![]()
Kodi zetu zinachezewa kweli kweli iweje huyu mchochezi apatiwe kifungo cha nje ?.Kama hakimu wa Kisutu angetimiza wajibu wake saa hizi angekuwa analima mpunga au anapasua mawe gerezaniiii.
sion uchochez katika hayo aliyoyasema,
na wala sion sababu ya msingi ya kunyimwa dhamana kwa hayo aliyoyasema,
iweje ukweli uitwe uchochez?
ha! ha! ha!
...hebu nionyeshe kiswahili "sanifu" yanaitwaje?
Siwaelewi watu wanaoshangaa kwa nini waislamu hasa/uislamu unachukia sana wakristo/ukristo. Bwana Yesu Kristo akuja duniani kukomboa ulimwengu kutoka mikononi mwa shetani, ila kila anayemwamini, na kumpokea na kuokoka anakua si mtumwa tena wa dhambi na anafanyika mtoto wa Mungu. Sasa ili ukombozi wa mwanadamu ukamilike ilibidi atoe uhai wake na kumwaga damu yake msalabani kama mwanakondoo wa kuchinjwa (John 1:29).
Hivyo kupitia kifo chake msalabani na baadaye ufufuko wake ndio katupatia ushindi wa milele dhidi ya shetani na majini yote.
The bitter truth: philosophy yoyote (au dini yoyote au mtu yeyote) inayopinga Yesu Kristo kufa msalabani pale Calvary inatoka kwa SHETANI. Na shetani alianza propaganda hizi tangu Bwana Yesu akiwa hai! Utakumbuka siku moja Yesu aliwaambia wanafunzi wake juu ya kifo chake kitakavyokua na Petro (shetani alikua amemwingia) akapinga, Yesu alimwambia: nenda nyuma yangu SHETANI!
Matthew 16: [SUP]21 [/SUP]From that time on Jesus began to explain to his disciples that he must go to Jerusalem and suffer many things at the hands of the elders, the chief priests and the teachers of the law, and that he must be killed and on the third day be raised to life. [SUP]22 [/SUP]Peter took him aside and began to rebuke him. Never, Lord! he said. This shall never happen to you! [SUP]23 [/SUP]Jesus turned and said to Peter, Get behind me, Satan! You are a stumbling block to me; you do not have in mind the concerns of God, but merely human concerns.
COnclusion: Shetani hajaacha hadi leo kukataa kifo na ufufuko wa Bwana YESU..
Guess who is the originator of ANY RELIGION of CONCEPT denying the death and resurrection of Jesus for the salvation of mankind.........!!!
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam
kiswahili fasaha ni Jela,umoja ni JELA WINGI NI JELA
MFANO JELA IMEJAA
WINGI ITAKUWA JELA ZIMEJAA
JELA NI NOMINO AU JINA LILILO KWENYE NGELI YA I-ZI
note: kwny mabano.Huu ni uonevu wa hali ya juu unaofanywa na serikali ya CCM. Wao ndio wamempiga risasi na sasa wanamfungulia mashtaka ya kijinga , ambayo hakimu yeyote mwenye akili timamu atayarushia mbali. ("Kitu kinachonishangaza hapa ni ukimya wa Waislamu!") Nadhani kama Rais wa nchi jina lake lingekuwa John au James, nadhani pasingekalika.
Hakuna kitakachosalia katika dunia hii. Sote sisi ni marehemu watarajiwa. Anayetoa uhai ni M.Mungu, kila kilichohai kitakufa siku ambayo Mola ameikadiria na si vinginevyo hata kama binadamu huyo atawindwa kwa kiwango chochote kile. Kwa wale wanaoamini dini, kuna siku ya hukumu, siku ambayo kila mtu atalipwa kwa mujibu wa matendo aliyofanya. Haki ya kila aliyedhulumiwa atarudishiwa siku ya malipo, na dhambi kwa kila aliyedhulumu itamwangamiza siku hiyo ya hukumu. Tutahukumiwa na Hakimu wa haki asiye na upendeleo wa rangi,kabila,wala itikadi. Kitakachokuokoa ni kwa kiwango gani ulifuata yale aliyokuamrisha na kuacha yale aliyokukataza.Sijui kwa nini mlenga shabaha alikosea kupiga badala ya mbavuni akapiga mkonono... Tungekuwa tunazungumza jambo lingine sasa!
Halafu mtu kama huyu ndiye Lipumba anaiamrisha Serikali imwachie mara moja bila masharti. Sijui ajenda na malengo hasa ya CUF kama "chama cha siasa" ni yapi.