Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,246
- 27,500
- Thread starter
- #241
Hahaha nipo hapa nyie ndio mmevurugwa huoni .... kanianzishia uzi?Umeanza kuvurugwa! Rudi kwenye hoja
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hahaha nipo hapa nyie ndio mmevurugwa huoni .... kanianzishia uzi?Umeanza kuvurugwa! Rudi kwenye hoja
Hahaha wapo wakatoliki wengi tu ndani ya CCM lakini hawakohoi unajua kwanini?We unachekesha kweli, yaani humohumo ndani ya ccm unapoparingia membaz wa TEC ndo mabosi zako...nenda tu kule ndani ya kamati kuu kawahesabu idadi ya wana TEC utapata majibu!!.
CCM ndio inakufanya unalala usingizi wewe Acha dharauWe Fala tu na ccm wote wajinga, kama hamuwezi kusoma mikataba na kuelewa kwa miaka 60 sasa utu uzima wenu una maana gani? , uelewa haina umri, kwa ufupi Tanzania hakuna maendeleo ni nchi manikini kwa kila kitu, sababu kubwa ni ccm mburura ni 97%, ukiwemo wewe.
TEC si wanajifanya wahuni ngoja tuone sasaImagine this mindset [emoji115][emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Eti kwa akili hizi ndio wanataka kuivusha bongo kwenda Nchi ya maziwa na asali?? Maaafii ya nguchiro!! NB: Pambaneni na hoja za msingi za wanaopinga ule mkataba!! Tec sio CDM... Mara kamata yule, weka ndan yule, mpe kesi yule!!!
Mna hasira balaa. Andaeni pia tamko lenuYes vinarekebishika kwenye HGA...
Sasa wale Maaskofu na usomi wao wameshindwa kuelewa nini??
Mtoto wa juzi wewe muulize babako tulipotoka.Imagine this mindset [emoji115][emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Eti kwa akili hizi ndio wanataka kuivusha bongo kwenda Nchi ya maziwa na asali?? Maaafii ya nguchiro!! NB: Pambaneni na hoja za msingi za wanaopinga ule mkataba!! Tec sio CDM... Mara kamata yule, weka ndan yule, mpe kesi yule!!!
Uhuru gani unaongelea CCM haikuwepo kupigania. TANU na ASP,pia Wakatoliki, na Waislamu wanisaidie. Bila Catholic si kama Nyerere angeweza.Bado tupo wengine sisi tusio na dini na wengine dini zingine tunaunga uko TECNaishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
Mimi ningekuoneni ccm wajanja kama mkibadili figisu kuwa maendeleo, tatizo mna chagua average presidents miaka yote , foreign investments ni nzuri kukuza uchumi wa nchi lakini hauondoi umasikini kwa asilimia kubwa kama kukuza sector ya kilimo na viwanda, una takiwa uuze bidhaa zaidi nchi za nje kuliko kununua bidhaa, vijana wapate ajira kwa wingi kwa kushiriki katika sector za uzalishaji sio kuwa chawa tu , narudia tena hata mkibinafsisha bandari miaka 10000 hakuna maendeleo mtakayo pata nyie vichwa tikitimaji ccm.CCM ndio inakufanya unalala usingizi wewe Acha dharau
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wewe ni Panya mdogo hata ukifia daharini hatusumbuki tunakuacha unaoza na kukauka na kusahsulika.Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
mkifa mnazikwa na hao hao TEC, mmesahau dhihaka mliyofanyiwa kwa magufuli, yule yule askofu waliyekuwa wanasema sio raia wakamnyang'anya na passport ndiye aliyekuja kumzika. mjifunzege kupitia makosa yenu basi.Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
Mahakama hii ya ccm?!Wewe ulisoma hukumu ya mahakama??
Manake hivyo vipengele vyote vimejibiwa na mahakama
Vipengele vile ni vyepesi sana ndani ccm wamejaa wasomi tu hatuwezi kushindwa na waliosoma moral theology.Umeusoma walaka lakini? Wakanushe vipengere Ivo walivo discuss sio habar za dini
Kama ni kiongozi basi wewe ni kiongozi wa ovyo sana.Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
[emoji23][emoji23] Muulize subwoofer Leo alikuwepo kanisani anasikiliza hoja kwa makini, nadhani kunakitu kimeingia vizuri kichwaki kwake.Hakuna hoja pale ni chuki iliyofichwa kwa mgongo wa bandari.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Bila fitina, policcm na uongo hamuwezi kujibu hoja. Hao ni watu wenye PHD zao kwahiyo kwa hoja walizotoa hamuwezi kujibu kwa hoja.Vipengele vile ni vyepesi sana ndani ccm wamejaa wasomi tu hatuwezi kushindwa na waliosoma moral theology.
Umesahau kuweka namba za simu Mkuu. Huenda meza kuu ikakufikiria kupitia kiherehere chako.Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
PhD za mora theology siyo competitive ukataka kujua Hilo aache uaskofu halafu uone anaajirika au la!Bila fitina, policcm na uongo hamuwezi kujibu hoja. Hao ni watu wenye PHD zao kwahiyo kwa hoja walizotoa hamuwezi kujibu kwa hoja.
Lissu mlimshindwa mpk mkatumia risasi.
Toeni hoja, waambieni wananchi kuwa huo ni mkataba mzuri kwa hoja
Kaka Chama cha siasa hakiwezi kupigana na Dini hata siku moja... Humo humo kwenye Chama cha Siasa inakuwemo Dini, ukipiganisha Chama... Umekiua chamaNaishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.
Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.
CCM Oyeee.
Nyie wasabato na wapentekoste na wa mwamposa kaeni pembeni tumsulubu huyu kakaenu anaejiita TECUhuru gani unaongelea CCM haikuwepo kupigania. TANU na ASP,pia Wakatoliki, na Waislamu wanisaidie. Bila Catholic si kama Nyerere angeweza.Bado tupo wengine sisi tusio na dini na wengine dini zingine tunaunga uko TEC