Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,658
Kweli ... na inawezekana kwa mara ya kwanza ktk maisha yake kapanda helkopta ... plus ulinzi kuliko wa JK...on taxpayers money that is
Kweli ... na inawezekana kwa mara ya kwanza ktk maisha yake kapanda helkopta ... plus ulinzi kuliko wa JK...on taxpayers money that is
[video] Katibu wa taasisi ya Kiislam amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Morogoro Source: ITV TANZANIA ya youtubeKweli ... na inawezekana kwa mara ya kwanza ktk maisha yake kapanda helkopta ... plus ulinzi kuliko wa JK
Kama mashitaka yenyewe ndiyo hayo basi aminini kuwa jamhuri itaanguka vibaya kwenye kesi hii ilimradi tu Shehe Ponda awe na mawakili wazuri!,
Nchi hii inatawaliwa na wendawazimu kweli!
Eti hili nalo ni kosa: ''Ndugu waislamu Msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za Misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa Serikali .
......na kwa ukubwa wa shitaka hilo mshatakiwa hawezi kupewa dhamana. DPP majanga
Siku zote serikali za kidhalimu huwahofia wapigania haki.Anachofanyiwa sheikh Ponda ni uthibitisho mwingine wa namna serikali inavyowatendea viongozi wa kiislam.Ni wazi Kuwa nchi hainamujtama mwema
Nipo katika viunga vya mahakama ya mkoa wa Morogoro, nimeona ulinzi mkali umeimarishwa na helicopter ya polisi kutoka Dar es salaam ikiwasili mnamo mida ya saa tano.
Habari ni kuwa helicopter hiyo ilimleta Sheikh Ponda kuja kusomewa mashtaka yake, mashtaka ambayo hayakuzidi hata nusu saa kusomwa, na mnamo saa sita na dakika 28 mchana helicopter hiyo iliondoka na kurejea D.s.m.
Bado haijajulikana kama imeondoka na Sheikh Ponda au vipi.
Hivi kweli Ponda amekua threat kiasi hiki?
Yap!
Ungesema basi kwa Kiswahili nilichofundishwa mimi darasani badala ya kukiita fasaha! afadhali ungetumia neno Kiswahili standard ningekuelewa.
Halafu unasema tena hakuna Kiswahili "majela" wakati waliokupangia wewe namna gani ya kupangilia Kiswahili ni wanaume kama sisi!
yaan wewe ni mwislamu fuata upepo!!!mbona maramara mnalalamika sana?oh waislamu 2naonewa,2naonewa---kwa lipi?ponda kavunja sheria za nchi!wajinga sana nyie!hamna akili nyie waislamu ndo mana hata shule zenu zinafanya hofyo hofyo!!bora nimezaliwa mkristo!!!SOMEONE WHO ALWAYS BLAMES IS POWERLESS!!!!shenz type-----
Standard - something considered by an authority or by general consent as a basis of comparison; an approved model.Umesoma shule gani mkuu? ninaposema kiswahili fasaha sina sababu ya kuweka tena neno standard kwa sababu neno haliwezi kua standard kama sio fasaha.nadhani pia una matatizo na matumizi/maana ya neno standard.
lipi bora, nguruwe kidogo, pombe kidogo, au kuoa wake wengi? upi ni uasherati hapo! Hii dunia sio ya waislamu, na siku zote penye uislamu duniani kuna matatizo, kwann! kama kweli ni dini ya kupenda amani..kwann popote penye uislamu dunian ndipo pasipo na amani! Kuna ulazima wa kuchunguza imani zingine kabla ya kuzikubali.. Kama dini itahubiri uvunjifu wa amani , hiyo nis awa kweli, dini inasema wakija watu wa bakwata, fungeni milango ya msikiti wenu muwapige, hiyo dini ni sahihi! Dini gani haina uvumilivu, dini gani ya kujiona kuwa ndio ipo sahihi tu, hata kama sio! Angalia wa Budha, ndip dini yenye waumini/wafuasi wengi duniani, umewahi kusikia habari mbaya juu yao au jamaii inayowazunguka? kwanini Ponda tu, yeye nani, au yeye ndio anaujua uislamu zaidi kuliko yeyote hapa Tanzania...... sio sahihi inabidi ashughulikiwe huyosio akili yangu hiyo ndio akili ya waislam wote ukiona mtu mwenye mawazo tofauti hao ni waislam poa ambao wanaweza kula ngurue kidogo,pombe kidogo, uongo kidogo,uasherati kidogo,kusali kidogo, kila kitu kidogokidogo
Mi nilidhani kabla ya kumpeleka mahakamani angecharazwa viboko makalioni ili akamuineshe mke na watoto wake
sasa kamati za ulinzi na usalama za nini kwenye nyumba za ibada? na polisi kazi yao nini??
hata ningekuwa mimi, ukileta kamati ya ulinzi na usalama kanisani kwetu lazima nikuhoji tena kwa herufi kubwa...Serikali tuambieni hivi huyu Mzee Ponda ana kosa gani???
