Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

hakuna kesi hapo, uchochezi upi? alafu mkumbuke waislam kusema yesu sio mungu ni haki yao ni kwa mujibu wa qur-an.

Mkuu nisaidie uelewa kidogo. Kwani quran imetaja jina Yesu au Jesus ambaye alikuwa anasema yeye mwenyewe atakufa na siku ya tatu atafufuka kwenye Kurasa zake zozote?. Kama yule wa quran hajasema hivi basi nadhani Yesu wanaye muamini wa kristo atakua ni tofauti na Issa aliye kwenye quran na hivyo hakutakiwi kuwe na ugomvi wowote kati ya wakristo na waislamu!. Kila mmoja aheshimu imani ya mwenzake. Mbona wahindi wanaabudu N'gombe lakini hamuwakemei kwenye mihadhara!.Tuwe wavumilivu kwa imani ya kila mtu humu duniani.
 
Duh! halafu ndio mwasema amerudishwa Dar?

WE acha kaletwa kwa helcopter na karudishwa,gari la maji ya kuwasha lilikuwepo,mbwa wasiopungua 8, defenda 6 yaani kama vile mwarifu aliyetaka kumpindua rais.
 
Kama huu ni uchochezi basi ni wengi watakaofungwa safari hii! majela yatajaa.

Ukiandika hiki kiswahili kwenye mtihani utakoseshwa tu hata kama wewe ni Muislam haiwezekani upewe marks hapa kwa kuogopa utasema kuna Mfumo kristu, bsfuuu!!!!!
 
Serikali imejichanganya sana na mwishowe Sheikh Ponda ataachiwa huru...Mbona hakuna uchochezi wowote apo yani kusema waaislam wasikubali mambo ya BAKWATA nayo ni uchochezi? Ebu tafuteni uongo mwingine wa kumbambikia kesi ata ya madawa ya kulevya basi kuliko kesi za kitoto km hizi....Mbona waTZ wengi wanapinga mambo ambayo hawayaelewielewi nayo ni uchochezi? what if angesema Rais wa nchi ni muuzaji wa madawa ya kulevya na ana marafiki wengi ndo maana alikaa kimya ata baada ya majina kupewa????
 
Kama kama kweli Helkopta imetumika kumsafirisha, huko ni kumpamba, kumpandisha chati na ni kuchezea kodi zetu.
 
Ukiandika hiki kiswahili kwenye mtihani utakoseshwa tu hata kama wewe ni Muislam haiwezekani upewe marks hapa kwa kuogopa utasema kuna Mfumo kristu, bsfuuu!!!!!
ha! ha! ha!

...hebu nionyeshe kiswahili "sanifu" yanaitwaje?
 
sion uchochez katika hayo aliyoyasema,
na wala sion sababu ya msingi ya kunyimwa dhamana kwa hayo aliyoyasema,
iweje ukweli uitwe uchochez?
 
Mkuu nisaidie uelewa kidogo. Kwani quran imetaja jina Yesu au Jesus ambaye alikuwa anasema yeye mwenyewe atakufa na siku ya tatu atafufuka kwenye Kurasa zake zozote?. Kama yule wa quran hajasema hivi basi nadhani Yesu wanaye muamini wa kristo atakua ni tofauti na Issa aliye kwenye quran na hivyo hakutakiwi kuwe na ugomvi wowote kati ya wakristo na waislamu!. Kila mmoja aheshimu imani ya mwenzake. Mbona wahindi wanaabudu N'gombe lakini hamuwakemei kwenye mihadhara!.Tuwe wavumilivu kwa imani ya kila mtu humu duniani.

Hujui ukitaja Yesu majini yanakimbia? Wao ni sehemu ya ibada.. Ibada jini!
 
Kumbe alikadhifu na dini nyingne!? Hio itakuwa ni ukristo tu...

Kwa hilo napongeza kwa risasi aliyopigwa. Ni heri mchochezi mmoja afe kuliko mamilion kuja kuuwana badae kwasababu ya hila za mpu..mbavu mmoja.
 
Kama kama kweli Helkopta imetumika kumsafirisha, huko ni kumpamba, kumpandisha chati na ni kuchezea kodi zetu.

Kweli kabisa mimi hawa watu huwa siwaelewi.. yani wao ni na ukristo tu. Hawaangaiki na wapagani, wahindu, budha n.k
 
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam

na wewe hayawani aliyekulazimisha nani mpaka upayuke? Kama hauamini hivyo sasa unawashwa na nini si utulie msikitini kwako uaelimishe iko unachoamini? Mbona na mimi naamini uislam ulianzia kwa mganga wa kienyeji anaitwa walagh bin alfani lakini sipayuki adharani? Kuwa mstaarabu bwana hizo zote dini za wakuja aina haja ya kutoboana macho turudi kwenye mizimu
 
Nadhani mleta mada umeleta picha ila huna maelezo... Nijuavyo mimi amesomewa mastaka ma tatu...sasa wewe unakuja na staka moja!!
 
Sijui kwa nini mlenga shabaha alikosea kupiga badala ya mbavuni akapiga mkonono... Tungekuwa tunazungumza jambo lingine sasa!
 
kweli kabisa mimi hawa watu huwa siwaelewi.. Yani wao ni na ukristo tu. Hawaangaiki na wapagani, wahindu, budha n.k
licha ya hivyo asilimia 70 yao hawajui huo uislam wanaoupigania
 
Back
Top Bottom