleiman Khamis.