Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Takwimu hazidanganyi.
Wenye nia njema WOTE wanathamini ujenzi huu wa taifa.
Kama ni kupiga kazi JK amepiga kazi, weakness alizonazo binadamu mwingine yeyote anaweza kuwa nazo. Hongera Mheshimiwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dakta Jakaya Mrisho Kikwete kwa utumishi wa kutukuka.