Sheikh Ponda Issa Ponda Alama ya Uadilifu

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,920
30,261
Hapa ndipo penye mtihani wa BAKWATA.
BAKWATA wanataka kuwa kiongozi wa Waislam.

Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka imani ya hali ya juu na kujitolea kwa lolote.
.
Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka kumtegemea Allah na kutomuogopa yeyote ila Allah Pekee.

Ponda kasimama dhidi ya dhulma za Baraza la Mitihani (NECTA) dhidi ya wanafunzi Waislam na kutangaza maandamano kama haya ya kuwaunga mkono Wapalestina.

Polisi wakatoa onyo kali kwa watakaotoka kuandamana.

Sheikh Ponda katika sala ya Ijumaa Msikiti wa Kichangani akawaambia Waislam, 'Kama hatukuandamana kwa dhulma hii ya NECTA tufanywe lipi ili tuandamane?''

Sheikh Ponda aliwauliza Waislam akiwa kasimama mbele kwenye kibla cha msikiti wa Kichangani.

Hotuba yake kwa Waislam jinsi vijana wa Kiislam wanavyodhulumiwa na NECTA ulijaza msikiti nzima simanzi.

Akawaambia Waislam.
''Tumekusanya ushahidi wote tunao.''

Ndani ya msikiti wamejaa makachero.
Nje ya msikiti kuna Defender na askari wamevalia mavazi ya mapambano.

Juu inapita helicopter.
Matangazo yametolewa Waislam wasithubutu kuandamana.

"Kama hatukuandamana kwa hili tutaandamana kwa lipi?
Mimi nitatangulia mbele kuongoza maandamano haya."

Hapo akaipa mgongo hadhira yake akaelekea kibla akanyanyua mikono yake kumkabili Allah kuomba nusra ya umma ule uliokuwa tayari kulikabili Jeshi la Polisi lenye silaha.

Allah aliwanusuru waandamanaji wote.

Maandamano yanafika Jangwani habari zinatangazwa Waislam wanaombwa waandamane kwa amani waelekee Kidongo Chekundu wasiingie mjini hapo viongozi watapokelewa na Polisi na kupelekwa Makao Makuu ya Wizara ya Ndani na ndipo Waraka wa Shura utapokelewa.

Wataalamu haraka waliishauri serikali vizuri polisi wasipambane kwa kuwa yote aliyosema Sheikh Ponda msikiti ni kweli tupu.

Polisi haiwezi kuwashambulia Waislam kwani itakuwa fedheha kubwa ukweli utakapojulikana.

Vijana wote wanafunzi wa Kiislam waliodhulumiwa na NECTA walipata haki zao.

Sheikh Ponda alikuwa mstari wa mbele akiongoza maandamano yale.
Serikali ikijua yote yaliyofanyika NECTA dhidi ya wanafunzi wa Kiislam.

Hii ilikuwa mwaka wa 2012.

Leo Sheikh Ponda kasimama tena dhidi ya dhulma ya Ghaza na mauaji ya Wapalestina.

Kakamatwa.
Umma unasubiri.

Turejee nyuma miaka 10 iliyopita BAKWATA wanaotaka uongozi walisimama wapi sakata la NECTA?

Leo BAKWATA wamesimama upande gani katika mauaji ya Wapalestina Ghaza?

1699731685503.jpeg

1699731975806.png

1699733376562.jpeg

1699732166795.png

Sheikh Ponda akizungumza na Vyombo Vya Habari
(Picha ya zamani)
 
Sheikh yuko kimya sana, tumezimisi amsha amsha zake. Nchi imepoa sana, hapa Lissu, pale Ponda raha mustarehe
 
Nakumbuka heka heka za Shehe Ponda na kiwanja cha waislam chang'ombe kilichouzwa kwa mwarabu na kujengwa yadi ya makontena
 
Hapa ndipo penye mtihani wa BAKWATA.
BAKWATA wanataka kuwa kiongozi wa Waislam.

Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka imani ya hali ya juu na kujitolea kwa lolote.
.
Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka kumtegemea Allah na kutomuogopa yeyote ila Allah Pekee.

