zumbe wakaya
New Member
- Dec 10, 2013
- 1
- 0
Kweli serikali yetu imefanya vizur katika barabara
Mbowe hawezi toa kioja kama hiki!Mmetunga tu kama mlivyo tunga juzi kuwa JK ndiye "ataongoza"mazishi ya Mzee Mandela
Nipe link yyt ile tofauti na ya Lumumba7FC inayo onyesha kauli hii!Sera za CCM zimeshindwa kuongoza
Hawa watu ni majnoon, wasikushuhulishe; wao wameshaamua kuwa wasimamia umajnoon basi kila kitu ni kubisha tu. Sasa wanakaidi hata maneno aliyotoa bosi wao. Si ajabu wakaja kwambia hii video imepikwa-Indio umajnoon huo walionao.Kazi kwako;
[video=youtube_share;vlH-YG_Kmnw]http://youtu.be/vlH-YG_Kmnw[/video]
Nami nakubaliana na wewe kwamba kilimo ndio uti wa mgongo wa Taifa letu, lakini ebu leo hii tujiulize sote mimi na wewe tukafanikiwa kuboresha kilimo 100% kule vijijini lakini chakula kile ambacho wakulima wale wamekipata hawawezi kusafilisha kwenda sokoni kwa sababu ya barabara,bado kilimo kile hakina tija kwa sababu mazoa yataoza .mf mimi naishi mikoa hi ya Rukwa ,tunazalisha chakula kwa wingi sana lakini barabara zetu hazifikiki kwa msimu wote wa mwaka kwa hiyo tunashindwa kuuza mazoa ya ziada.kwetu sisi barabara ndio kipaumbele as longo bado tunauwezo wa kuzalisha chakula cha kutoshelezea mahitaji yetu ya mwaka.
Serikali ya Mkapa ilifanya nini tangu 1995-2005?
Kisha katafute kitabu cha Mkapa alichomgeiya Kikwete na jibu la Kikwete utalipata mwenyewe baada ya yale aliyoyaacha Mkapa,
Sasa utafanya balancing na baada ya hapo rejea hapa jamvini utambie nasi tuanze kuchambua.
Kikwete Songa mbele baba, maendeleo tunayoana!
Serikali ya Mkapa ilifanya nini tangu 1995-2005?
Kisha katafute kitabu cha Mkapa alichomgeiya Kikwete na jibu la Kikwete utalipata mwenyewe baada ya yale aliyoyaacha Mkapa,
Sasa utafanya balancing na baada ya hapo rejea hapa jamvini utambie nasi tuanze kuchambua.
Ukitaka kujua Mkapa alifanya nini angalia haya aliyoyafanya Kikwete utapata jibu.
- Amejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Amejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Ameleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Amewezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Amejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Ameejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Amepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Amezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Ameanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Anajenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anajenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini. Tatizo la ajira nchi ni 20% ukilinganisha na Kenya 40% A. Kusini 40% . kwa mujibu wa Takwimu za ILO na UNDP.
Ahsanta duchi, sasa kwa ihsaani yako mkaribishe Appreciate aje akusome japo kwa kejeli zake hizo huenda akiambulia chochote hapa.
Badala yake Kinyelezi inakuwa ni Japan kwa vinu vikubwa vya kuzalisha umeme wa gesi.wameigeuza KIGOMA kuwa DUBAI
maendeleo embu tuwekee alivyodhibiti foleni dar? embu wekeni flyover? alizoahidi? embu wekeni reli ya kisasa pamoja n'a mabehewa 200?
maendeleo embu tuwekee alivyodhibiti foleni dar? embu wekeni flyover? alizoahidi? embu wekeni reli ya kisasa pamoja n'a mabehewa 200?