Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,765
- 218,381
Picha: Sheikh Ponda
Bismillah Rahman Rahiim
Sheikh Ponda Issa Ponda ambaye leo alitangaza mkutano wa kuzungumzia mali za BAKWATA na Wanahabari huko Buguruni, Ameahirisha. Pia soma: Sheikh Ponda aita Waandishi wa habari, Kuongea kuhusu Mali za BAKWATA
Taarifa iliyosambazwa mchana huu imeeleza kwamba Mkutano huo umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena , kwa vile baadhi ya nyaraka za kuthibitisha Mali za Bakwata zinaendelea kukusanywa
Wabillah Tawfiq