UAMSHO na sura ya ugaidi

UAMSHO na sura ya ugaidi

Mwana Mtoka Pabaya

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
15,117
Reaction score
16,506
Asubuhi ya leo masikio yangu na majicho yameshuhudia jambo ambalo nilikuwa nikiliwaza kitambo juu ya UAMSHO likisemwa kwenye uchambuzi wa magazeti ktk kituo cha televisheni cha ATN.

Baadhi ya magazeti yamenukuu mamlaka za Zanzibar zikitoa ripoti ya awali kuhusiana na kiongozi wa UAMSHO, Sheikh Farid. Kwa mujibu wa magazeti, mamlaka za Zanzibar zimeeleza kuwa Sheikh Farid ni mzaliwa wa Qatar na kwa kipindi fulani hapo nyuma aliwahi kutumikia Jeshi la Nchi hiyo lakini aliondoshwa kutokana na matatizo ya akili.

Zaidi ya hayo, imeelezwa kuwa Sheikh Farid amewahi kuhudhuria mafunzo ya kijeshi katika kambi mbali mbali za kigaidi za Al Qaeda ikiwemo moja ya nchini Yemen. Wazazi wake ni wazaliwa wa Qatar na hata sasa wapo huko ambako imeelezwa yeye (Sheikh Farid) hutembelea mara kwa mara.

Ninachojiuliza mimi juu ya ndugu zetu wa Visiwani walioleta ushabiki kwa mambo yanayoasisiwa na wageni tusiojua nia zao, huku si kuiuza Zanzibar kwa Waarabu? Tangu mwanzo nilimtilia mashaka mtu huyu kuwa anafadhiliwa na waarabu huko Qatar au kwingineko kuleta vurugu na mgawanyiko Zanzibar na azimio lake la kwanza ni kuhakikisha Muungano unavunjika ili iwe rahisi kwa waaarabu kujitwalia Zanzibar.

Haya sasa mliokuwa mkimsapoti na kutumia dini yenu kumsetiri mshukiwa huyu wa ugaidi jitazameni mtasimamia wapi katika hili. Wakati huyu mwenzenu anaanzisha fujo na umwagaji damu, tayari ana makazi ya kumsetiri huko Qatar waliko wazazi wake, je nyie mtakimbilia Mombasa tena?
 
Kaletwa na Maalim Seif Shariff Hamad.

Hakyanani Mkuu Ngongo, sasa hivi kutaibuka jambo kule visiwani, nyie subirini tu. Mimi hawa jamaa siwaamini hata kidogo. Niliposikia sikushangaa sana. Sasa wanaodhani ni suala la dini lile sijui tuwafanyaje wapate akili, manake hao ndio wanaotumiwa kuleta tatizo hapa
 
Last edited by a moderator:
haihitaji uchunguzi wa kipolisi au taarifa za kiintelijensia kumjua gaid
magaid utawatambua kwa matendo yao,maneno yao
mavazi yao
madevu yao
ubishi wao
ulalamishi wao
uchochez wao
 
Jamani zanzibar!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mvunja nchi ni mwananchi. Wanatuita majina mabaya na kututenga wakiwakumbatia wageni kisa rangi ya ngozi ya wageni hao ni nyeupe. Soon, aliyosema Baba wa Taifa yatatukia. Na hii Serikali ya Umoja wa Kinafiki ndio janga kubwa hasa.
 
Serikali kuweni macho na watu kama hawa hasa wageni maana hata huyu Pondana yeye si inasemekana ni raia wa burundi
mkuuu ulie mjengon1 watendaji wako wawe macho na watu hawa
 
Kumbe ni raia wa kigeni analeta vurugu kwenye ardhi ya TANZANIA? Mimi naona Serikali ya Muungano imchukue huyo FARIDA ashugulikiwe maana Hilo tayari ni Jambo la nchi sio la ZANZIBAR tu tena, Maana hao Zanzibar wanamlelea saana!!
 
Tukiomba tusisahau kuliombea Taifa letu changa, Mungu atusaidie kuwa mbali na mambo yote yanayokuja kwa miamvuli ya dini zetu kwa nia tofauti tena za kuangamiza udugu wetu na mwisho kutusambaratisha kabisa, tuwe wenye hekima, ya kutambua jema na baya kwetu si kila kitu tunakiona ni chema kisa etu kinahusisha dini yetu maandiko yanasema hata shetani hutumia uislam na ukristo wetu kutulaghai na kututeka kabisa, Tujiulize sawa mtu huyu anaipenda nchi yake je kwann anataka kuondoa Amani ambayo ni tunu yetu kawa miaka mingi??? hapo utapata jibu kuwa si mwenzetu huyu tena naweza sema kuwa ni kafiri namba moja ulimwenguni tena anatumiwa na inbilisi shetwani kwa kuwa pekee ndiye asiependa upendo na amani katika uso wa dunia
 
Serikali kuweni macho na watu kama hawa hasa wageni maana hata huyu Pondana yeye si inasemekana ni raia wa burundi
mkuuu ulie mjengon1 watendaji wako wawe macho na watu hawa

Halafu inasemekana jamaa ni chizi sio!!
SAM_2542.JPG
 
Kumbe ni raia wa kigeni analeta vurugu kwenye ardhi ya TANZANIA? Mimi naona Serikali ya Muungano imchukue huyo FARIDA ashugulikiwe maana Hilo tayari ni Jambo la nchi sio la ZANZIBAR tu tena, Maana hao Zanzibar wanamlelea saana!!

Unawaonea bure mkuu, hiyo serikali ya Muungano inaye Sheikh Ponda ambaye ni Mnyarwanda, inamlea miaka si bora huyu Farida wa juzi.

Ponda ndio aikuwa mratibu wa Matusi ya Mwembechai.
Ponda ndio muasisi wa uvunjaji wa mabucha ya nguruwe ya Mbokomu
Ponda ndio mleta chokochoko za kidini huku bara

Mnyarwanda huyu anayejifanya Muha, ni janga ambalo limepakatwa siku nyingi.
 
nilijua mkuu, na wale wote waliokuwa wanamsshabikia huyu jamaa farid nao eidha ni magaidi au mazuzu hawajui kutafakari. huyu jamaa ana harufu zote za kigaidi hata maelezo yake aliyoyatoa katika mahojiano yanaonyesha ni gaidi aliyejipanga kwa jambo fulani. mkuu hawa watu serikali yetu inawatunza na kuwalealea ndo maana hata majeshi sasa yameshituka ingawa ni too late kwani wengi wao washajipenyeza nchini. tuwasake tuwanyoshe. mi nna harira GRIIIIIIIIIIIIH! dah.
 
Kushabikia mtu kisa mweupe,ana ndevu nyingi na anavaa kanzu,ni mwenzetu
 
nilijua mkuu, na wale wote waliokuwa wanamsshabikia huyu jamaa farid nao eidha ni magaidi au mazuzu hawajui kutafakari. huyu jamaa ana harufu zote za kigaidi hata maelezo yake aliyoyatoa katika mahojiano yanaonyesha ni gaidi aliyejipanga kwa jambo fulani. mkuu hawa watu serikali yetu inawatunza na kuwalealea ndo maana hata majeshi sasa yameshituka ingawa ni too late kwani wengi wao washajipenyeza nchini. tuwasake tuwanyoshe. mi nna harira GRIIIIIIIIIIIIH! dah.

Ni mazuzu. Ugaidi ndio walikuwa wanajifunza kwa kuanzia na mauaji ya polisi. Siku zote magaidi hutumia kivuli cha Uislamu kufanikisha mambo yao. Ponda naye ni kama huyu, na nimewaita mazuzu kwa kuwa sioni jina lingine la kumuita mtu anayekaa nyuma ya Ponda kwenda kuvunja mali ya mtu aliyeinunua kimkataba badala ya kuulizana na aliyemkabidhi.
 
Inashangaza sana kina yakhe kuchulia mambo juu na kuyatilia maanani,angalia sasa mnapokea hadi magaidi kisa wa imani yenu,ndg zangu mtaiharibu nchi na kweli imani nyingine ni wajinga au wapole kiasi hicho.BUSARA NDIYO INAYOTUMIKA.
 
Usalama wa taifa wanafanya kazi gani? au wao ni kuwafuatilia Dr ulimboka na CDM tuu??
Mkuu umeniwahi, hilo ndo swali langu sana. Kwamba hata JF hakuna mtu wa Usalama wa Taifa? Siamini. Taifa gani mnalinda usalama wake kama taarifa zinaanikwa na mnanyamaza kimya, au teseme nyie ni wadau wa huyo bana? Kumbuka hata nyie hamtakuwa salama kama mwendo ndo huo.
 
Back
Top Bottom