Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Mm pia n mwana ccm ila kupambana na kanisa lililo mlea rahisi JK seminar mm hapana.
Asante
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Zero na PhD holder wapi kwa wapi
 
Unfortunately hakuna mtu, kikundi au taasisisi inayoweza kupambana na kanisa ikashinda!
Hii inatokana na Yesu Kristo kumwambia Petro kuwa, 'juu ya mwamba huu, nitalijenga kanisa ambalo milango ya kuzimu haiwezi kulishinda'.
Pia utaona katika kitabu cha Daniel 4, mfalme Beltshaza (kama sikosei) alivyo ondolewa madarakani na kupelekwa nyikani akale majani kama ng'ombe hadi vipindi saba vipite ili 'ajue ya kuwa Mbingu (kanisa) ndio zinazotawala' na ya kwamba Mungu baba humuweka madarakani yeyote amtakaye...
 
Unfortunately hakuna mtu, kikundi au taasisisi inayoweza kupambana na kanisa ikashinda!
Hii inatokana na Yesu Kristo kumwambia Petro kuwa, 'juu ya mwamba huu, nitalijenga kanisa ambalo milango ya kuzimu haiwezi kulishinda'.
Pia utaona katika kitabu cha Daniel 4, mfalme Beltshaza (kama sikosei) alivyo ondolewa madarakani na kupelekwa nyikani akale majani kama ng'ombe hadi vipindi saba vipite ili 'ajue ya kuwa Mbingu (kanisa) ndio zinazotawala' na ya kwamba Mungu baba humuweka madarakani yeyote amtakaye...
Wewe bado unaongelea historia nenda ulaya ukaone makanisa yameshauzwa siku nyingi.
 
Wewe bado unaongelea historia nenda ulaya ukaone makanisa yameshauzwa siku nyingi.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
The Lord does not rule based on number of buildings as you might imagine.
'He rules by decree'. His single cough-not even his word was capable of generating electricity that could power the planet Earth for 100 years to give u a picture of his awesome power!
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Mbona juzi mmesikilizishwa Waraka na mkapiga makofi? Nyie ni wepesi tu kama akina Kipozeo
 
Back
Top Bottom