Ponda kasimama dhidi ya dhulma za Baraza la Mitihani (NECTA) dhidi ya wanafunzi Waislam na kutangaza maandamano kama haya ya kuwaunga mkono Wapalestina.

Polisi wakatoa onyo kali kwa watakaotoka kuandamana.

Sheikh Ponda katika sala ya Ijumaa Msikiti wa KIchangani akawaambia Waislam, 'Kama hatukuandamana kwa dhulma hii ya NECTA tufanywe lipi ili tuandamane?''

Sheikh Ponda aliwauliza Waislam akiwa kasimama mbele kwenye kibla cha msikiti wa Kichangani.

Hotuba yake kwa Waislam jinsi vijana wa Kiislam wanavyodhulumiwa na NECTA ulijaza msikiti nzima simanzi.

Akawaambia Waislam.
''Tumekusanya ushahidi wote tunao.''

Ndani ya msikiti wamejaa makachero.
Nje ya msikiti kuna Defender na askari wamevalia mavazi ya mapambano.

Juu inapita helicopter.
Matangazo yametolewa Waislam wasithubutu kuandamana.

"Kama hatukuandamana kwa hili tutaandamana kwa lipi?
Mimi nitatangulia mbele kuongoza maandamano haya."

Hapo akaipa mgongo hadhira yake akaelekea kibla akanyanyua mikono yake kumkabili Allah kuomba nusra ya umma ule uliokuwa tayari kulikabili Jeshi la Polisi lenye silaha.

Allah aliwanusuru waandamanaji wote.

Maandamano yanafika Jangwani habari zinatangazwa Waislam wanaombwa waandamane kwa amani waelekee Kidongo Chekundu wasiingie mjini hapo viongozi watapokelewa na Polisi na kupelekwa Makao Makuu ya Wizara ya Ndani na ndipo Waraka wa Shura utapokelewa.

Wataalamu haraka waliishauri waliishauri serikali vizuri polisi wasipambane kwa kuwa yote aliyosema Sheikh Ponda msikiti ni kweli tupu.

Polisi haiwezi kuwashambulia Waislam kwani itakuwa fedheha kubwa ukweli utakapojulikana.

Vijana wote wanafunzi wa Kiislam waliodhulumiwa na NECTA walipata haki zao.

Sheikh Ponda alikuwa mstari wa mbele akiongoza maandamano yale.
Serikali ikijua yote yaliyofanyika NECTA dhidi ya wanafunzi wa Kiislam.

Hii ilikuwa mwaka wa 2012.

Leo Sheikh Ponda kasimama tena dhidi ya dhulma ya Ghaza na mauaji ya Wapalestina.

Kakamatwa.
Umma unasubiri.

Turejee nyuma miaka 10 iliyopita BAKWATA wanaotaka uongozi walisimama wapi sakata la NECTA?

Leo BAKWATA wamesimama upande gani katika mauaji ya Wapalestina Ghaza?

View attachment 2810973
View attachment 2810976
View attachment 2810982
View attachment 2810978
Sheikh Ponda akizungumza na Vyombo Vya Habari
(Picha ya zamani)
Mohamed Said, sina tatizo na sifa ulizompa sheikh Ponda, Ila Nina matatizo na sifa mbaya ulizozitoa kwa BAKWATA. Inaonyesha wazi kwako wewe kudai kile unachokiita haki njia sahihi ni kufanya fujo yakiwemo maandamano ndiyo utaonekana Muislam safi unaetetea Uislamu. Sitaki kuingia ndani, sababu siijuhi hiyo NECTA ya Wakatoliki iliyokuwa ikidhurumu haki za Waislam.

Bado unaungana na fujo za sheikh Ponda za kufanya vurugu na maandano kuwazuia Israeli kustisha mashambulizi uko Gaza. Itawezekana kweli? Maandamano ni cha mtoto, wababe wenzenu Hamas hawakuishia tu maandano, walienda kuuwa kabisa na kuteka lakini moto waliouwasha kwa Wayaudi wameshidwa kuuzima. Labda sheikh Ponda afanye maandano kutafuta huruma, lakini wale jamaa si NECTA isee.
 
Hapa ndipo penye mtihani wa BAKWATA.
BAKWATA wanataka kuwa kiongozi wa Waislam.

Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka imani ya hali ya juu na kujitolea kwa lolote.
.
Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka kumtegemea Allah na kutomuogopa yeyote ila Allah Pekee.

Ponda kasimama dhidi ya dhulma za Baraza la Mitihani (NECTA) dhidi ya wanafunzi Waislam na kutangaza maandamano kama haya ya kuwaunga mkono Wapalestina.

Polisi wakatoa onyo kali kwa watakaotoka kuandamana.

Sheikh Ponda katika sala ya Ijumaa Msikiti wa KIchangani akawaambia Waislam, 'Kama hatukuandamana kwa dhulma hii ya NECTA tufanywe lipi ili tuandamane?''

Sheikh Ponda aliwauliza Waislam akiwa kasimama mbele kwenye kibla cha msikiti wa Kichangani.

Hotuba yake kwa Waislam jinsi vijana wa Kiislam wanavyodhulumiwa na NECTA ulijaza msikiti nzima simanzi.

Akawaambia Waislam.
''Tumekusanya ushahidi wote tunao.''

Ndani ya msikiti wamejaa makachero.
Nje ya msikiti kuna Defender na askari wamevalia mavazi ya mapambano.

Juu inapita helicopter.
Matangazo yametolewa Waislam wasithubutu kuandamana.

"Kama hatukuandamana kwa hili tutaandamana kwa lipi?
Mimi nitatangulia mbele kuongoza maandamano haya."

Hapo akaipa mgongo hadhira yake akaelekea kibla akanyanyua mikono yake kumkabili Allah kuomba nusra ya umma ule uliokuwa tayari kulikabili Jeshi la Polisi lenye silaha.

Allah aliwanusuru waandamanaji wote.

Maandamano yanafika Jangwani habari zinatangazwa Waislam wanaombwa waandamane kwa amani waelekee Kidongo Chekundu wasiingie mjini hapo viongozi watapokelewa na Polisi na kupelekwa Makao Makuu ya Wizara ya Ndani na ndipo Waraka wa Shura utapokelewa.

Wataalamu haraka waliishauri waliishauri serikali vizuri polisi wasipambane kwa kuwa yote aliyosema Sheikh Ponda msikiti ni kweli tupu.

Polisi haiwezi kuwashambulia Waislam kwani itakuwa fedheha kubwa ukweli utakapojulikana.

Vijana wote wanafunzi wa Kiislam waliodhulumiwa na NECTA walipata haki zao.

Sheikh Ponda alikuwa mstari wa mbele akiongoza maandamano yale.
Serikali ikijua yote yaliyofanyika NECTA dhidi ya wanafunzi wa Kiislam.

Hii ilikuwa mwaka wa 2012.

Leo Sheikh Ponda kasimama tena dhidi ya dhulma ya Ghaza na mauaji ya Wapalestina.

Kakamatwa.
Umma unasubiri.

Turejee nyuma miaka 10 iliyopita BAKWATA wanaotaka uongozi walisimama wapi sakata la NECTA?

Leo BAKWATA wamesimama upande gani katika mauaji ya Wapalestina Ghaza?

View attachment 2810973
View attachment 2810976
View attachment 2810982
View attachment 2810978
Sheikh Ponda akizungumza na Vyombo Vya Habari
(Picha ya zamani)
Brain washed sana. Huyu ni moja ya viumbe wa ajabu sana
 
Mohamed Said, sina tatizo na sifa ulizompa sheikh Ponda, Ila Nina matatizo na sifa mbaya ulizozitoa kwa BAKWATA. Inaonyesha wazi kwako wewe kudai kile unachokiita haki njia sahihi ni kufanya fujo yakiwemo maandamano ndiyo utaonekana Muislam safi unaetetea Uislamu. Sitaki kuingia ndani, sababu siijuhi hiyo NECTA ya Wakatoliki iliyokuwa ikidhurumu haki za Waislam.

