Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam

Huyu Kama Issa Ponda vile!akili ndogo hiyo,yawezekana pia ni muumini wa ushenzi wa al kaida.
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..

Mwache akanyee kwanza huyo Farao
 
Anapewa promo sana Mtanzania huyu...on taxpayers money that is

Kweli kabisa mkuu this fella is living on our taxes....too much public resources zimeelekezwa kumpa promo..kuna njia moja rahisi ya kumnyamazisha...sheikh rogo style.
 
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam

Ni wakristo tu au hata wale waabudio wanyama na vinginevyo? Mtazamo ni upi kwa time before dini hazijaingia kwetu? Nauliza tu mkuu, no hard feelings....
 
DSC03308.JPG


Kodi zetu zinachezewa kweli kweli iweje huyu mchochezi apatiwe kifungo cha nje ?.Kama hakimu wa Kisutu angetimiza wajibu wake saa hizi angekuwa analima mpunga au anapasua mawe gerezaniiii.
 
Mbona hana jeraha wala nini katinga poa kabisa ?Mwacheni aendelee na kesi
 
Wapendwa na wandugu Wananchi wenzangu salaamu na amani ziwafike " jamanii tutulizane na tuvumiliane tusijipreshraizi "
kweli lafdhii na usemi/maneno ya kukashifiana mungu tena hayatupeleki popote hata kutufikisha kokote.... Tumekuwa tukiyasikiaga mda mrefu na tukichangia kwa hasira na jazba hadi kutoa mapovu JUST kukaripia hewani !! Nina Amini kila mmoja hatobadilika wala hatokubali aambialo !! naomba wakuu turejee hadidu za akili zetu na tuheshimiane kama WANAADAMU timamu Wote situmezaliwa na MAMA (uzazi wa 9 months) na kama watu wa maana kwa kila jamii. Natanguliza SAMAHANI kwenu waungwana wema.
Kila la heri na Amani kwa watanzania.
 
Kinachoniacha hoi ni hawa wafuasi wa Shehk Issa Ponda! Eti wanadai hawataipigia CCM kura mpaka kiongozi wao aachiwe huru! Nasema huu ni upumbafu kwa hawa wafuasi wa Ponda yaani kumbe eti huwa wanapiga kura kwa maslahi ya mtu na sio kwa maslahi ya chama kitakachowaongoza na kuwaletea maendeleo?

Mungu tusaidie kwa wananchi wa nchii wapewe elimu ya kujua nini maana ya kuchagua chama na sio kuchagua watu!:A S-frusty:

hawa watu hawanaga akili kabisa ndo maana wamepewa nchi matokeo yake inayumba kwa kuwa na fikra kama maharage yaliyochacha
 
kama hiyo ndio imani yako kwamba matendo yako ndio yatakufikisha mbinguni sasa yesu wa nini kwako?

Kulingana na Qur'an Yesu sio Mungu, bali ni mtume wa Mungu. Lakini kukingana na Biblia Yesu ni Mungu na mtume Mohammad SAW si chochote kwani hata kwenye Biblia hajatajwa popote. Watanzania tuvumiliane. Hizi dini zilikuja na mababuzetu waliishi bila hizi dini hapo kabla. Je,sisi tuliopo hapa sasa tunabahati nzuri/mbaya kzijua hizi imani? Kulingana na ufahamu wangu madogo wa mambo ya imani ;UISLAM NA UKRISTO kuna ukaribu fulani ukilinganisha na UYAHUDI,AU HINDUISM,BUDDHISM ....Kuna Imani hata huyo Mungu hazimtambui. Nafurahia serikali yetu tukufu haina dini na watoto wa watoto wangu waje waishi kwa amani na kufurahia huu uhuru wa kuabudu.
 
Eti hili nalo ni kosa: ''Ndugu waislamu Msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za Misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa Serikali .

......na kwa ukubwa wa shitaka hilo mshatakiwa hawezi kupewa dhamana. DPP majanga
 


DSC03292.JPG



Sheikh Issa Ponda Akiwa mahakamani mkoani Morogoro asubuhi ya leo
Sheikh Ponda Amesomewa Mashtaka Matatu katika Mahakama ya mkoa wa Morogoro Likiwemo la uchochezi alilolitoa Kwenye Mkutano wa Hadhara Tarehe 10 mwezi huu Ambapo Inadaiwa alisema kwamba ''Ndugu waislamu Msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za Misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa Serikali ''katika viwanja vya shule ya kiwanja cha ndege Mkoani Morogoro.Baada ya kusomewa Mashitaka hayo Mahakama imesema Upelelezi Umekamilikaa Dhamana Imefungwa na Amerudishwa Rumande Mpaka tarehe 28 mwezi huu ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa katika Mahakama ya Mkoa wa Morogoro.




DSC03303.JPG



Sheikh Ponda akiondoka Mahakamani Mpaka Feb 28 2013


DSC03308.JPG



Ulinzi wa POLISI

Ina maana.. Anakaa gerezani na msuli!!
 
Mi nilidhani kabla ya kumpeleka mahakamani angecharazwa viboko makalioni ili akamuineshe mke na watoto wake
kama yule aliyecharazwa bakora kabla ya kutundikwa kwenye cross?lakini alikuwa hana mke,sijui kamuonyesha nani
 
quote_icon.png
By Swat
Mkuu nisaidie uelewa kidogo. Kwani quran imetaja jina Yesu au Jesus ambaye alikuwa anasema yeye mwenyewe atakufa na siku ya tatu atafufuka kwenye Kurasa zake zozote?. Kama yule wa quran hajasema hivi basi nadhani Yesu wanaye muamini wa kristo atakua ni tofauti na Issa aliye kwenye quran na hivyo hakutakiwi kuwe na ugomvi wowote kati ya wakristo na waislamu!. Kila mmoja aheshimu imani ya mwenzake. Mbona wahindi wanaabudu N'gombe lakini hamuwakemei kwenye mihadhara!.Tuwe wavumilivu kwa imani ya kila mtu humu duniani.

Hujui ukitaja Yesu majini yanakimbia? Wao ni sehemu ya ibada.. Ibada jini![/QUOTE]

Nimeipenda hiyo. Kumbe hata Qur'an inayatambua majini. Nimeinasa hiyo. hebu cheki aya hizi: sura ya 72

1. Sema (Ewe Muhammad): Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema:
Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!,
2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.
3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana.
4. Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu( ya kuwa Mwenyezi Mungu ana mke na mwana).
5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.

11. Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.

:Najifunza kuwa wale wanaosema Yesu mwana wa Mungu- wanarejelea maneno ya wale mapepo wachafu a.k.a majini waovu ambao Yesu aliwafukuzia kwenye nguruwe. Majini wema wanamuabudu Mola wao kana Yesu alivyokuwa akimuabudu Mola wake.

Tuvumiliane wandugu!! Kile usichokijua kwa mwenzio ni mwanga wa saa nane Mchana.
 
Unaweza ukashtakiwa sehemu mbalimbali kutokana na uamuzi wa washtaki, na haitakuwa ajabu akashtakiwa pia na Zanzibar
Mtu anashtakiwa pale alipofanyia makosa.ponda anakesi dar,Moro na znz.ya dar na Moro ashasomewa bado ya znz.
 
Back
Top Bottom