Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sijui kwa nini mlenga shabaha alikosea kupiga badala ya mbavuni akapiga mkonono... Tungekuwa tunazungumza jambo lingine sasa!

wewe utakufa mama yako atakufa,baba yako atakufa mwanao atakufa tofauti ni kuwa ukifa hali ya kuwa siyo muislamu ni motoni tu
 
Kwanini apandishwe helicopter? Yule si shujaa bali ni Gaidi tu, hivyo alistahili kupandishwa mkokoteni au misukule yake imbebe mpaka Moro huku polisi walio ndani ya helicopter wakisindikiza.
 
At least na yeye kapanda ndege/helicopter. Make sijawahi sikia akiitwa alhaj.
 
Hakuna kesi hapo, ni upotevu tu wa resources (Time & money)...
 
Chezeeni fedha zetu halafu baadaye apewe kifungo cha nje kwa kuchelea kuwaudhi wenye imani fulani
 
Siwaelewi watu wanaoshangaa kwa nini waislamu hasa/uislamu unachukia sana wakristo/ukristo. Bwana Yesu Kristo akuja duniani kukomboa ulimwengu kutoka mikononi mwa shetani, ila kila anayemwamini, na kumpokea na kuokoka anakua si mtumwa tena wa dhambi na anafanyika mtoto wa Mungu. Sasa ili ukombozi wa mwanadamu ukamilike ilibidi atoe uhai wake na kumwaga damu yake msalabani kama mwanakondoo wa kuchinjwa (John 1:29).
Hivyo kupitia kifo chake msalabani na baadaye ufufuko wake ndio katupatia ushindi wa milele dhidi ya shetani na majini yote.
The bitter truth: philosophy yoyote (au dini yoyote au mtu yeyote) inayopinga Yesu Kristo kufa msalabani pale Calvary inatoka kwa SHETANI. Na shetani alianza propaganda hizi tangu Bwana Yesu akiwa hai! Utakumbuka siku moja Yesu aliwaambia wanafunzi wake juu ya kifo chake kitakavyokua na Petro (shetani alikua amemwingia) akapinga, Yesu alimwambia: nenda nyuma yangu SHETANI!
Matthew 16: [SUP]21 [/SUP]From that time on Jesus began to explain to his disciples that he must go to Jerusalem and suffer many things at the hands of the elders, the chief priests and the teachers of the law, and that he must be killed and on the third day be raised to life. [SUP]22 [/SUP]Peter took him aside and began to rebuke him. “Never, Lord!” he said. “This shall never happen to you!” [SUP]23 [/SUP]Jesus turned and said to Peter, “Get behind me, Satan! You are a stumbling block to me; you do not have in mind the concerns of God, but merely human concerns.”

COnclusion: Shetani hajaacha hadi leo kukataa kifo na ufufuko wa Bwana YESU..

Guess who is the originator of ANY RELIGION of CONCEPT denying the death and resurrection of Jesus for the salvation of mankind.........!!!
kwa hiyo wewe kwa kuamini kwamba yesu alichukua dhambi zako msalabani hivi sasa huna dhambi kwa hiyo huna haja ya kuomba usamehewe. na kama ni kweli yesu alikufa ili sisi tusipate dhambi sasa kwa nini tunakuwa na dhambi na wakati yesu kazichukua tena dhambi za wengine kazichukua kabla awajazaliwa? lazima akili yako ijiulize na kama wewe ni mtu makini lazima ujue kwamba kauli hii ya yesu kuchukua dhambi msalabani si za kweli
 
unafananisha gaidi na shujaa Mandela? something is wrong with your brain,, seek medical attention before things get worse!
hata wale waliomfananisha mandela kuwa shujaa waliitwa majina mabaya kama hayo ya ugaidi ....mandela kwa marekani kwa mfano alikua gaidi mpaka pale alipotaka kwenda UN ndio alipo ondolewa ugaidi na congress ya marekani
ponda ni mtetezi wa wanyonge na anaepigania usawa kama mandela ..hayo ya ugaidi ni kama makaburu walivo mpakazia mandela wote wapo katika hoja ya kutaka tanzania yenye usawa, bila ya ubaguzi bila ya kuingiliwa haki za kijamii na hayo ndio mambo yanayo mfanya awe gaidi kwa watu kama nyinyi
 
Mimi nalia na aliyepiga bega badala ya kufungua kichwa au kuupasua moyo, ungekuta sasa hivi ni dismissed case na watu wanaendelea na kazi kamaawaida!Next time do it correctly you wanker!!

