Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

Gazeti la Jambo leo 24 Octoba 2012 lina details!
Raia wa Yemen na Uhusiano na Alqaida!! Vyombo vya usalama vifanye kazi yake na tusilumbane hapa!!

ukitaka kumua mbwa mpe jina baya sema anakichaa hizo ni kelele tu kama watu wanaka zanzibar yao si muwaache mabaa yote mumewapelekea nyie watanganyika bado hamtosheki kama watu wanataka nchi yao iwe ya kidini si mtulize mshono mbona muna kiherehere
 
Nawajuwa Watanzania wengi wanaotumikia majeshi ya nje. Ujuwe kuna nchi zinaajiri wanajeshi hata kama si raia.

Tatizo ni lipi hapo?

Ni kweli kabisa zomba lakini lazima tujiulize maswali....
Huyu farid ni raia wa wapi???
Je hizi movement anazofanya zinafadhiliwa na kina nani???
Yupo nchini Tanzania ki halali???
Na je hicho anachokifanya ni kwa faida ya uislam kweli au kuna maslahi binafsi nyuma yake na sisi waislam kuishia kutumika kukamilisha malengo yake???
Tusipokua makini tutajikuta tumeangamia kwa manufaa ya waarabu ambao wanataka kufaidi kwa kutuchonganisha watanzania...si kweli ati kuwa wanatupenda saaaana lah! wanata kitu toka kwetu
Tusiwe wajinga maana huu ujinga ndio unatufanya tudharaulike na kuonekana magaidi
 
Ni kweli kabisa zomba lakini lazima tujiulize maswali....
Huyu farid ni raia wa wapi???
Je hizi movement anazofanya zinafadhiliwa na kina nani???
Yupo nchini Tanzania ki halali???
Na je hicho anachokifanya ni kwa faida ya uislam kweli au kuna maslahi binafsi nyuma yake na sisi waislam kuishia kutumika kukamilisha malengo yake???
Tusipokua makini tutajikuta tumeangamia kwa manufaa ya waarabu ambao wanataka kufaidi kwa kutuchonganisha watanzania...si kweli ati kuwa wanatupenda saaaana lah! wanata kitu toka kwetu
Tusiwe wajinga maana huu ujinga ndio unatufanya tudharaulike na kuonekana magaidi

1) Raia wa Zanzibar

2) Zinafadhiliwa na Waislaam

3) Mzanzibari halafu unauliza yupo kwao kihalali?

4) Anachokifanya ni kwa faida ya Wazanzibari, kudai haki za Wazanzibari iwe anaedai muislaam au Mkristo kuna tofauti ipi?

5) Unawataja Waarabu kama vile ni mizuka wakati Zanzibar ni nchi yenye asili ya Kiarabu na ilishakuwa ni mtawala wa Oman. Na ilishakuwa na himaya kubwa sana ya kiutawala Afrika Mashariki. Kuukimbia uarabu Zanzibar na inawezekana Afrika Mashariki ni sawa na kukimbia kivuli chako! Utaweza?

6) Una nini wewe cha kutakwa na wengine wasicho nacho?
 
NA Kwa mujibu wa magazeti ya leo ni kwamba alifukuzwa jeshi la Qatar kwa kuwa ana matatizo ya akili
na ndo maana mnaona ana midevu kama beberu coz katika hali ya kawaida
binadamu yeyeto mwenye akili timamu hawezi kuachia midevu kiasi hicho
otherwise uwe na UKICHAA au UWE GAIDI
 
ukitaka kumua mbwa mpe jina baya sema anakichaa hizo ni kelele tu kama watu wanaka zanzibar yao si muwaache mabaa yote mumewapelekea nyie watanganyika bado hamtosheki kama watu wanataka nchi yao iwe ya kidini si mtulize mshono mbona muna kiherehere
Kama ni watu kama hawa mnaimport ZNZ basi hamtapata NCHi tena. Kuanzia sasa mkidai ni kichapo tu!! Hamuwezi kutuletea magaidi karibu mkadai mnataka kujitenga! TPDF ingia kazini!!
 
hizi ni akili za kitanganyika chuki na ubinafsi kwani faridi akifanya kazi oman au qatar ndio nini au yeye ni mweupe tu ndio ulete bla bla za ubaguzi kuna watu weusi wazanzibar wako qatar na polisi wengine ni majeshi wengine pilot na wengine ni wahasibu wa mabenki nini nyinyi watanganyika mukifika oman dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira mbuzi nyiee chuki roho mbaya na ubaya nenda dubei kuna madactari tele wazanzibar shata maofisa wa uhamiaji nenda sharja na ajman nenda kuweit mbuzi nyie tumechoka na muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika munashindwa hata kufikiria muungano wa usawa ili kuwe na maendeleoo watanganyika wanaume wanauza ugoroo tuu kwenye khalij na wazzanzibar ndio mabasha

tafadhal yakhe abdul matusi hayoo.!
 
