Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

Kulingana na Qur'an Yesu sio Mungu, bali ni mtume wa Mungu. Lakini kukingana na Biblia Yesu ni Mungu na mtume Mohammad SAW si chochote kwani hata kwenye Biblia hajatajwa popote. Watanzania tuvumiliane. Hizi dini zilikuja na mababuzetu waliishi bila hizi dini hapo kabla. Je,sisi tuliopo hapa sasa tunabahati nzuri/mbaya kzijua hizi imani? Kulingana na ufahamu wangu madogo wa mambo ya imani ;UISLAM NA UKRISTO kuna ukaribu fulani ukilinganisha na UYAHUDI,AU HINDUISM,BUDDHISM ....Kuna Imani hata huyo Mungu hazimtambui. Nafurahia serikali yetu tukufu haina dini na watoto wa watoto wangu waje waishi kwa amani na kufurahia huu uhuru wa kuabudu.

Ufunuo wa yohana: 19: 1 - 20.
Injili ya Yohana: 1: 1 - 10.
 
Eti hili nalo ni kosa: ''Ndugu waislamu Msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za Misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa Serikali .

......na kwa ukubwa wa shitaka hilo mshatakiwa hawezi kupewa dhamana. DPP majanga

Inaonekana huyo DPP alivyokuwa chuo alikuwa anatumia migg..
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..

yana mwisho hayo.
 
Nini kinachokufanya ukubaliane na mengine kama mapambano na hali unajua waliomshtaki ni Utawala usiotenda haki na kuendelea kupandikiza chuki juu za kidini na ukabila dhidi yetu ili tujitenge na wapinga dhuluma dhidi ya Serikali na Ufisadi.. tuendelee kuwa macho tu hakuna shitaka hata moja dhidi yake linaloeleweka na linalojaribu kuingia akilini,kwani katiba ya nchi inasema kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni yake,na niyapi aliyokua anayasema yawekwe wazi watu wayachambue.
 
Lakini hapo ndipo watawala wanapotupata kwelikweli.

Badala ya kuhoji mabavu ya Dola kwa raia wasiokuwa na Hatia, Polisi kutumia weledi kukamata wahalifu, mali ya wananchi walipa kodi kutumiwa na watawala kimchezo mchezo huku shule zikiwa hazina madawati, temeke wagonjwa watatu kwenye kitanda kimoja; sisi tumejikita kwenye Kubeza ukristo na uislam na kuona alichofanyiwa Ponda ni sahihi.

kweli akina Ambilikile Mwasapile waendelee kuwepo Tanzania!!!!
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..
Huraaaaaaaaaa, ngoja nami nijifunze kuchochea ili nirushwe angani kwa ndege kama vile, mbowe, Shehe Ponda, watuhumiwa wa ugaidi manake serikali yetu inahela, inafweza, inamadisa kedekede. Wakati wananchi wengi hawana uhakika wa mlo , kusomesha watoto TZ ina chapaa ya kutosha kununua magari ya washawasha kuwachokoza na kisha kuwamwangia waandamaji halali, risasi za moto na baridi, viongozi mashangingi, posho za askari kuzima maandamano, kufanya ziara za kila siku mikonani kana kwamba watendaji hawalipwi mishahara na hawana mikataba! Nasikia mgawo wa mwaka kuendesha wizara mbalimbali uliishia March 2013
 
serikali ya kidhalim acheni upuuzi maana mmekua wajinga na mapunguani kupita kiasi....yaan mmeshindwa kuwakamata wauza madawa ya kulevya badala yake mnawalinda wauza madawa ya kulevya wanaoiharibu jamii na kuuza kizazi mnakaa na kuwadhulumu waislam wanaosimama kwenye haki dhidi yenu madhalimu........nasema tena acheni upunguani

sasaivi watu wameshaamka hamtawaburuza tena waislam,,...achen chuki zenu za ajabu ajabu na kutengeneza matabaka yasiyo na maana..........


sh ponda aka muslim hero...aka man of the people tunazidi kukuombea ALLAH SW akupe TAWFIQ,,,...nasisi tuko nyuma yako...kitaeleweka tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu watake wasitake...............


always victory belongs to those who fights for his sake,,.............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


sh ponda kamwe usirudi nyuma............tutazidi kukusuport in wherever it takes.......



wenye chuki endelezeni chuki zenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kulingana na Qur'an Yesu sio Mungu, bali ni mtume wa Mungu. Lakini kukingana na Biblia Yesu ni Mungu na mtume Mohammad SAW si chochote kwani hata kwenye Biblia hajatajwa popote. Watanzania tuvumiliane. Hizi dini zilikuja na mababuzetu waliishi bila hizi dini hapo kabla. Je,sisi tuliopo hapa sasa tunabahati nzuri/mbaya kzijua hizi imani? Kulingana na ufahamu wangu madogo wa mambo ya imani ;UISLAM NA UKRISTO kuna ukaribu fulani ukilinganisha na UYAHUDI,AU HINDUISM,BUDDHISM ....Kuna Imani hata huyo Mungu hazimtambui. Nafurahia serikali yetu tukufu haina dini na watoto wa watoto wangu waje waishi kwa amani na kufurahia huu uhuru wa kuabudu.
Nakuunga mkono bobooooooooo. Hata mimi nakubali kuitwa Kafiri kwa sababu sijaslimu, siku nitakaposilimu jina linakufa kuwa siko kafikiri kwamba sasa namumamini mtume wa Mungu na sio Mwana wa Mungu. Na sitakuwa mlokole kwa kuwa wanazuia kilaji eti kimezuiwa na Mungu kumbe ndicho Kilaji alichokitaka Mungu.
 
