Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

kitu nachokumbuka kikubwa ambacho serikali ya kikwete imefanya ni
1.KUUA ELIMU TU,KWA HILO NAMPONGEZA SANA KIKWETE KWA MIPANGO YAKE YA DIVISHENI FIVE.HAKUNA ZAIDI ALICHOFANYA CHA MAANA
2. KUWALINDA MAFISADI NA WEZI WOTE WA MALI ZA UMMA
3. KUUA TEMBO NA KUWALINDA WAUZAJI WA PEMBE ZA NDOVU
4. KUUZA TWIGA UARABUNI NA KUWALINDA WAHUJUMU UCHUMI
 
kitu nachokumbuka kikubwa ambacho serikali ya kikwete imefanya ni
1.KUUA ELIMU TU,KWA HILO NAMPONGEZA SANA KIKWETE KWA MIPANGO YAKE YA DIVISHENI FIVE.HAKUNA ZAIDI ALICHOFANYA CHA MAANA
2. KUWALINDA MAFISADI NA WEZI WOTE WA MALI ZA UMMA
3. KUUA TEMBO NA KUWALINDA WAUZAJI WA PEMBE ZA NDOVU
4. KUUZA TWIGA UARABUNI NA KUWALINDA WAHUJUMU UCHUMI
Hizo picha zote tulizo kuwekea. Utakuwa na tatizo wewe.
 
Nikiamka tu nayaona hayo yote pamoja na Tembo, vifaru na misitu yetu ya asili kupotea, vita ya wakulima na wafugaji, thiki ya waliozaliwa juu ya madini kama nyamongo wanavyoteseka, madawa ya kulevya, Mapesa kujaa benki za nje kama zile chache za uswisi n.k
 
Kitengo cha kudhibit pesa haramu
Pesa1.jpg
 
Nikiamka tu nayaona hayo yote pamoja na Tembo, vifaru na misitu yetu ya asili kupotea, vita ya wakulima na wafugaji, thiki ya waliozaliwa juu ya madini kama nyamongo wanavyoteseka, madawa ya kulevya, Mapesa kujaa benki za nje kama zile chache za uswisi n.k
We kalia kuchonga mdomo tu. Piga kazi sisi tunakuonesha fursa zilizopo kwa sasa wewe umekalia umbea umbea tu.
 
Mizengo Pinda akifungua jiwe la Msingi ktk Mradi wa Nyuki ulioko Kwimba Mkoani Mwanza.
Kwa nyuma kushoto ni mkewe Mama Tunu Pinda,Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo.
Nyuki1.jpg

Nyuki2.JPG
 
[h=3]KIWANDA CHA NYAMA KUZINDULIWA MKOANI SHINYANGA[/h] Nyama1.JPG

Mkurugenzi wa Kiwanda cha "Triple S" ndg.Salum Self akimweleza Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga(hayupo pichani) matarajio ya kufungua kiwanda hicho cha nyama jana alipotembelea kiwandani hapo.
Nyama2.JPG

Picha ya pamoja na Mhe.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Ally N.Rufunga na Mkurugenzi wa kiwanda,na wataalam wengine wa Mkoa na Manispaa alipotembelea kiwanda cha nyama cha "Triple S" kilichoko Manispaa ya Shinyanga jana.
 
ImageUploadedByJamiiForums1386962104.383381.jpg
Wodi ya kina mama wajawazito hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam

ImageUploadedByJamiiForums1386963109.070679.jpg
Darasa la tatu katika shule ya msingi huko Mvomero ambalo fedha zake za ujenzi zilirudi Hazina kwa vile mwaka wa fedha ulikuwa umeisha na hazijatumika.

ImageUploadedByJamiiForums1386963376.961099.jpg
darasa la shule ya msingi huko Geita sio mbali sana na moja ya migodi mikubwa ya dhahabu barani Afrika wa GGM.

ImageUploadedByJamiiForums1386963654.409728.jpg
Elimu inatolewa kwa kila mtoto, na mkuu ameahidi kuharakisha mafunzo ya computer haraka sana kwa wanafunzi wote wa level hii.

JEE MAENDELEO YA KUJIVUNIA NI KUJENGA MAJENGO YA GHOROFA MIJINI PEKEE?
 
View attachment 126587
Wodi ya kina mama wajawazito hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam

View attachment 126595
Darasa la tatu katika shule ya msingi huko Mvomero ambalo fedha zake za ujenzi zilirudi Hazina kwa vile mwaka wa fedha ulikuwa umeisha na hazijatumika.

View attachment 126596
darasa la shule ya msingi huko Geita sio mbali sana na moja ya migodi mikubwa ya dhahabu barani Afrika wa GGM.

View attachment 126598
Elimu inatolewa kwa kila mtoto, na mkuu ameahidi kuharakisha mafunzo ya computer haraka sana kwa wanafunzi wote wa level hii.

JEE MAENDELEO YA KUJIVUNIA NI KUJENGA MAJENGO YA GHOROFA MIJINI PEKEE?

Lkn pesa nyingi anatenga kwenye bajeti kila mwaka kukarabati IKULU na mabilion ya chapati na vitumbua na chai kwa maafisa wa serikali!

Picha hizi zitamsuta JK hadi kabulini!JK kanifanya nisiwe na hamu na siasa za TZ!
 
[h=2]Wednesday, May 18, 2011[/h][h=3]


[/h][h=3]TBL YAKARABATI HOSPITALI YA MWANANYAMALA[/h]
TBL1.JPG

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Jordan Rugimbana akizungumza na maofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kupokea jengo la wodi ya kinamama katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam juzi lililokarabatiwa kwa msaada wa TBL. Kutoka kulia ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Bi. Doris Malulu, Meneja Miradi Maalumu wa TBL, Bi. Emma Oriyo, Muuguzi wa hospitali hiyo, Bi. Baraka Kapinga na Mhandisi John Malisa wa Kampuni hiyo.

TBL2.JPG
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Jordan Rugimbana (mbele), akisindikizwa na Mhandisi wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Bw. John Malisa (kulia) kukagua choo cha wodi ya kinamama ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam, kilichokarabatiwa na TBL.Kushoto ni Meneja Miradi Maalum wa TBL, Emma Oriyo. Hafla hiyo ya kukabidhi choo na jengo la akinamama ilifanyika juzi hospitalini hapo.


Ninakuomba uende mwananyamara ukajionee sio kuleta umbea umbea hapa.

 
Wodi ya kina mama wajawazito hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam


Darasa la tatu katika shule ya msingi huko Mvomero ambalo fedha zake za ujenzi zilirudi Hazina kwa vile mwaka wa fedha ulikuwa umeisha na hazijatumika.


darasa la shule ya msingi huko Geita sio mbali sana na moja ya migodi mikubwa ya dhahabu barani Afrika wa GGM.


Elimu inatolewa kwa kila mtoto, na mkuu ameahidi kuharakisha mafunzo ya computer haraka sana kwa wanafunzi wote wa level hii.

JEE MAENDELEO YA KUJIVUNIA NI KUJENGA MAJENGO YA GHOROFA MIJINI PEKEE?

Utakufa na roho ya korosho piga kazi kijana tunakuonesha fursa.
 
Back
Top Bottom