I said it. Haya tusubiri jeshi la Alikaida.
 
Dah we jamaa APo kwa mabasha umeniua MBAVU maana mabasha wote wavivu wanapenda kupewa Ina maana wazanzibar wavivu na wanapenda kulelewa? Tehe Tehe Tehe


hizi ni akili za kitanganyika chuki na ubinafsi kwani faridi akifanya kazi oman au qatar ndio nini au yeye ni mweupe tu ndio ulete bla bla za ubaguzi kuna watu weusi wazanzibar wako qatar na polisi wengine ni majeshi wengine pilot na wengine ni wahasibu wa mabenki nini nyinyi watanganyika mukifika oman dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira mbuzi nyiee chuki roho mbaya na ubaya nenda dubei kuna madactari tele wazanzibar shata maofisa wa uhamiaji nenda sharja na ajman nenda kuweit mbuzi nyie tumechoka na muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika munashindwa hata kufikiria muungano wa usawa ili kuwe na maendeleoo watanganyika wanaume wanauza ugoroo tuu kwenye khalij na wazzanzibar ndio mabasha
 
wivu wako nini wewe na Faridi si Mtanganyika? ikiwa kufanya kazi Qatar ndio Zambi, Basi wako wengi tu Wazanzibar wanafanya kazi Gulf Tena Jeshini na Serekali ya Mapinduzu ya Zanzibar inajuwa hilo na lipo kabla ya Muungano na Tanganyika.

Jee kuwa na jamma Gulf vipi? maana Wazanzibar takribani nusu wana jamaa huko sasa tuseme vipi? hebu wacha wazimu kama munasema Watanganyika na Wazanzibar nindugu basi na gulf na Wazanzibar wana damu vile vile kwa vile walikuja na kuoa na kuzaa.

Hebu rudi usome historia ya visiwa vya zanzibar na watu wake, basi mwambie rais wako kikwete awazuwie basi, kama imekuwa wivu?.

Wakuu: Msichanganye mambo hapa jamvini. Issue sio kufanya kazi Oman wala kuwa na ndugu uarabuni.....Tatizo hapa ni mambo anayofanya, enayoeneza kwa jamii....yapo ki..alqaeda....ki ...el shabab zaidi...what a pity... mmnaomtetea...
 
jamani humu jamvini kuna wasomi na wanataluma wengi, tunapochangia hoja tuache chembe za ubaguzi. ukienda UAE utakuta wazenji wengi jeshini. pia mkumbuke mwanaharakati yeyote duniani wa kiisalamu huwa anapewa mjina kama gaidi, siasa kali vipi ireland wakatoliki na protestant? kwa mandela mbona waliitwa majina mengi tu.
 
Mmeshindwa kutugombanisha kwa dini sasa mnahamia rangi,Hakika ya Mungu hamatashinda!Ukichoka kukaa Zanzibar ya waafrika kwa amani na utilivu nenda kakae na waarabu wenzio!This is Africa for Africans and that is never going to change!Zanzibar is in Africa and in Tanzania!If you are not happy Leave Africa,Leave Tanzania in peace!U dont have rights to claim anything in Zanzibar if u r not a an African and eventually Tanzanian!
 
1) Raia wa Zanzibar

2) Zinafadhiliwa na Waislaam

3) Mzanzibari halafu unauliza yupo kwao kihalali?

4) Anachokifanya ni kwa faida ya Wazanzibari, kudai haki za Wazanzibari iwe anaedai muislaam au Mkristo kuna tofauti ipi?

