Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,115
Umewahi kumsikia wapi akisema makanisa ya chomwe moto?
kigoma msikiti mmoja uko Gungu mtaa wa karibu na Sokoni.
Umewahi kumsikia wapi akisema makanisa ya chomwe moto?
Huyu jamaa si ndiye alisema raisi Mdini. akaambiwa alete ushahidi? Tusitetee upuuzi!!!
Mkuu nisaidie uelewa kidogo. Kwani quran imetaja jina Yesu au Jesus ambaye alikuwa anasema yeye mwenyewe atakufa na siku ya tatu atafufuka kwenye Kurasa zake zozote?. Kama yule wa quran hajasema hivi basi nadhani Yesu wanaye muamini wa kristo atakua ni tofauti na Issa aliye kwenye quran na hivyo hakutakiwi kuwe na ugomvi wowote kati ya wakristo na waislamu!. Kila mmoja aheshimu imani ya mwenzake. Mbona wahindi wanaabudu N'gombe lakini hamuwakemei kwenye mihadhara!.Tuwe wavumilivu kwa imani ya kila mtu humu duniani.
Ufunuo wa yohana: 19: 1 - 20.
Injili ya Yohana: 1: 1 - 10.
mimi sioni kosa wala kinacho sababisha serikali kuhangaika na huyu mtu mmoja kila siku. wao wakae pembeni wafuatilie kile anachokifanya waone kama analketa madhala kuliko kumfanya awe maarufu kwa kitu kisichoonekanaSerikali imejichanganya sana na mwishowe Sheikh Ponda ataachiwa huru...Mbona hakuna uchochezi wowote apo yani kusema waaislam wasikubali mambo ya BAKWATA nayo ni uchochezi? Ebu tafuteni uongo mwingine wa kumbambikia kesi ata ya madawa ya kulevya basi kuliko kesi za kitoto km hizi....Mbona waTZ wengi wanapinga mambo ambayo hawayaelewielewi nayo ni uchochezi? what if angesema Rais wa nchi ni muuzaji wa madawa ya kulevya na ana marafiki wengi ndo maana alikaa kimya ata baada ya majina kupewa????
Ponda ni Kama Lema anavyotetea Arusha anaonekana anavunja Amani mbona watu hawachukii kwa Lema wanamchukia ponda na Vipi Lema asipigwe risasi?
Sijakuelewa!Magereza pimbi wewe, ndio hivi mnasema Dr. Ndalichako katumwa na Kanisa Katoliki.
Kama huko madrasa mnafundishwa ni MAJELA basi jiangalieni.
Fasaha kwa standard ya nani?kiswahili fasaha ni Jela,umoja ni JELA WINGI NI JELA
MFANO JELA IMEJAA
WINGI ITAKUWA JELA ZIMEJAA
Kule nilikotokea kanuni zetu za kimatumizi chochote kisichopendeza mara nyingi huanziwa na MA. mfano,mahabusu (asili yake habsi, hubisa), magereza, majitu (lafidhi nyingine mijitu), mahayawani...Mkoroshokigoli said:JELA NI NOMINO AU JINA LILILO KWENYE NGELI YA I-ZI
Ponda ni Kama Lema anavyotetea Arusha anaonekana anavunja Amani mbona watu hawachukii kwa Lema wanamchukia ponda na Vipi Lema asipigwe risasi?
Ukiandika hiki kiswahili kwenye mtihani utakoseshwa tu hata kama wewe ni Muislam haiwezekani upewe marks hapa kwa kuogopa utasema kuna Mfumo kristu, bsfuuu!!!!!
Fasaha kwa standard ya nani?
Mimi ninasema Moja ni jela wingi majela (ma tunatumia sana kwa kitu kisichopendeza) hivyo majela yamejaa.Kule nilikotokea kanuni zetu za kimatumizi chochote kisichopendeza mara nyingi huanziwa na MA. mfano,mahabusu (asili yake habsi, hubisa), magereza, majitu (lafidhi nyingine mijitu), mahayawani...
kiswahili kipo sawa we ndo upeo wako mdogo
Yap!Hakuna kiswahili cha 'majela' .kama ulipita darasani basi rudi kasome tena.