Bado unaungana na fujo za sheikh Ponda za kufanya vurugu na maandano kuwazuia Israeli kustisha mashambulizi uko Gaza. Itawezekana kweli? Maandamano ni cha mtoto, wababe wenzenu Hamas hawakuishia tu maandano, walienda kuuwa kabisa na kuteka lakini moto waliouwasha kwa Wayaudi wameshidwa kuuzima. Labda sheikh Ponda afanye maandano kutafuta huruma, lakini wale jamaa si NECTA isee.
Mbussi,
Ikiwa unaona maandamano ni fujo sina uwezo wa kuzuia fikra yako hiyo.

Wala sina haja ya kuyasemea hayo mengine uliyoandika.

Maandamano ya NECTA nimeyaeleza katika makala na tija iliyopatikana.
 
Amani itunzwe kwa gharama yeyote.
Unapozungumzia migogoro ya mashariki ya Kati, unagusa dini ya Kiislamu, Kikristo na Kiyahudi. Wakristo wanaamini Yesu Kristo alikuwa Yahudi hivyo imani yao ni directly linked Mayahudi.

Sasa Waislam wakiruhusiwa kuandamana kupinga mauaji ya Wapalestina, Wakristo nao wakaandamana kupinga mauaji na utekaji wa Mayahudi ya October 7, automatically tutaanza mabishano ya Kidini na baadaye vita kamili.

Ikiwa serikali ya Tanzania Ina nia ya kutunza Amani ya nchi hii; inapaswa kupiga marufuku maandamano ya Aina yeyote yanayohusu mashariki ya Kati.
 
Mohamed Said, sina tatizo na sifa ulizompa sheikh Ponda, Ila Nina matatizo na sifa mbaya ulizozitoa kwa BAKWATA. Inaonyesha wazi kwako wewe kudai kile unachokiita haki njia sahihi ni kufanya fujo yakiwemo maandamano ndiyo utaonekana Muislam safi unaetetea Uislamu. Sitaki kuingia ndani, sababu siijuhi hiyo NECTA ya Wakatoliki iliyokuwa ikidhurumu haki za Waislam.

Bado unaungana na fujo za sheikh Ponda za kufanya vurugu na maandano kuwazuia Israeli kustisha mashambulizi uko Gaza. Itawezekana kweli? Maandamano ni cha mtoto, wababe wenzenu Hamas hawakuishia tu maandano, walienda kuuwa kabisa na kuteka lakini moto waliouwasha kwa Wayaudi wameshidwa kuuzima. Labda sheikh Ponda afanye maandano kutafuta huruma, lakini wale jamaa si NECTA isee.
Maandamano ni fujo??

Maandamano hayahaya ambayo polisi wanatakiwa kuhakikisha ulinzi kwa waandamanaji? Kwamba polisi wanatakiwa kusimamia fujo?


Emu fafanua ueleweke
 
Maandamano ni fujo??

Maandamano hayahaya ambayo polisi wanatakiwa kuhakikisha ulinzi kwa waandamanaji? Kwamba polisi wanatakiwa kusimamia fujo?


Emu fafanua ueleweke
Kila aina ya maandano yakiruhusiwa mwishowe ni fujo na vurugu. Mzee wetu Mohamed yeye ni mshabiki wa maandano ya kidini hasa ya Kiislam. Anadai wanadhulumiwa, sijuhi nani huyo anaewadhulumu Waislam dunia nzima.

Nimesoma makala yake moja kuhusu sakata la Mwembechai, na kitabu alichokiandika Issa Ponda kuhusu kudhulumiwa kwa Waislam. Kama sikosei Rais alikuwa Mwinyi kipindi sakata la Mwembechai linatokea, sijuhi Mwinyi nae ni mkatoliki? Kwake yeye BAKWATA itaonekana ya maana pale itakapokuwa inaenda kinyume na serikali.

Tumesikia kelele nyingi sana pale TEC ilipokwenda kinyume na kuikosoa Serikali kwa kutoa waraka kuhusu DPW. Na kelele nyingi zilitoka kwa Waislam. Je, hao TEC wangeandamana au kuhusisha huo mkataba na Uislamu, unadhani Waislam wangekaa kimya? Hali hiyo ingetokea unadhani nini kingetokea zaidi ya vurugu na machafuko? Uhasama wa kidini ktk jamii uanza na chokochoko kama hizi anazozishabikia mzee wetu. Kwa mfano, ktk maandano yao kuhusu baraza la mitihani, bango mojawapo alilolipost hapo juu lisomeka "NECTA - KATOLIKI". Ni polisi au serikali ipi inayoweza kukubali huo uchokozi? Tusipalilie udini na chuki zisizokuwa na msingi.
 
