Kama hujaridhika na haya uliyaona pichani, huna tabia ya kuridhika na kuaprishieti, hata yakifanywa hayo uliyoyataja hapo juu hutaridhika pia.
bei ya umeme juu.
huduma za afya hovyo
shule hovyo
maji taabu....
_________________
makusanyo ya kodi TRA wanavyunja rekodi
bei ya umeme juu.
huduma za afya hovyo
shule hovyo
maji taabu....
_________________
makusanyo ya kodi TRA wanavyunja rekodi
wewe mtanzania unaejitambua karibu ofisini kisutu.Hatupo hapa kishabiki bali kiueledi,
Hali hiyo hakuna hata katika sisi afuruhikayo nayo,
Na ndo kukicha watanzania sote wenye malezi na uzalendo huinyooshea kidole Serikali juu ya jambo hilo.
Weye umeleta elekezo gani juu ya sakata hilo ama ndo wale wenye kutukuliwa na mawimbi ya upepo tu?!
wewe mtanzania unaejitambua karibu ofisini kisutu.
Nimendawazimu tu atakaekubali kuindosha Serikali ya CCM kwa vile Rais Kikwete amesawazisha makosa yote ya nyuma
- Amejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Amejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Ameleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Amewezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Amejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Ameejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Amepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Amezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Ameanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Anajenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anajenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini
Jamani acheni mzaha si tutachekwa tukiiondosha CCM na kuwaweka vichaa?
Hongera sana Jakaya Kikwete.
NSSF Kahama
View attachment 126410
kitu nachokumbuka kikubwa ambacho serikali ya kikwete imefanya ni
1.KUUA ELIMU TU,KWA HILO NAMPONGEZA SANA KIKWETE KWA MIPANGO YAKE YA DIVISHENI FIVE.HAKUNA ZAIDI ALICHOFANYA CHA MAANA
2. KUWALINDA MAFISADI NA WEZI WOTE WA MALI ZA UMMA
3. KUUA TEMBO NA KUWALINDA WAUZAJI WA PEMBE ZA NDOVU
4. KUUZA TWIGA UARABUNI NA KUWALINDA WAHUJUMU UCHUMI
Watandike na chuo kikuu cha Nelson Mandera Arusha.
Kulalamika ndio tabia yako, hata uletewe maendeleo gani, utalalamika tu!
yah limekamilika na mimi nimeshawahi kuingia kushughulikia mambo yangu
maendeleo pekee yaliyopo labda huu mfumo wa misukule kulipwa buk7, maisha bora kwa kili mtanzania yameshindikana!
Mbowe na chama chake wameshapoteza imani tuliokua nayo watz,Viti maalum mpaka awananilii ndio wapate hizo nyazifa,ruzuku za chama anajitafunia atakavyo,anasaidiwa na mafisadi kujenga chama na mbaya zaidi kwenye chama hizo pesa alizopata kwa mafisadi anazikopesha,Jengo la bilcanaz mkataba wake na NHC ni kanjanja,........
maendeleo embu tuwekee alivyodhibiti foleni dar? embu wekeni flyover? alizoahidi? embu wekeni reli ya kisasa pamoja n'a mabehewa 200?