Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

ktk mahakama ya mkoa moro ameletwa shekhe ponda kuja kusomea shitaka la uchochezi. Nimeshangaa kuona umati wa askari kanzu .ffu na wale wa usalama barabarani. Pesa ya walipa kodi inateketea kwa mambo ya kijinga kama haya inatia uchungu sana. kwa sasa chopa inawashwa shekhe anarudiswa dar.

Ni mbaya sana kuingiza chuki zenu kwa polisi na kuhalalisha uvunjifu wa amani unaofanywa na Shekhe Ponda. Ni veme tukatofautisha kuwa ishu ya kupigwa risasa ni nyingine, na ishu ya uchochezi ni nyngine. Kuna familia nyingi sana zimepata madhara kutokana na mahubiri ya chuki ya Shekhe Ponda. Hii tabia ya kusema pesa za walipa kodi zinachezewa wakati mnajua wazi huyu mtu analeta athari gani kwa jamii si sahihi. Tuache Shekhe Ponda avune alichopanda, na kama polisi wamehusika na kumpiga risasi nao wahukumiwe kwa lao. Lakini suala la kumsafisha Shekhe Ponda kwa huruma ya kupigwa risasi si sahihi. Kama ni ishu ya matumizi ya kodi, ni vema basi ukawa muwazi kuwa inakuuma matumizi ya kodi inayolipwa na waislamu wanaomuunga mkono Ponda maana hao ndio hawajui umuhimu wa kuheshimu imani za watu wengine.
 
Hilo Shtaka la pili ndilo hasa linalosababisha nimchukie Ponda.Haya mengine ni Mapambano ya kawaida na Utawala usiotenda Haki.
 
Hivi yale mashtaka alosomewa muhimbili kitandani na ya leo ni tofauti? Na mbona hajavaa hata kandambili? Au kwa kua ni muislamu?
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..

hili la pili eti kasema YESU SIO MUNGU. MAHAKAMA SI ISHASEMA KWAMBA KWA WAISLAM KUSEMA YESU SIO MUNGU SI KOSA KABISA KWA MUJIBU WA QURAN.
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..
Ni njama... Kesi inaandaliwa vibaya kwa kusudi ili baadae ifutwe au aweze kushinda
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..

hili la pili. tutarudi tena k: kesi namba 197 ya mwaka 2000 na uwanja ulikuwa Morogoro District Court yati ya THE REPUBLI versus HAMISI RAJABU DIBAGULA .

Hatimae waislam walishinda.
 
Ponda inabidi aheshimu imani za wengine, kama wao wanavyoheshimu yake pia! au anafikiri kila mtu anapenda imani ya mwingine, lakini uvumilivu ndio jambo la msingi! Dola ifanye kazi yake na haki itendeke... Lazima ajifunze kuheshimu dola na watu wake
 
Hilo Shtaka la pili ndilo hasa linalosababisha nimchukie Ponda.Haya mengine ni Mapambano ya kawaida na Utawala usiotenda Haki.

Ni kweli katika mahubiri yake huwa anataka nchii hii iwe ya kiislamu na makanisa yachomwe moto..hata mimi simuungi mkono
 
Tutaendelea kuyashuhudia maajabu mengi sana katika utawala wa baba ritzmocko hadi itapofika 2015
 
Hilo Shtaka la pili ndilo hasa linalosababisha nimchukie Ponda.Haya mengine ni Mapambano ya kawaida na Utawala usiotenda Haki.

Usipotoshe sana..makosa aliyoshitakiwa
1)Kutoa maneno ya uchochezi
2)Kuidhalau Dini nyingine
3)kufanya mikutano ya dini ambayo imepigwa marufuku
4)kwenda kinyume na masharti ya kifungo cha nje.ambacho alikuwa anaendelea kutumikia
.....Kesi imehairishwa mpaka 28/08/2013
 
Kinachoniacha hoi ni hawa wafuasi wa Shehk Issa Ponda! Eti wanadai hawataipigia CCM kura mpaka kiongozi wao aachiwe huru! Nasema huu ni upumbafu kwa hawa wafuasi wa Ponda yaani kumbe eti huwa wanapiga kura kwa maslahi ya mtu na sio kwa maslahi ya chama kitakachowaongoza na kuwaletea maendeleo?

Mungu tusaidie kwa wananchi wa nchii wapewe elimu ya kujua nini maana ya kuchagua chama na sio kuchagua watu!:A S-frusty:
 
Ponda inabidi aheshimu imani za wengine, kama wao wanavyoheshimu yake pia! au anafikiri kila mtu anapenda imani ya mwingine, lakini uvumilivu ndio jambo la msingi! Dola ifanye kazi yake na haki itendeke... Lazima ajifunze kuheshimu dola na watu wake
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam
 
Elimu ni janga la Taifa mkuu!!
Kinachoniacha hoi ni hawa wafuasi wa Shehk Issa Ponda! Eti wanadai hawataipigia CCM kura mpaka kiongozi wao aachiwe huru! Nasema huu ni upumbafu kwa hawa wafuasi wa Ponda yaani kumbe eti huwa wanapiga kura kwa maslahi ya mtu na sio kwa maslahi ya chama kitakachowaongoza na kuwaletea maendeleo?

Mungu tusaidie kwa wananchi wa nchii wapewe elimu ya kujua nini maana ya kuchagua chama na sio kuchagua watu!:A S-frusty:
 
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam
ndio akili yako iyo, mm c nakujua!
 
Back
Top Bottom