Kila aina ya maandano yakiruhusiwa mwishowe ni fujo na vurugu. Mzee wetu Mohamed yeye ni mshabiki wa maandano ya kidini hasa ya Kiislam. Anadai wanadhulumiwa, sijuhi nani huyo anaewadhulumu Waislam dunia nzima.

Nimesoma makala yake moja kuhusu sakata la Mwembechai, na kitabu alichokiandika Issa Ponda kuhusu kudhulumiwa kwa Waislam. Kama sikosei Rais alikuwa Mwinyi kipindi sakata la Mwembechai linatokea, sijuhi Mwinyi nae ni mkatoliki? Kwake yeye BAKWATA itaonekana ya maana pale itakapokuwa inaenda kinyume na serikali.

Tumesikia kelele nyingi sana pale TEC ilipokwenda kinyume na kuikosoa Serikali kwa kutoa waraka kuhusu DPW. Na kelele nyingi zilitoka kwa Waislam. Je, hao TEC wangeandamana au kuhusisha huo mkataba na Uislamu, unadhani Waislam wangekaa kimya? Hali hiyo ingetokea unadhani nini kingetokea zaidi ya vurugu na machafuko? Uhasama wa kidini ktk jamii uanza na chokochoko kama hizi anazozishabikia mzee wetu. Kwa mfano, ktk maandano yao kuhusu baraza la mitihani, bango mojawapo alilolipost hapo juu lisomeka "NECTA - KATOLIKI". Ni polisi au serikali ipi inayoweza kukubali huo uchokozi? Tusipalilie udini na chuki zisizokuwa na msingi.
Hivi sasa mkuu mfano maandamano haya ya kuonesha mshikamano ya watu wa nje ya nchi, fujo wanamfanyia nani? Maana hapa tanzania hakua waizraeli wala wapalestina

Swali la nyongeza vurugu za maandamano sio hutokea baada ya polisi kuanza kufukuza watu ? (Polisi ndo hufanya vurugu kwa raia)
 
Hapa ndipo penye mtihani wa BAKWATA.
BAKWATA wanataka kuwa kiongozi wa Waislam.

Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka imani ya hali ya juu na kujitolea kwa lolote.
.
Kuwa kiongozi wa Waislam kunataka kumtegemea Allah na kutomuogopa yeyote ila Allah Pekee.

Ponda kasimama dhidi ya dhulma za Baraza la Mitihani (NECTA) dhidi ya wanafunzi Waislam na kutangaza maandamano kama haya ya kuwaunga mkono Wapalestina.

Polisi wakatoa onyo kali kwa watakaotoka kuandamana.

Sheikh Ponda katika sala ya Ijumaa Msikiti wa KIchangani akawaambia Waislam, 'Kama hatukuandamana kwa dhulma hii ya NECTA tufanywe lipi ili tuandamane?''

Sheikh Ponda aliwauliza Waislam akiwa kasimama mbele kwenye kibla cha msikiti wa Kichangani.

Hotuba yake kwa Waislam jinsi vijana wa Kiislam wanavyodhulumiwa na NECTA ulijaza msikiti nzima simanzi.

Akawaambia Waislam.
''Tumekusanya ushahidi wote tunao.''

Ndani ya msikiti wamejaa makachero.
Nje ya msikiti kuna Defender na askari wamevalia mavazi ya mapambano.

Juu inapita helicopter.
Matangazo yametolewa Waislam wasithubutu kuandamana.

"Kama hatukuandamana kwa hili tutaandamana kwa lipi?
Mimi nitatangulia mbele kuongoza maandamano haya."

Hapo akaipa mgongo hadhira yake akaelekea kibla akanyanyua mikono yake kumkabili Allah kuomba nusra ya umma ule uliokuwa tayari kulikabili Jeshi la Polisi lenye silaha.

Allah aliwanusuru waandamanaji wote.

Maandamano yanafika Jangwani habari zinatangazwa Waislam wanaombwa waandamane kwa amani waelekee Kidongo Chekundu wasiingie mjini hapo viongozi watapokelewa na Polisi na kupelekwa Makao Makuu ya Wizara ya Ndani na ndipo Waraka wa Shura utapokelewa.

Wataalamu haraka waliishauri waliishauri serikali vizuri polisi wasipambane kwa kuwa yote aliyosema Sheikh Ponda msikiti ni kweli tupu.

Polisi haiwezi kuwashambulia Waislam kwani itakuwa fedheha kubwa ukweli utakapojulikana.

Vijana wote wanafunzi wa Kiislam waliodhulumiwa na NECTA walipata haki zao.

Sheikh Ponda alikuwa mstari wa mbele akiongoza maandamano yale.
Serikali ikijua yote yaliyofanyika NECTA dhidi ya wanafunzi wa Kiislam.

Hii ilikuwa mwaka wa 2012.

Leo Sheikh Ponda kasimama tena dhidi ya dhulma ya Ghaza na mauaji ya Wapalestina.

Kakamatwa.
Umma unasubiri.

Turejee nyuma miaka 10 iliyopita BAKWATA wanaotaka uongozi walisimama wapi sakata la NECTA?

Leo BAKWATA wamesimama upande gani katika mauaji ya Wapalestina Ghaza?

View attachment 2810973
View attachment 2810976
View attachment 2810982
View attachment 2810978
Sheikh Ponda akizungumza na Vyombo Vya Habari
(Picha ya zamani)
Na waandame dhidi walioteka vijana wetu waachiwe huru huko gaza pia weusi wenzetu wanauwawa Sudan na janjaweed
 
Mohamed Said, sina tatizo na sifa ulizompa sheikh Ponda, Ila Nina matatizo na sifa mbaya ulizozitoa kwa BAKWATA. Inaonyesha wazi kwako wewe kudai kile unachokiita haki njia sahihi ni kufanya fujo yakiwemo maandamano ndiyo utaonekana Muislam safi unaetetea Uislamu. Sitaki kuingia ndani, sababu siijuhi hiyo NECTA ya Wakatoliki iliyokuwa ikidhurumu haki za Waislam.

Bado unaungana na fujo za sheikh Ponda za kufanya vurugu na maandano kuwazuia Israeli kustisha mashambulizi uko Gaza. Itawezekana kweli? Maandamano ni cha mtoto, wababe wenzenu Hamas hawakuishia tu maandano, walienda kuuwa kabisa na kuteka lakini moto waliouwasha kwa Wayaudi wameshidwa kuuzima. Labda sheikh Ponda afanye maandano kutafuta huruma, lakini wale jamaa si NECTA isee.
kwa kilugha kwetu hilo username yako maana ake ni mbuzi, nafikiri unazijua tabia na hulka za huyu mnyama, nilipoona komenti yako inafanana na tabia hizo nikasema labda ndo maana umeamua kujiita hivo,
 
Na waandame dhidi walioteka vijana wetu waachiwe huru huko gaza pia weusi wenzetu wanauwawa Sudan na janjaweed
Ni kweli unachosema,
Lakini kwanini tumekuwa watu wa kutupiana majukumu?

Wewe unaweza organise maandamano kwa ajili ya watu wa sudan huko? Au ngorongoro?
 
Hivi sasa mkuu mfano maandamano haya ya kuonesha mshikamano ya watu wa nje ya nchi, fujo wanamfanyia nani? Maana hapa tanzania hakua waizraeli wala wapalestina

Swali la nyongeza vurugu za maandamano sio hutokea baada ya polisi kuanza kufukuza watu ? (Polisi ndo hufanya vurugu kwa raia)
Lax: Kwanini Waislam ndiyo waandae maandano ya kupinga kinachoendelea Gaza, nani alishaitangazia dunia kuwa hiyo vita ni ya kidini? Uhai wa kila mwanadamu ni muhimu, sijaona dhehebu lolote lina andaa maandano kwa kile kinachotokea Ukraine. Mtailaumu serikali lakini inajuwa inachokifanya.
 
Back
Top Bottom