5) Unawataja Waarabu kama vile ni mizuka wakati Zanzibar ni nchi yenye asili ya Kiarabu na ilishakuwa ni mtawala wa Oman. Na ilishakuwa na himaya kubwa sana ya kiutawala Afrika Mashariki. Kuukimbia uarabu Zanzibar na inawezekana Afrika Mashariki ni sawa na kukimbia kivuli chako! Utaweza?

6) Una nini wewe cha kutakwa na wengine wasicho nacho?


Waafrika toka wakombolewe utumwani kinadharia miaka ya 1880, lakini mpaka wa leo wako katika minyororo ya kufikiri na kutenda.
ukitazma picha ya viongozi wa uamsho ni mabwana waarab koko, na hao wafuasi wao ni watwana weusi wakichanyikani na waarab wa kuapia'' ehhe hakyamungu mimi mwarab''. Je hii kasumba itaisha lini au ndio milele weusi watwana waarab mabwana? Wanachosema mabwana kinafana, watwana hakuna kukana! emancipate yourself from mental slavery you african! none but yourself can do that!! GOD BLESS AFRICA AND ITS PEOPLE!
 
Dahh! Wewe kweli Intelegencia ila umesahau moja. Alishawahi kunyongwa Mara Tisa akanusurika, ashalawitiwa Mara mia bado kuchomwa moto Kama kibaka ndio kabakiza.....Nyie wa znz jifikirieni Mara mbili maana mkizidisha kiherere tunawachapa na Zanzibar inakua moja ya Ma jiji ya Tanzania. Simmeona ponda alichofanyiwa na wazee wa piga ua? Mbona Hawakuendelea kuandamana na jamaa ananyea ndoo? Kuliko mtuletee magaidi sababu ya uvivu wenu bora tuwafute kwenye ramani ya nchi mbaki kuwa jiji



Mleta mada akili zake margeee na hilo la Jambo Leo limetunwa na linatafuta njia ya kuuza gazeti!

Haya basi sheikh faridi babake ni msaudia mamake ni yemen, yeye mwenyewe ameishi Oman kwa muda na alikua akitumikia intelligence ya Iran, alifanya biashara ya unga kutoka afghanistan akawa anauza syria kama ndio soko lake, alitumikia jeshi la qatar kwa miaka miwili kisha akaenda Russia kuongeza ujuzi wa kijeshi na aliporudi akawa anafanya kazi katika jeshi la palestine, alipoacha hapo alikuwa mwalimu mkuu katika kuwafundisha Al qaeda jinsi ua kutegua mabomu pamoja na kutengeza C-4 kwa kutumia vitu vya nyumbani, alikuwa anasaidia kifedha kikundi cha AL-shabbab pamoja na kuwapelekea silaha akitumia cheo chake jeshini alipokua akifanya kazi. Alijitoa muhanga katika 9/11 lakini yeye aliokoka,,,,,,, <---- mleta mada nenda kaseme na haya pia umeyasikia sawa? :-D
 
Profesa Shivji ni muhindi wa Kashmir mbona mumekaa kimya acheni chuki .

Mytake: QURAN TUKUFU INASEMA HAWATA WAPENDA WAYAHUDI WALA WAKIRISTO MPAKA MFATE MILA YAO NA NDIO YANAYO TOKEA HAPA TZ.

Qur'an 2:120 - Never will the Jews nor the
Christians be pleased with you (O Muhammad Peace be upon him) till you follow
their religion.
...
 
