hizi ni akili za
kitanganyika chuki na ubinafsi kwani faridi akifanya kazi oman au qatar
ndio nini au yeye ni mweupe tu ndio ulete bla bla za ubaguzi kuna watu
weusi wazanzibar wako qatar na polisi wengine ni majeshi wengine pilot
na wengine ni wahasibu wa mabenki nini nyinyi watanganyika mukifika oman
dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira mbuzi nyiee chuki roho
mbaya na ubaya nenda dubei kuna madactari tele wazanzibar shata maofisa
wa uhamiaji nenda sharja na ajman nenda kuweit mbuzi nyie tumechoka na
muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika munashindwa
hata kufikiria muungano wa usawa ili kuwe na maendeleoo watanganyika
wanaume wanauza ugoroo tuu kwenye khalij na wazzanzibar ndio
mabasha
wivu wako nini wewe na Faridi si Mtanganyika? ikiwa kufanya kazi Qatar ndio Zambi, Basi wako wengi tu Wazanzibar wanafanya kazi Gulf Tena Jeshini na Serekali ya Mapinduzu ya Zanzibar inajuwa hilo na lipo kabla ya Muungano na Tanganyika.
Jee kuwa na jamma Gulf vipi? maana Wazanzibar takribani nusu wana jamaa huko sasa tuseme vipi? hebu wacha wazimu kama munasema Watanganyika na Wazanzibar nindugu basi na gulf na Wazanzibar wana damu vile vile kwa vile walikuja na kuoa na kuzaa.
Hebu rudi usome historia ya visiwa vya zanzibar na watu wake, basi mwambie rais wako kikwete awazuwie basi, kama imekuwa wivu?.
wivu wako nini wewe na faridi si mtanganyika? Ikiwa kufanya kazi qatar ndio zambi, basi wako wengi tu wazanzibar wanafanya kazi gulf tena jeshini na serekali ya mapinduzu ya zanzibar inajuwa hilo na lipo kabla ya muungano na tanganyika.
Jee kuwa na jamma gulf vipi? Maana wazanzibar takribani nusu wana jamaa huko sasa tuseme vipi? Hebu wacha wazimu kama munasema watanganyika na wazanzibar nindugu basi na gulf na wazanzibar wana damu vile vile kwa vile walikuja na kuoa na kuzaa.
Hebu rudi usome historia ya visiwa vya zanzibar na watu wake, basi mwambie rais wako kikwete awazuwie basi, kama imekuwa wivu?.