Ndo hajafa sasa. Kamuue Wewe basi km mwanamme kweli. Nyau wee
 
WE acha kaletwa kwa helcopter na karudishwa,gari la maji ya kuwasha lilikuwepo,mbwa wasiopungua 8, defenda 6 yaani kama vile mwarifu aliyetaka kumpindua rais.
Kha!vyote hivi vilikuwa wapi?nimeona akiletwa airport na akiondolewa hapa airport,Magari ya polisi yalikuwa matatu na gari lililombeba ponda ni la nne,siku ona mbwa,gari la maji ya kuwasha.difenda zilikuwa tatu,mbili za ffu na moja ili kuwa imembeba mkubwa wao.hazikuwa Sita Kama usemavyo.
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..

Kwa mujibu wa vyombo vya habaari shitaaka la pili sivyo ulivyoliandika bali ni kwamba alisema huko Mtwara ambako asilimia 90 ni Waislamu wanapata kipigo kufuatia mgogoro wa gesi! maneno haya sioni kama ni mabaya ukilinganisha na aliyoyasema Profesa Lipumba msikitini kuhudu haya haya ya Mtwara - kwa mujibu wa mkanda wa video uliowekwa hapa. Mbona yeye akufunguliwa mashitaka?
 
At least na yeye kapanda ndege/helicopter. Make sijawahi sikia akiitwa alhaj.

:kev:Wewe tania lakini wengine tuna uchungu, mgojwa kupelekwa mahakamani? Hata hivyo nina hakika Kamanda Kova baada ya kustahafu atakumbuka na kujutia matendo yake kama wale waliomtangulia na kutumika bila kujijua wakidhani wanatekeleza vitendo vya kidhalendo na kuua EAMWS.Pole sana. Majuto ni mjukuu.
 
Mimi nalia na aliyepiga bega badala ya kufungua kichwa au kuupasua moyo, ungekuta sasa hivi ni dismissed case na watu wanaendelea na kazi kamaawaida!Next time do it correctly you wanker!!

Sina hakika kama unamcha Mungu. Huenda wewe ni zimwi. Hata hivyo hujafa hujaumbika.
 
Hivi ni kweli kwamba watangazaji wa TBC hawajui kwamba Shekh ponda anaumwa na ni kuthibitisha udhalimu wao tu. .... akidai kwamba anaumwa ......! Hakuna shida, msiba usikie kwa mwenzio.
 
Hivi risasi haiwezi kutoboa kichwa cha hili kuda? Linapewa promo tu hili!
 
hakuna kesi hapo, uchochezi upi? alafu mkumbuke waislam kusema yesu sio mungu ni haki yao ni kwa mujibu wa qur-an.

YESU kamwe hayuko kwenye uislam, kule kuna Issa. Ni ushenzi kumfananisha YESU aliyekufa msalabani na Issa.
 
Je, dini nyingine nao wakipaza sauti kwamba Muhammad sio mtume na kueleza kwa ufasaha "sifa zote" na "matendo yote" ya Muhammad nao itakuwa ni haki yao? Ndugu yangu hizi imani ni kuvumiliana tu na kuenenda kwa busara na hekima ambavyo inaonekana Ponda amevikosa.

kwa mfano akiwa na miaka 50, umri kama wa William Malecela, akakaoa ka-Aisha kakiwa na miaka 6 (chekechea) na akiwa na miaka 9 (darasa la pili) akaruhusu 'abdala kichwa wazi' aingie kwa 'zainab binti maringo'!
 
Back
Top Bottom