hizi ni akili za kitanganyika chuki na ubinafsi kwani faridi akifanya kazi oman au qatar ndio nini au yeye ni mweupe tu ndio ulete bla bla za ubaguzi kuna watu weusi wazanzibar wako qatar na polisi wengine ni majeshi wengine pilot na wengine ni wahasibu wa mabenki nini nyinyi watanganyika mukifika oman dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira mbuzi nyiee chuki roho mbaya na ubaya nenda dubei kuna madactari tele wazanzibar shata maofisa wa uhamiaji nenda sharja na ajman nenda kuweit mbuzi nyie tumechoka na muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika munashindwa hata kufikiria muungano wa usawa ili kuwe na maendeleoo watanganyika wanaume wanauza ugoroo tuu kwenye khalij na wazzanzibar ndio mabasha
Abdul 28, Farid ni raia na mwanajeshi wa huko na alifukuzwa jeshini na nchini kwa uchochezi wake kakimbilia TZ mkoani Zanzibar tumempokea, kaanza fujo zake unataka tukae kimya. Sina shaka na uwezo wako wa kifikra kwamba ni mdogo sana.
Unasema watz wengi wako arabuni na wanasema ni wazenj ili wapate ajira!! kwa mtaala upi wa elimu na hasa academic capacity ipi mlonayo wazenj hata wabara wasingizie uzenj wawapo nje ya nchi!! Ama ni elimu ipi yenye kufanya wazenj wakubalike zaidi nje kuliko watz, you are kidding. Ooooh! sorry labda kama unamaanisha elimu ya majini na kuzimu, madrasa pia mnajitahidi na kile kiarabu cha kukremishwa msikitini pengine ndicho kinafanya mpate ajira kirahisi arabuni lakini na kale katabia kenu ka kutiGo ni added advantage.
Kuhusu muungano kaka umechelewa, utakuwepo daima dumu, iwe chini ya CCM ama CHADEMA, kama huamini muulize mkuu wako wa mkoa Dr Shein na na ameshalitolea tamko hilo la muungano.Wabara ni mbuzi na ni Ng'ombe pia, so hata ungependa kuungana na Ng'ombe utakua umeungana na wabara.
Tunashukuru kwa takwimu sahihi kwamba wabara wengi wako wako arabuni ni wahasibu, pilot na mabanker lakini je wanafanya uchochezi pia kama huyu farid mpenzi wako? Kama tunajivunia kuwa na wahasibu, pilot na bankers, si mbaya kujivunia pia wauza ugoro walioko huko.
Nakushauri tu bwabwa abdul 28, uwe na amani, hupaswi kutokwa povu kwa maswala madogo kama haya, acha wanaume wamshughlikie farid,hapa si Oman alikoachwa kutoroka, tutakua naye hapahapa lakini atashikishwa ukut...,sorry adabu.
 
Ama kweli wanajamii tumepoteza muelekeo..Nakumbuka wakati hili jamvi linaanza,ilikua ni sehemu ya kupata habari za kuaminika na zilizoenda shule..Kwa hivi sasa ni sehemu ya Majungu,Chuki,Malumbano,Udini N.K..Kwa ufupi tu ni kwamba hatuna tofauti na Facebook au Blog nyengine zisizo TUMIA TAFAKARI endelevu!!!Tumekua wepesi sana kutumia lugha za Kashfa na Maudhi kwa wanajamii Wenzetu Pamoja na yote hayo tunatumia vibaya uhuru wetu wa habari na kuhabarishana...HIVI MOD HII NI JAMII FORUM HOME OF GREAT THINKERS ULIYOKUSUDIA????AU NDIO WHERE WE DARE TO TALK OPENLY???..Hala hala wanajamii,sio kila UWAZI UWE UPENYO!!!!TAFAKARI.:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
Mmeshindwa kutugombanisha kwa dini sasa mnahamia rangi,Hakika ya Mungu hamatashinda!Ukichoka kukaa Zanzibar ya waafrika kwa amani na utilivu nenda kakae na waarabu wenzio!This is Africa for Africans and that is never going to change!Zanzibar is in Africa and in Tanzania!If you are not happy Leave Africa,Leave Tanzania in peace!U dont have rights to claim anything in Zanzibar if u r not a an African and eventually Tanzanian!



Yes yes yes! Znz it's Africa and it's for African eventually Tanzanian it's time for the authority to be carefully and investigate deeply how many Arabic are living and what exactly their doing I'n here. There so many alqueda, Alshabab etc leaders have scapped their base and make tz their hideout
 
wivu wako nini wewe na Faridi si Mtanganyika? ikiwa kufanya kazi Qatar ndio Zambi, Basi wako wengi tu Wazanzibar wanafanya kazi Gulf Tena Jeshini na Serekali ya Mapinduzu ya Zanzibar inajuwa hilo na lipo kabla ya Muungano na Tanganyika.

Jee kuwa na jamma Gulf vipi? maana Wazanzibar takribani nusu wana jamaa huko sasa tuseme vipi? hebu wacha wazimu kama munasema Watanganyika na Wazanzibar nindugu basi na gulf na Wazanzibar wana damu vile vile kwa vile walikuja na kuoa na kuzaa.

Hebu rudi usome historia ya visiwa vya zanzibar na watu wake, basi mwambie rais wako kikwete awazuwie basi, kama imekuwa wivu?.

