Fifteen
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 609
- 769
Mahakama ilitoa jibu gani ilisema vinarekebishika basi vilekebishwe kabisaWewe ulisoma hukumu ya mahakama??
Manake hivyo vipengele vyote vimejibiwa na mahakama
Mahakama ilitoa jibu gani ilisema vinarekebishika basi vilekebishwe kabisaWewe ulisoma hukumu ya mahakama??
Manake hivyo vipengele vyote vimejibiwa na mahakama
Hivi,kutuliza hicho kiuno chako unashindwa?Wajinga wenzio wote wametulia wanakuchora tu.Unaonesha upambaff wako.Tuliza kiuno wewe jinga!
Chadema na TEC ni mashosti au ulikua hujui.Hakuna lolote mnaweza kuwafanya hao TEC. Au unadhani TEC ni sawa na CDM mnaowapora uchaguzi kisha vyombo vya dola vinawaumiza?
😂😂😂😂Ile hukumu Samia asingekuja mbeya ndo ungejua kama vmeshinda mahakamaniWaknushe mara mbili,mbina ndio hivyo vifungu Mwabukusi walimtuma apeleke mahakamani nae akashindwa?
Kinachofanywa hapa ninudini wala sio vifungu
Labda kama mnakubalika na kondoo maana wewe umesema wananchi ni kondoo. Hamjawahi kukubalika na binadamu.Tuibe wakati tunakubalika. Unaibaje kitu unachoweza kukipata kihalali?
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
Nilikuwa nalijua, je kuna kosa lolote kwenye hilo?
Hamia marekani ukajivunie maendeleo yao wao wana miaka mia 300 na zaidi ya uhuru.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Yap tunakubalika na kondoo wasio na uthubutu wa kuhakikisha chama la majizi haliendelei kukaa madarakani.Labda kama mnakubalika na kondoo maana wewe umesema wananchi ni kondoo. Hamjawahi kukubalika na binadamu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nani analia umemuona? Hujasikia kitu kinaitwa Reform and Rebuilding? Jana hiyo ndani ya Arusha City mpaka 2030 wenye roho mbaya mtapata tabu . Mama anapiga kimya kimya mtaelewa tu somo.Unaandika vitu kitoto sana wakati wenzako wanalia kwa kwikwi.
Hiyo minyoo inayokusumbua nenda hosp haraka
CCM wanadhani watu wote ni wapumbavu kama waoYap tunakubalika na kondoo wasio na uthubutu wa kuhakikisha chama la majizi haliendelei kukaa madarakani.
Nchi ina rasilimali kila aina na bado masikini na viongozi wake wanajisifu wanaongoza hii nchi.Wewe mtoto wa juzi huelewi hii nchi imetoka wapi waulize baba zako.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sema CCM Hoyeeee utapata nafuu..Hivi,kutuliza hicho kiuno chako unashindwa?Wajinga wenzio wote wametulia wanakuchora tu.Unaonesha upambaff wako.Tuliza kiuno wewe jinga!
CCM inaunga mkono, Bunge linawakilisha wananchi limeridhia, Mahakama Kuu ya Tanzania imeridhia hako kakikundi ka TEC wao ni nani kuipinga serikali?Bandari sio swala la Chama kuna wanaopinga au kuungamkono kutoka kila pande. Hili ni swala la nchi. Pili wadau wanataka marekebisho ya mkataba je nyie hamtaki mkataba mzuri? Wakati mwingine wadau kama huyu hawajui hata wanataka nini
Hakuna kosa ila watambue kuna Chama na Serikali haviendeshwi kwa matamko ya kihuni huni.Nilikuwa nalijua, je kuna kosa lolote kwenye hilo?
Hamia marekani.Katika miaka 63 ya uhuru wa wamarekani walikuwa na maendeleo makubwa mara 100 zaidi ya maendeleo ya miaka 63 tuliyokuwanayo waTanganyika
Endeleza matusi kwa wananchi ikulu mtaisikia tu.Yap tunakubalika na kondoo wasio na uthubutu wa kuhakikisha chama la majizi haliendelei kukaa madarakani.
CCM itawanyoosha mtake au msitake.Kama umeshiba nenda chooni ukajisaidie ulale hata kama ni mchana