Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,181
- 29,916
Sasa basi
-------
Mbunge wa Jimbo la Mchinga Salma Kikwete akizungumza nyakati tofauti Bungeni Dodoma, akisifia Uongozi wa Rais Samia ulivyoleta maendeleo Jimboni kwake ikiwemo miundombinu ya Barabara
"Hakuna mbunge yeyote humu ndani atakayesimama, bila kueleza mazuri aliyoyafanya Mheshimiwa Rais katika jimbo lake. Ukienda kwenye barabara, amefanya makubwa..."
Take Two
Mei 21, 2026 Kwa wakati wingine tena anasimama bungeni akitoa hoja Jimbo la Mchinga kukosa barabara ya lami
"Jimbo la Mkinga halina lami hata kidogo! Halina lami hata kidogo. Hata kile kilomita moja sio nukta mbili kwenda kwenye shule ya wasichana, imejengwa hivi karibuni, leo napata taarifa daraja lile limesink . Sasa huu ni ujenzi wa aina gani?"
Soma pia
-------
Mbunge wa Jimbo la Mchinga Salma Kikwete akizungumza nyakati tofauti Bungeni Dodoma, akisifia Uongozi wa Rais Samia ulivyoleta maendeleo Jimboni kwake ikiwemo miundombinu ya Barabara
"Hakuna mbunge yeyote humu ndani atakayesimama, bila kueleza mazuri aliyoyafanya Mheshimiwa Rais katika jimbo lake. Ukienda kwenye barabara, amefanya makubwa..."
Take Two
Mei 21, 2026 Kwa wakati wingine tena anasimama bungeni akitoa hoja Jimbo la Mchinga kukosa barabara ya lami
"Jimbo la Mkinga halina lami hata kidogo! Halina lami hata kidogo. Hata kile kilomita moja sio nukta mbili kwenda kwenye shule ya wasichana, imejengwa hivi karibuni, leo napata taarifa daraja lile limesink . Sasa huu ni ujenzi wa aina gani?"
Soma pia
- Salma Kikwete mwaka jana alimwaga sifa kibao kwa Samia kutoa mabilion ya kujenga barabara, lakini jana kafungua mdomo wake jimbo lake halina lami
- Salma Kikwete: Majaliwa hakutimiza ahadi ya kujenga barabara ya lami, Serikali ina mpango gani?
- Salma Kikwete: Jimbo langu la Mchinga halina Stendi hata moja
- Salma Kikwete: Rais Samia ni mchapakazi anayetambulika duniani