Mkulu kutumikia jeshi na kuwa na uraia wa uarabuni hivyo siyo sawa na kuwa mtanganyika halafu kuishi zanzibar (mzanzibar kuishi tanganyika).
Hicho ni kitu tofauti kabisa kuwa mwanajeshi wa uarabuni ni jambo ambalo lazima lifanyiwe kazi... maana huyu bwana anataka kuisambaratisha Tanzania yetu kwa manufaa yake....

huyu bwana ni mdini kupindukia..... nilimsikia siku moja akisema kuwa ''ndugu zangu waislam na wazanzibar'' hii nchi lazima tuikomboe..... swali ni je mtu ambaye si muislam hafai kuwa mwananchi wa zanzibar???

Ndugu zangu wazanzibar msiruhusu huyu mtu avuruge udugu wenu.... asilete udini katika nchi.....
 
hizi ni akili za kitanganyika chuki na ubinafsi kwani faridi akifanya kazi oman au qatar ndio nini au yeye ni mweupe tu ndio ulete bla bla za ubaguzi kuna watu weusi wazanzibar wako qatar na polisi wengine ni majeshi wengine pilot na wengine ni wahasibu wa mabenki nini nyinyi watanganyika mukifika oman dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira mbuzi nyiee chuki roho mbaya na ubaya nenda dubei kuna madactari tele wazanzibar shata maofisa wa uhamiaji nenda sharja na ajman nenda kuweit mbuzi nyie tumechoka na muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika munashindwa hata kufikiria muungano wa usawa ili kuwe na maendeleoo watanganyika wanaume wanauza ugoroo tuu kwenye khalij na wazzanzibar ndio mabasha

HUYU NDIO ANAJIPAMBANUA KWA HISIA ZA CHUKI DHIDI YA WATU WENGINE HASA WATU WA BARA (ANAO WAITA WATANGANYIKA):

1. hizi ni akili za kitanganyika: Ni dhahiri kabisa huyu anawakilisha kundi wa watu wa visiwani wenye wingu la chuki vifuani mwao dhidi ya watu wa culture zingine toka bara kiasi cha hata wangependa wafe na imani/ibada zao zifulitiwe mbali. Kuchomwa makanisa si bahati mbaya ni chuki nzitona mbaya za watu hawa

2.
watanganyika mukifika oman dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira: hiki ni kielelezo cha matamanio (covet) ya nchi hizo za kiarabu kwa visiwa hivi. inamaana ukifika huko alikosema na ukisema ukweli kuwa wewe ni kutoka bara utakiona cha moto. Hence hii ina conlude kuwa chuki dhidi ya wabara na hamu ya kuvunja muungano inaoriginate nchi hizo za ughaibuni. Si ajabu kuna agents hao wapo kibao visiwani kuhakikisha wabara na wavisiwani wasipikike chungu kimoja na muungano uvunjike ili wao watawale visiwa.

3. mbuzi nyiee: Ni tusi dhahiri dhidi ya viumbe wenzako walioumbwa na Mwenyezi Mungu. Huu ni ushahidi kuwa ukidai vurugu zinazoendelea ni kutetea dini ni uongo wa mchana kweupe. Hapa dini ni kichaka tu lakini ukweli ni harakati za kihalifu, upagani, kishetwani na mwisho ni uchochoro kutekeleza kazi waliyotumwa ya uhaini na ugaidi.

4.
tumechoka na muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika: Conclusion ya point namba 2 above

5. wazzanzibar ndio mabasha: Tusi la kishetani kabisa. Jamani hawa watu wasitumie kichaka cha dini eti sijui uamsho. Ni waongo hakuna uislamu hapo. kumbuka kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza moyo wake. Hapa ni the devil himself at work hakuna Mungu hapo!
 
Sidhani kama ni mtanzania mzalendo inaweza kukupelekea hadi ukamzushia mwenzie uongo kisa eti unatofautiana naye kiitikadi za kidini, inasikitisha sana tunakoenda.

Mm sidhani kama mtu ana habari za kuaminika asipeleke kielelezo kwenye vyombo vya sheria ili haki itendeke, jueni humux2 kuna wafuasi wake, kuna ndug zake na watoto wake. ambao ukweli kuhusu shkh farid wanaujua. tujiepushe na mambo ya udaku ili tuweze kuepusha shari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom