Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

hawachukii kwa Lema wanamchukia ponda na Vipi Lema asipigwe risasi?[/QUOTE














Mi naona kua serikali ndo wajinga,kwani hawajui kurani imeweka waz kua yesu sio mungu.kwa hyo mchochezi ni ponda au Kiran.waache kuchezea pesa za walipa kodi
 
ulichokisema kinaweza kuwa kweli coz kama shida ingekuwa Yesu kuwa Mungu, mbona wako watu wanaamini ng'ombe kama mungu hatuoni wakifuatwafuatwa kama ilivo kwa wakristo! jana Misri naona wamechoma makanisa sa najuliza makanisa wanayochoma yanauhusiono gani na jeshi kupora madaraka ya kiraia? mi naamini hii haiko Tanzania tu ni kila mahala walipo adui yao ni makanisa na wakristo


Siwaelewi watu wanaoshangaa kwa nini waislamu hasa/uislamu unachukia sana wakristo/ukristo. Bwana Yesu Kristo akuja duniani kukomboa ulimwengu kutoka mikononi mwa shetani, ila kila anayemwamini, na kumpokea na kuokoka anakua si mtumwa tena wa dhambi na anafanyika mtoto wa Mungu. Sasa ili ukombozi wa mwanadamu ukamilike ilibidi atoe uhai wake na kumwaga damu yake msalabani kama mwanakondoo wa kuchinjwa (John 1:29).
Hivyo kupitia kifo chake msalabani na baadaye ufufuko wake ndio katupatia ushindi wa milele dhidi ya shetani na majini yote.
The bitter truth: philosophy yoyote (au dini yoyote au mtu yeyote) inayopinga Yesu Kristo kufa msalabani pale Calvary inatoka kwa SHETANI. Na shetani alianza propaganda hizi tangu Bwana Yesu akiwa hai! Utakumbuka siku moja Yesu aliwaambia wanafunzi wake juu ya kifo chake kitakavyokua na Petro (shetani alikua amemwingia) akapinga, Yesu alimwambia: nenda nyuma yangu SHETANI!
Matthew 16: [SUP]21 [/SUP]From that time on Jesus began to explain to his disciples that he must go to Jerusalem and suffer many things at the hands of the elders, the chief priests and the teachers of the law, and that he must be killed and on the third day be raised to life. [SUP]22 [/SUP]Peter took him aside and began to rebuke him. “Never, Lord!” he said. “This shall never happen to you!” [SUP]23 [/SUP]Jesus turned and said to Peter, “Get behind me, Satan! You are a stumbling block to me; you do not have in mind the concerns of God, but merely human concerns.”

COnclusion: Shetani hajaacha hadi leo kukataa kifo na ufufuko wa Bwana YESU..

Guess who is the originator of ANY RELIGION of CONCEPT denying the death and resurrection of Jesus for the salvation of mankind.........!!!
 
Huo si uchochezi....bali ni uonevu wa Polisi..anachosema ni
  1. sawa
  2. kweli tupu
  3. waislam wanaunga mkono
  4. haya ni mambo ya ndani ya waislam kwa nini polisi wanaingilia uhuru wa kuabudu?
 


dsc03292.jpg



sheikh issa ponda akiwa mahakamani mkoani morogoro asubuhi ya leo
sheikh ponda amesomewa mashtaka matatu katika mahakama ya mkoa wa morogoro likiwemo la uchochezi alilolitoa kwenye mkutano wa hadhara tarehe 10 mwezi huu ambapo inadaiwa alisema kwamba ''ndugu waislamu msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na bakwata ambao ni vibaraka wa serikali ''katika viwanja vya shule ya kiwanja cha ndege mkoani morogoro.baada ya kusomewa mashitaka hayo mahakama imesema upelelezi umekamilikaa dhamana imefungwa na amerudishwa rumande mpaka tarehe 28 mwezi huu ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa katika mahakama ya mkoa wa morogoro.




dsc03303.jpg



sheikh ponda akiondoka mahakamani mpaka feb 28 2013


dsc03308.jpg



ulinzi wa polisi

this is our mandela in tanzania.....the real hero na mtetezi wa haki za wanyonge
msema kweli
asietetereka
mkemea uovu wa serikali na mafisadi wengine
mwiba wa bakwata ...taasisi ya nyerere na ccm

nenda pona nenda ponda tupo nyuma yako....
 
eti hili nalo ni kosa: ''ndugu waislamu msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na bakwata ambao ni vibaraka wa serikali .

