Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Huo ndiyo Waraka wa Mashehe😃😃.

So Ushauri wa Maaskafu kwa serikali unajibiwa na Mashehe na akina Mwijaku na Kitengwe? This is so interesting😃
Yaani CCM wametoka kwenye ujinga wameelekea kwenye upumbavu. Badala ya kujibu hoja zilizoibuliwa kwenye udhaifu wa mkataba, wanamtuma Mwijaku kukashifu Maaskofu. Mashehe nap wamedandia treni kwa mbele, hawajibu hoja, wanabwabwaja!
 
Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.

Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
 
BAKWATA ndiyo chaka la kukwepa kodi bandarini.

 
Inawezekana kunaukweli niliwahi kusikia Padre mmoja
anapokwenda nchi za nje anabeba madini ya kutosha na akirudi anarudi na Biblia ikiwa imebeba dawa za kutosha kama ni kweli basi ni lazima wapotoshe umma uogope private sector maana itakuwa ni kuscan kwa kwenda mbele.

Hivi kwanini Serikali yangu haijajibu hoja za hawa wachonganishi? Kuna watu wasio imara watawaamini hawa warafi.
Kwa mtifuuano unaoendelea, ingekuwa kweli ulichoandika ndicho kinachotendeka na mapadri, kuna ambaye angeachwa kutajwa na kudhalilishwa? Kuna ambaye yupo juu ya sheria?
 
Ninachoona ni kuwa waheshimiwa wengi hawajalala usingizi tokea TEC watoe waraka ule.

Wanajaribu kusoma mstari kwa mstari ili watoe majibu, dalili kubwa ni kwamba wamekwama.

Ushauri tu ni kuwa tekelezeni ya kwenye waraka wa TEC wasije wakaja na mengine magumu zaidi.
Hawa viongozi wa ccm wanajidanganya sana.
Kuanzia Tanganyika na hadi sasa Tanzania ilipo Kuna nguvu tatu kuu zilizotufikisha hapa!
1. Viongozi wa dini
2. Jumuiya na mashirika ya kimataifa
3. Wapinzani

Wananchi wengi waliopaswa kuwa mstari wa mbele Bado wapo kwenye nyakati za kupambania chakula, malazi na mavazi!
Viongozi wa kisiasa asilimia kubwa wapo kupambania chakula, malazi, magari, starehe binafsi!
 
Kanisa Katoliki ni Kanisa Moja,Takatifu,Katoliki na la Mitume wa si dhehebu kwa sababu lilianzishwa na Yesu Kristo mwenyewe chini ya usimamizi wa Roho Mtakatifu kupitia Mitume kumi na mmoja.Bishop Peter Rashid Abubakar ni mojawapo ya manabii wa uongo waliotabiriwa na Yesu Kristo Mwenyewe (Mathayo 24:1-21).Hivyo waraka wake ni wa Lucifer ambaye ni adui wa mwanadamu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu(Mwanzo 1:26-29).Tujihadhari na watu wa namna hii.
 
Nani amewahi ona Lori la IVECO mali ya BAKWATA?

downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom