Siwaelewi watu wanaoshangaa kwa nini waislamu hasa/uislamu unachukia sana wakristo/ukristo. Bwana Yesu Kristo akuja duniani kukomboa ulimwengu kutoka mikononi mwa shetani, ila kila anayemwamini, na kumpokea na kuokoka anakua si mtumwa tena wa dhambi na anafanyika mtoto wa Mungu. Sasa ili ukombozi wa mwanadamu ukamilike ilibidi atoe uhai wake na kumwaga damu yake msalabani kama mwanakondoo wa kuchinjwa (John 1:29).
Hivyo kupitia kifo chake msalabani na baadaye ufufuko wake ndio katupatia ushindi wa milele dhidi ya shetani na majini yote.
The bitter truth: philosophy yoyote (au dini yoyote au mtu yeyote) inayopinga Yesu Kristo kufa msalabani pale Calvary inatoka kwa SHETANI. Na shetani alianza propaganda hizi tangu Bwana Yesu akiwa hai! Utakumbuka siku moja Yesu aliwaambia wanafunzi wake juu ya kifo chake kitakavyokua na Petro (shetani alikua amemwingia) akapinga, Yesu alimwambia: nenda nyuma yangu SHETANI!
Matthew 16: [SUP]21 [/SUP]From that time on Jesus began to explain to his disciples that he must go to Jerusalem and suffer many things at the hands of the elders, the chief priests and the teachers of the law, and that he must be killed and on the third day be raised to life. [SUP]22 [/SUP]Peter took him aside and began to rebuke him. Never, Lord! he said. This shall never happen to you! [SUP]23 [/SUP]Jesus turned and said to Peter, Get behind me, Satan! You are a stumbling block to me; you do not have in mind the concerns of God, but merely human concerns.
COnclusion: Shetani hajaacha hadi leo kukataa kifo na ufufuko wa Bwana YESU..
Guess who is the originator of ANY RELIGION of CONCEPT denying the death and resurrection of Jesus for the salvation of mankind.........!!!