Naitafakari Serikali ya JK naifananisha na kichwa cha mwendawazimu (mniwie radhi mtakaokerwa na kauli yangu) nasema hivi kwa sababu naona matukio mengi ya kutikisa utawala wake yanavyoisumbua Serikali yake mpk Waziri Mkuu kutamka ndani ya bunge kuwa wamechoka,naona kila mwenye lake huu ndio wakati wa kulifanya,madawa ya kulevya,rushwa,ufisadi,Polisi kunyanyasa raia,mengi yanayokera yameshamiri wakati huu......naomba Serikali ijipange hata kama wamechoka kama wanavyodai wajitahidi tu wamalize kwa amani tuvuke hapa salama.
 
Shekhe Issa ponda Issa amefikishwa mahakamani mkoani morogoro leo na kusomewa mastaka ma tatu.. Staka la kwanza ni kuchochea uvunjifu wa sheria, pili ni maneno ya kukashifu na kudharau dini nyingine, tatu ni kuandaa machafuko ambayo yamepigwa marufuku.. Aliletwa na helkopta ya polisi na kurudishwa Dar es salaam na gari ya polisi..

Serce😀w bony..
hapo sidhani pana ukweli.
 
Kinachoniacha hoi ni hawa wafuasi wa Shehk Issa Ponda! Eti wanadai hawataipigia CCM kura mpaka kiongozi wao aachiwe huru! Nasema huu ni upumbafu kwa hawa wafuasi wa Ponda yaani kumbe eti huwa wanapiga kura kwa maslahi ya mtu na sio kwa maslahi ya chama kitakachowaongoza na kuwaletea maendeleo?

Mungu tusaidie kwa wananchi wa nchii wapewe elimu ya kujua nini maana ya kuchagua chama na sio kuchagua watu!:A S-frusty:
Hilo ni tatizo kubwa katika jamii, watu wengi wamebinafsisha uwezo wao wa kufikiri kwa wengine. Matokeo yake ubongo wao umekuwa mithili ya vidaka TONGE kwa kuchukua na kuamini fikra za wengine bila kuzihakiki.
 
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam

ulichokisema kinaweza kuwa kweli coz kama shida ingekuwa Yesu kuwa Mungu, mbona wako watu wanaamini ng'ombe kama mungu hatuoni wakifuatwafuatwa kama ilivo kwa wakristo! jana Misri naona wamechoma makanisa sa najuliza makanisa wanayochoma yanauhusiono gani na jeshi kupora madaraka ya kiraia? mi naamini hii haiko Tanzania tu ni kila mahala walipo adui yao ni makanisa na wakristo
 
Huu ni uonevu wa hali ya juu unaofanywa na serikali ya CCM. Wao ndio wamempiga risasi na sasa wanamfungulia mashtaka ya kijinga , ambayo hakimu yeyote mwenye akili timamu atayarushia mbali. Kitu kinachonishangaza hapa ni ukimya wa Waislamu! Nadhani kama Rais wa nchi jina lake lingekuwa John au James, nadhani pasingekalika.
 
Sijui kama unaelewa unachoandika! Ukweli ni huu, kama tungezaliwa katika sayari nyingine ambako hakuna dini na kuletwa duniani tukiwa watu wazima, na kabla ya kuishi na familia zetu tukaambiwa haya chagua dini unayotaka, walahi tusingekuwa na dini hizi tunazojivunia sasa. Kama ukristo sio dini kinachokusumbua wewe mwenye dini na kitabu bora ni nini? Kwani kuna waumimi wako wanaotaka kuingia ukristo? Kuna watu Mungu wao ni nyoka na maisha yao burudani na salama , lakini sisi wenye "dini na kitabu" bora vugu tupu tena wenyewe kwa wenyewe.
hakuna mwislam anaweza kueshimu dini nyingine mbali na uislam maana kufanya hivyo ni kukubaliana na mtu anaesema tatu mara mbili ni saba badala ya sita eti kwa sababu yeye amesema, ukristo sio dini wala yesu hakuwa mkristo huo ndio msimamo wa waislam
 
ulichokisema kinaweza kuwa kweli coz kama shida ingekuwa Yesu kuwa Mungu, mbona wako watu wanaamini ng'ombe kama mungu hatuoni wakifuatwafuatwa kama ilivo kwa wakristo! jana Misri naona wamechoma makanisa sa najuliza makanisa wanayochoma yanauhusiono gani na jeshi kupora madaraka ya kiraia? mi naamini hii haiko Tanzania tu ni kila mahala walipo adui yao ni makanisa na wakristo
kwa muislam hakuna dini nyingine zaidi ya uislam na kwa kuwa dini nyingine ni feki ndio maana kwa dini nyingine feki ndio maana zinaweza kufikia kusema kwamba dini nyingine ni sawa na dini nyingine kwa uislam hakuna kitu kama hicho dini ya haki na ya kweli mbele ya Mwenyezi Mungu ni uislam tu,
 
Back
Top Bottom