Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,038
- 9,353
Ingawa hapo nyuma ndani ya thread hii nimeonyesha mafanikio ya JK, Lakini hili la kupanda kwa gharama za umeme mheshimiwa amechemsha , tena amechamsha mno, jitihada zake za kuinua kiwango cha maisha zinakwamishwa na kupanda kwa gharama za umeme, Just imagine kuna mtu kanunua umeme wa shilingi 7000 kapewa 0.7 Units, eti service charge, service charge ni upuuzi gani ati!. Ni sawa sawa na kwenda sokoni kununua bidhaa halafu mfanyabiashara akukate hela ya kukuhudumia on top ya hela ya bidhaa yenyewe!