dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,859
- 56,851
Usipotoshe sana..makosa aliyoshitakiwa
1)Kutoa maneno ya uchochezi
2)Kuidhalau Dini nyingine
3)kufanya mikutano ya dini ambayo imepigwa marufuku
4)kwenda kinyume na masharti ya kifungo cha nje.ambacho alikuwa anaendelea kutumikia
.....Kesi imehairishwa mpaka 28/08/2013
Halafu mtu kama huyu ndiye Lipumba anaiamrisha Serikali imwachie mara moja bila masharti. Sijui ajenda na malengo hasa ya CUF kama "chama cha siasa" ni yapi.