Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
Ashikishwe adabu kwa sababu kafanya kazi jeshi la Qatar au kuna sababu nyengine?
Gaidi!
Ashikishwe adabu kwa sababu kafanya kazi jeshi la Qatar au kuna sababu nyengine?
this is very very stupid comment.wivu wako nini wewe na Faridi si Mtanganyika? ikiwa kufanya kazi Qatar ndio Zambi, Basi wako wengi tu Wazanzibar wanafanya kazi Gulf Tena Jeshini na Serekali ya Mapinduzu ya Zanzibar inajuwa hilo na lipo kabla ya Muungano na Tanganyika.
Jee kuwa na jamma Gulf vipi? maana Wazanzibar takribani nusu wana jamaa huko sasa tuseme vipi? hebu wacha wazimu kama munasema Watanganyika na Wazanzibar nindugu basi na gulf na Wazanzibar wana damu vile vile kwa vile walikuja na kuoa na kuzaa.
Hebu rudi usome historia ya visiwa vya zanzibar na watu wake, basi mwambie rais wako kikwete awazuwie basi, kama imekuwa wivu?.
wakristo hawapaswi tuwajibu ndugu zetu kwa nguvu za hoja tulizonazo ili wajue kuwa mungu wetu anawapenda na yesu alimwaga damu yake ili wasitoe muhanga na waokoke.
Kuhusu shehe farid, hilo ni suala la usalama wetu wote na ni wajibu wa mtu mwenye taarifa akaripoti polisi ili wafanye uchunguzi.hawezi kuwa gaidi hadi pale itapothibitika hivyo. Na kama ni gaidi basi watu wote,bila ya kujali dini na familia zetu,tujihadhali nae kwani akilipua bomu litamuua yeyote aliye karibu bila ya kujali dini zetu.
gaidi namba moja tz ni polycape pengo anaefadhiliwa na vatican...
anafadhiliwa na Iran ana uraia wa oman hayo ya qatar ni mapya
that is the fact kama mtu sio mtanzania anatakiwa arudi kwao kwa kufutiwa uraia very simple
Gaidi!
Weka hapa nyaraka za kuthibitisha hilo.
Weka hapa nyaraka za kuthibitisha hilo.
mbakie huko huko kwenu Gulf kwa babu zenu muiache znz yetu na muungano wetu,you slave caravan's bastards.mss!
Ni kweli kabisa zomba lakini lazima tujiulize maswali....
Huyu farid ni raia wa wapi???
Je hizi movement anazofanya zinafadhiliwa na kina nani???
Yupo nchini Tanzania ki halali???
Na je hicho anachokifanya ni kwa faida ya uislam kweli au kuna maslahi binafsi nyuma yake na sisi waislam kuishia kutumika kukamilisha malengo yake???
Tusipokua makini tutajikuta tumeangamia kwa manufaa ya waarabu ambao wanataka kufaidi kwa kutuchonganisha watanzania...si kweli ati kuwa wanatupenda saaaana lah! wanata kitu toka kwetu
Tusiwe wajinga maana huu ujinga ndio unatufanya tudharaulike na kuonekana magaidi
Kama ni watu kama hawa mnaimport ZNZ basi hamtapata NCHi tena. Kuanzia sasa mkidai ni kichapo tu!! Hamuwezi kutuletea magaidi karibu mkadai mnataka kujitenga! TPDF ingia kazini!!
Wakuu: Msichanganye mambo hapa jamvini. Issue sio kufanya kazi Oman wala kuwa na ndugu uarabuni.....Tatizo hapa ni mambo anayofanya, enayoeneza kwa jamii....yapo ki..alqaeda....ki ...el shabab zaidi...what a pity... mmnaomtetea...
gaidi namba moja tz ni polycape pengo anaefadhiliwa na vatican...
MUNGEANZA KUWAFUKUAZA WALE MAASKOFU/WACHUNGAJI/PADRI WENYE ASILI ZA KIGENI . AU KWASABABU WAO WANAONEKANA WANA RANGI NYEUSI KAMA YAKO, HIVYO HUNA MASHAKA NAO...
nini hasa kinamfanya mtu awe mtanzania?
NA Kwa mujibu wa magazeti ya leo ni kwamba alifukuzwa jeshi la Qatar kwa kuwa ana matatizo ya akili
na ndo maana mnaona ana midevu kama beberu coz katika hali ya kawaida
binadamu yeyeto mwenye akili timamu hawezi kuachia midevu kiasi hicho
otherwise uwe na UKICHAA au UWE GAIDI
kwani wamejiteka wenyewe kama gaidi farid?