johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Katibu mkuu wa Bakwata Alhaj Mruma amesema Mufti wa Tanzania Shehe Abubakar ameagiza ufanyike Uchunguzi kubaini mali zote za Bakwata, zilipo na uhalali wa umiliki wake.
Alhaj Mruma amesema Bakwata ina mali nyingi sana zikiwemo zinazomilikiwa na Watu binafsi Kinyume cha Sheria.
Baada ya uchunguzi itaandaliwa orodha ya mali zote za Waislamu.
Chanzo: ITV habari
Alhaj Mruma amesema Bakwata ina mali nyingi sana zikiwemo zinazomilikiwa na Watu binafsi Kinyume cha Sheria.
Baada ya uchunguzi itaandaliwa orodha ya mali zote za Waislamu.
Chanzo: ITV habari