ndio maana wanakuambia njia ya kwenda peponi ni nyembamba na njia ya kwenda motoni ni pana, hilo ni somo kubwa sana kwa mtu kama wewe mwenyekupenda mteremko inaitaji elimu ya hali ya juu kufundishwa la sivyo kwako wewe kila kitu unaona sawasawa ndio maana ni rahisi wewe kusema kila dini ni sawa.
Kwakuwa waislamu mmeshindwa kudhitisha peponi wanawake wameahidiwa nini ,tumeona pepo walioahidiwa waislamu mwanamke ndiyo wanakwenda kuteseka ,sasa leo nakuja na maswali yangu yajibiwe kiufasaha
Quran 27:91
91. Bila shaka nimeamrishwa nimwabudu mola wa mji huu wa Makka.
Quran 106:3
Na wamwabudu Bwana wa Nyumba hii (Al Ka'aba)
Quran 2:144
.
Sisi Tumekuona kule kutazama kwako mbinguni mara nyingi. Basi, kwa hakika SisiTutakuelekeza wewe kwenye kibla kinachokupendeza wewe! Hivyo wewe elekeza uso wakokwenye Msikiti Mtukufu. Na enyi Waislamu! Kokote kule mliko nyinyi elekeeni huko. Na kwahakika wale waliopewa Kitabu wanajua vyema ya kuwa hakika hii ni kweli toka kwa Mola wao.Na Allah Si Mghafilika wa yote wanayotenda
Quran 67:17
Au mnadhani mko salama kwa Ambaye yuko Mbinguni, ya kuwa yeye hatakuleteeni kimbunga chenye changarawe? Mtajua vipi maonyo yangu.
1.Allah wenu waislamu anaishi wapi?
(a)Makka.
(b)Mbinguni
Hiyo ndio dini ya ukweli, iliyotoka kwa Mungu?