R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,278
- 5,315
Mkuu hii habari ilikuwa enzi za utawala wa Raisi JK. Ponda alishapata haki alizostahiki ikiwepo kupigwa risasi na kulala segerea kwa siku zisizojulikana.Ana hoja nzuri ,ila atamkosea mtukufu wa magogoni kuhusu hapo kutofata sheria za mahakama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi Manji anahukumiwa na mbabe mwenzie angalau hizo mali za waislamu hazijarudishwa ila kiburi chake kinaisha.