......na kwa ukubwa wa shitaka hilo mshatakiwa hawezi kupewa dhamana. Dpp majanga

ni wakati wa mahakama nazo zikawa huru..kuwakatalia polisi wanapoleta kesi za kijinga kijinga kama hizi....
Mahakama zisikubali kuingiliwa......dpp anaposema hakuna dhamana mahakama lazima zitumie sheria kama mahakimu wanavo zijua....na kuwa na uwezo wa kusema no..big no ..kwa dpp ..kuwa hapa dhaman aipo wazi...na kesi hii si ya kuchukua muda.....kwani ni huyo mwendesha mashtaka ku prove kwamba maneno hayo kayatamkwa na kuthibisha kuwa ni ya ucho chezi
mahakama zindukeni
 
Serikali imeamua kumpiga promo mzee wa watu, bahati hizi ni chache sana kukutana nazo maishani.

Yaani Ponda na yule kijana aliyetoa siri za kijasusi za marekani ndiyo wametawala vyombo vya habari duniani.
 
Wanataka kuzima Nuru ya Uislam kwa mitutu ya bunduki? Hawataweza!!!!!!!!!!!!! Ukweli utasemwa japo unawauma!!!!!!!!!!!!!
 
Ukiandika hiki kiswahili kwenye mtihani utakoseshwa tu hata kama wewe ni Muislam haiwezekani upewe marks hapa kwa kuogopa utasema kuna Mfumo kristu, bsfuuu!!!!!
Mkuu..... Hongera sana.....kwa mara ya kwanza ndiyo naona tunasahihishana katika matumizi bora ya lugha ya kiswahili...nimezoea kuona katika lugha za kigeni tu.......Hongera
 
Kodi za watanzania zinapotea bila sababu nguvu nyingi kwa swala la Ponda!!!

Mimi nalia na aliyepiga bega badala ya kufungua kichwa au kuupasua moyo, ungekuta sasa hivi ni dismissed case na watu wanaendelea na kazi kamaawaida!Next time do it correctly you wanker!!
 
this is our mandela in tanzania.....the real hero na mtetezi wa haki za wanyonge
msema kweli
asietetereka
mkemea uovu wa serikali na mafisadi wengine
mwiba wa bakwata ...taasisi ya nyerere na ccm

nenda pona nenda ponda tupo nyuma yako....

unafananisha gaidi na shujaa Mandela? something is wrong with your brain,, seek medical attention before things get worse!
 
this is our mandela in tanzania.....the real hero na mtetezi wa haki za wanyonge
msema kweli
asietetereka
mkemea uovu wa serikali na mafisadi wengine
mwiba wa bakwata ...taasisi ya nyerere na ccm

nenda pona nenda ponda tupo nyuma yako....

Ndio Mandela wenu huyo?
 
mimi nalia na aliyepiga bega badala ya kufungua kichwa au kuupasua moyo, ungekuta sasa hivi ni dismissed case na watu wanaendelea na kazi kamaawaida!next time do it correctly you wanker!!

mkuu naye ni binadamu!
 
Tunataka mahakama itende haki katika sakata hii iliyojaa uzandiki mwingi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
huyo jamaa ni vyema kuangaliwa kwa makini! make anaidadi kubwa ya watu wanao mkubali! ingawa mi nashangaa ugovyi unatoka wapi maana serikali iliyopo inaongozwa na watu wa imani yake, sijui yy na wafuasi wake wanataka iweje! yy amtangaze huyo anayemuamini kama watu wakikubaliana naye wata mfuata! vurugu haifai!
 
Back
Top Bottom