Mi nilidhani anaongea lugha ya Ilunga yule aliyerekodiwa kwa video akisema uhusiano pekee kati ya kafir na muislamu ni bunduki....kumbe ndio hivi??
Halafu wafuasi wake wali vyoonyesha ustaarabu kwa hili inaweza kuwa ushahidi kwamba huyu baba wa watu hana chuki binafsi na kundi la watu wengine
yaan wewe ni mwislamu fuata upepo!!!mbona maramara mnalalamika sana?oh waislamu 2naonewa,2naonewa---kwa lipi?ponda kavunja sheria za nchi!wajinga sana nyie!hamna akili nyie waislamu ndo mana hata shule zenu zinafanya hofyo hofyo!!bora nimezaliwa mkristo!!!SOMEONE WHO ALWAYS BLAMES IS POWERLESS!!!!shenz type-----
ndio maana wanakuambia njia ya kwenda peponi ni nyembamba na njia ya kwenda motoni ni pana, hilo ni somo kubwa sana kwa mtu kama wewe mwenyekupenda mteremko inaitaji elimu ya hali ya juu kufundishwa la sivyo kwako wewe kila kitu unaona sawasawa ndio maana ni rahisi wewe kusema kila dini ni sawa.lipi bora, nguruwe kidogo, pombe kidogo, au kuoa wake wengi? upi ni uasherati hapo! Hii dunia sio ya waislamu, na siku zote penye uislamu duniani kuna matatizo, kwann! kama kweli ni dini ya kupenda amani..kwann popote penye uislamu dunian ndipo pasipo na amani! Kuna ulazima wa kuchunguza imani zingine kabla ya kuzikubali.. Kama dini itahubiri uvunjifu wa amani , hiyo nis awa kweli, dini inasema wakija watu wa bakwata, fungeni milango ya msikiti wenu muwapige, hiyo dini ni sahihi! Dini gani haina uvumilivu, dini gani ya kujiona kuwa ndio ipo sahihi tu, hata kama sio! Angalia wa Budha, ndip dini yenye waumini/wafuasi wengi duniani, umewahi kusikia habari mbaya juu yao au jamaii inayowazunguka? kwanini Ponda tu, yeye nani, au yeye ndio anaujua uislamu zaidi kuliko yeyote hapa Tanzania...... sio sahihi inabidi ashughulikiwe huyo
Sina hakika kama unamcha Mungu. Huenda wewe ni zimwi. Hata hivyo hujafa hujaumbika.
Ndo hajafa sasa. Kamuue Wewe basi km mwanamme kweli. Nyau wee
Njoo mimi nitakemea kwa jina la nguruwe na pepo linatoka na kukimbia ninina hakuna kanisa duniani linalohubiri Issa. Ukikemea pepo kwa jina la ustaadh Issa hawatoki, ila kwa jina la YESU weeee!
Budha ina wafuasi wengi sawa ikifuatiwa na uislam, ila kwa kua uislamu ndio dini ya Mungu na zingine zimeanzishwa na watu hivyo wanaichukia pasipo na sababu, nahisi wao dunia ndio pepo yao baada ya kufa kwao ni watu wa motoni milelelipi bora, nguruwe kidogo, pombe kidogo, au kuoa wake wengi? upi ni uasherati hazspo! Hii dunia sio ya waislamu, na siku zote penye uislamu duniani kuna matatizo, kwann! kama kweli ni dini ya kupenda amani..kwann popote penye uislamu dunian ndipo pasipo na amani! Kuna ulazima wa kuchunguza imani zingine kabla ya kuzikubali.. Kama dini itahubiri uvunjifu wa amani , hiyo nis awa kweli, dini inasema wakija watu wa bakwata, fungeni milango ya msikiti wenu muwapige, hiyo dini ni sahihi! Dini gani haina uvumilivu, dini gani ya kujiona kuwa ndio ipo sahihi tu, hata kama sio! Angalia wa Budha, ndip dini yenye waumini/wafuasi wengi duniani, umewahi kusikia habari mbaya juu yao au jamaii inayowazunguka? kwanini Ponda tu, yeye nani, au yeye ndio anaujua uislamu zaidi kuliko yeyote hapa Tanzania...... sio sahihi inabidi ashughulikiwe huyo